ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,551
FOREVERKwanza unajua maana ya neno milele.......HEBU tuanzie hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FOREVERKwanza unajua maana ya neno milele.......HEBU tuanzie hapo
Hiyo si milele. Kama hivyo angesema "maishani mwangu".
Kwani Magufuli ni zuzu hajui tofauti ya "maishani mwangu" na "milele" ?
Hivi kumbe Kisiwa cha Mafia wamelekewa Meli wakaiaribu ....? ......Huo ndio ujinga....adui namba moja......Hivi vitu lazima uviondowe mwenyewe, serikali haihusiani kabisa!
Hivi unajua Mafia wanapelekewa meli, wanaiaribu ili wabaki na ngalawa zao?
Watoto wangu sijawahi kuwaadhibu hata siku moja,Nimewapa uhuru wa kajadiliana na mimi kila kitu,kama mzee,...,Watoto wangu wamefankiwa sana kimaishaInaonekana ww na mtoto wako mnakaa mnadiskasi kidemokrasia akikosea au akikukosea,
Hii ya kutawala milele inaukakasi kidogo Mkuu. Hao watu wametawala kwa zaidi ya miaka 50 yenye mambo mengi ya kujiuliza. Bado mpaka leo hatujaweza kuondoa maaadui watano wa Taifa letu, UMASIKINI, UJINGA, MARADHI, UNAFKI NA NJAA. Wakati mwingine huwa najiuliza maswali mengi sana kuhusu aina za siasa za nchi yetu, nadhani matumizi ya akili zetu hayana nafasi kabisa. Naomba tufanye objective analysis tuongozwe na facts na siyo ushabiki au mapenzi. Muheshimiwa Raisi anatimiza wajibu wake kama Raisi na hayo ndiyo mategemeo ya waajiri wake ambao ni sisi wapiga kura.
Mkuu angalia Korea ya kusini na Africa zilikuwa wapi 50 yrs ago na sasa tuko wapi. Miaka 50 ni mingi kama unabaki pale pale na wengine wanachapa mwendo.Miaka 50 kwa NCHI ni midogo sana. Hata kizazi kimoja hakijapita tangu Uhuru!! Angalia China na India ndo utajua uwiano wa miaka kwa maendeleo ya NCHI.
La CCM kutawala milele ni la kweli kwani ni agizo la rais na polisi na jeshi wanatakiwa walisimamie kama ilivyo kwa maagizo mengine.Wanabodi,
Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku zote ndio husimama mpaka mwisho. Kali ya rais wetu Dr. John Pombe Magufuli, kuwa "CCM itatawala Milele " ni kauli ya ukweli kabisa kuwa ni ukweli halisi na ukweli bayana, katika mazingira ya sasa ya nchi yetu na uendeshaji wa siasa za vyama vingi, kama hakuna kitakachobadilika, then rais Magufuli yuko very right kuwa CCM itatawala milele!.
Moja kati ya sifa kubwa za rais Magufuli, ni kusema ukweli Daima tena bila kukopesha, wala kurembaremba, japo kuwa mkweli sana sometimes sio nzuri sana kidiplomasia katika baadhi ya maeneo, ambapo diplomasia hutumika, haya mambo ya diplomasia ndio yametufikisha hapa tulipo, sasa ili tutoke hapa na kusonga mbele kimaendeleo, Watanzania ni lazima tujifunze kuubali ukweli jinsi ile ulivyo, bila kurembwa rembwa. La CCM kutawala mimi ni ukweli mtupu.
Itaendelea
La CCM kutawala milele ni la kweli kwani ni agizo la rais na polisi na jeshi wanatakiwa walisimamie kama ilivyo kwa maagizo mengine.
Mkuu angalia Korea ya kusini na Africa zilikuwa wapi 50 yrs ago na sasa tuko wapi. Miaka 50 ni mingi kama unabaki pale pale na wengine wanachapa mwendo.
Wengi mnashindwa kumsoma Mwanafalsafa Mayala. Ukisoma katikati ya mistari uandishi haubabaishi. Yapo mazingira ya CCM kuendelea kutawala milele, lakini hakuna mazingira ya CCM kutawala milele. Kuna kani kinzani zitakapotokea basi zinauwezo wa kubadilisha kwendo wa chombo kinachosafiri njia nyoofu, kikasimama au kubadili mwelekeo. La pili, Kama ni umilele umehesabiwa sehemu moja tu! yaani Mungu! Kwa maana hiyo, milele ya CCM inaweza kuwa kitambo kidogo tu! Kumbuka miaka 1000 mbele za Mungu ni sawa na usiku wa jana Ukishakupita!Paschal Mayala,naona unatafuta nafasi ya kuteuliwa...utaipata muda siyo mrefu hakuna kilichowahi kudumu milele chini ya jua
Wanabodi,
Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku zote ndio husimama mpaka mwisho. Kali ya rais wetu Dr. John Pombe Magufuli, kuwa "CCM itatawala Milele " ni kauli ya ukweli kabisa kuwa ni ukweli halisi na ukweli bayana, katika mazingira ya sasa ya nchi yetu na uendeshaji wa siasa za vyama vingi, kama hakuna kitakachobadilika, then rais Magufuli yuko very right kuwa CCM itatawala milele!.
Moja kati ya sifa kubwa za rais Magufuli, ni kusema ukweli Daima tena bila kukopesha, wala kurembaremba, japo kuwa mkweli sana sometimes sio nzuri sana kidiplomasia katika baadhi ya maeneo, ambapo diplomasia hutumika, haya mambo ya diplomasia ndio yametufikisha hapa tulipo, sasa ili tutoke hapa na kusonga mbele kimaendeleo, Watanzania ni lazima tujifunze kuubali ukweli jinsi ile ulivyo, bila kurembwa rembwa. La CCM kutawala mimi ni ukweli mtupu.
Kuna wengi wanadhani siasa ni kupiga blah blah tuu, hivyo kwao, kila kinachosemwa na wanasiasa, wanakiona kama ni blah blah!, no!. Siasa sio blah blah, japo blah blah zipo, ila pia kuna ukweli bayana, dhahir, shahir!. Siasa ni sayansi, social science, hivyo sayansi ya siasa ni political science, inafuata kanuni zile zile za kisayansi za Newton laws of motion, ile kanuni ya a body in motion or a static body, itaendelea kubaki hivyo hivyo milele, hadi kutokea nguvu nyingine itakayoibadilisha, hivyo kwa hali hii ilivyo sasa, CCM is the body in motion, itaendelea kutawala milele, kwa sababu watu wenye uwezo wa Kimungu, wameishaona kuwa kwa Tanzania, hakuna kabisa uwezekano wa kutokea nguvu nyingine ya kuibadili CCM hadi isitawale Tanzania milele!.
Japo kila lenye mwanzo, huwa lina mwisho, na CCM inamwanzo lakini haina mwisho, kitu pekee ambacho kina mwanzo na hakina mwisho, ni Mungu pekee ambaye ni Alfa na Omega, hivyo pia katika utawala wa Tanzania, CCM ndio alfa na omega wa siasa zetu, huu ni ukweli bayana ambao lazima sote tuukubali na wale wote wasioukubali ukweli huu, ni kweli watapata taabu sana!.
Hizi kauli za CCM kutawala milele, hazikuanza leo, na wala hazikuanza na rais Magufuli.
Hebu tembelea bandiko hili, umsikilize mwana CCM huyu alisema nini na uangalie alisema
lini na alisema wapi!, kwa wavivu wa kufungua links, kauli hii ya CCM kutawala milele, ilitolewa na Mhe. Pinda ndani ya Bunge letu tukufu na hakuna aliyetia neno!.
PM, Hon. Mizengo Kayanza Peter Pinda; Sorry, You are very wrong!
Nilidhani Mhe. Pinda amekosea, kumbe mimi ndiye niliyekosea baada ya ukweli huu kuzidi kuthibitishwa.
Humu jf, mtu wa kwanza kusema kuwa CCM itatawala milele ni mwana jf huyu
Je, CCM Itatawala Milele Au?
Na nilipokutana naye, nilifanya nae mahojiano haya.
lini
Watch TBC Live!. " William Malecela na Ndoto ya CCM Kutawala Miaka 50!.
Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola!, Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla !.
Kuhusu hili la CCM kutawala milele, pia niliwahi kulisema hapa
CCM kutumia Hooks & Crooks Kushinda Chaguzi, Inajua Ikishindwa Ndio Itakufa Jumla, Itakubali?
Katika awamu hii, viongozi wa upinzani walipoamua kujiengua kwenye vyama vyao kujiunga CCM, japo walibezwa, nikasisitiza humu, wasibezwe, wanaona mbali
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
Pascal
Wanabodi,
Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku zote ndio husimama mpaka mwisho. Kali ya rais wetu Dr. John Pombe Magufuli, kuwa "CCM itatawala Milele " ni kauli ya ukweli kabisa kuwa ni ukweli halisi na ukweli bayana, katika mazingira ya sasa ya nchi yetu na uendeshaji wa siasa za vyama vingi, kama hakuna kitakachobadilika, then rais Magufuli yuko very right kuwa CCM itatawala milele!.
Moja kati ya sifa kubwa za rais Magufuli, ni kusema ukweli Daima tena bila kukopesha, wala kurembaremba, japo kuwa mkweli sana sometimes sio nzuri sana kidiplomasia katika baadhi ya maeneo, ambapo diplomasia hutumika, haya mambo ya diplomasia ndio yametufikisha hapa tulipo, sasa ili tutoke hapa na kusonga mbele kimaendeleo, Watanzania ni lazima tujifunze kuubali ukweli jinsi ile ulivyo, bila kurembwa rembwa. La CCM kutawala mimi ni ukweli mtupu.
Kuna wengi wanadhani siasa ni kupiga blah blah tuu, hivyo kwao, kila kinachosemwa na wanasiasa, wanakiona kama ni blah blah!, no!. Siasa sio blah blah, japo blah blah zipo, ila pia kuna ukweli bayana, dhahir, shahir!. Siasa ni sayansi, social science, hivyo sayansi ya siasa ni political science, inafuata kanuni zile zile za kisayansi za Newton laws of motion, ile kanuni ya a body in motion or a static body, itaendelea kubaki hivyo hivyo milele, hadi kutokea nguvu nyingine itakayoibadilisha, hivyo kwa hali hii ilivyo sasa, CCM is the body in motion, itaendelea kutawala milele, kwa sababu watu wenye uwezo wa Kimungu, wameishaona kuwa kwa Tanzania, hakuna kabisa uwezekano wa kutokea nguvu nyingine ya kuibadili CCM hadi isitawale Tanzania milele!.
Japo kila lenye mwanzo, huwa lina mwisho, na CCM inamwanzo lakini haina mwisho, kitu pekee ambacho kina mwanzo na hakina mwisho, ni Mungu pekee ambaye ni Alfa na Omega, hivyo pia katika utawala wa Tanzania, CCM ndio alfa na omega wa siasa zetu, huu ni ukweli bayana ambao lazima sote tuukubali na wale wote wasioukubali ukweli huu, ni kweli watapata taabu sana!.
Hizi kauli za CCM kutawala milele, hazikuanza leo, na wala hazikuanza na rais Magufuli.
Hebu tembelea bandiko hili, umsikilize mwana CCM huyu alisema nini na uangalie alisema
lini na alisema wapi!, kwa wavivu wa kufungua links, kauli hii ya CCM kutawala milele, ilitolewa na Mhe. Pinda ndani ya Bunge letu tukufu na hakuna aliyetia neno!.
PM, Hon. Mizengo Kayanza Peter Pinda; Sorry, You are very wrong!
Nilidhani Mhe. Pinda amekosea, kumbe mimi ndiye niliyekosea baada ya ukweli huu kuzidi kuthibitishwa.
Humu jf, mtu wa kwanza kusema kuwa CCM itatawala milele ni mwana jf huyu
Je, CCM Itatawala Milele Au?
Na nilipokutana naye, nilifanya nae mahojiano haya.
lini
Watch TBC Live!. " William Malecela na Ndoto ya CCM Kutawala Miaka 50!.
Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola!, Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla !.
Kuhusu hili la CCM kutawala milele, pia niliwahi kulisema hapa
CCM kutumia Hooks & Crooks Kushinda Chaguzi, Inajua Ikishindwa Ndio Itakufa Jumla, Itakubali?
Katika awamu hii, viongozi wa upinzani walipoamua kujiengua kwenye vyama vyao kujiunga CCM, japo walibezwa, nikasisitiza humu, wasibezwe, wanaona mbali
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
Pascal