Thebeacon
Member
- Dec 6, 2021
- 17
- 4
Alisema hivyo lini aiseee, sikusikia mimiAkili kisoda ...huyo unaye mtaja ndio aliwaambia polisi wachukue ya kubrashia viatu ...unadhani Ni nini hiyo kauli alimaanisha...Punguza kuabudu Maiti...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisema hivyo lini aiseee, sikusikia mimiAkili kisoda ...huyo unaye mtaja ndio aliwaambia polisi wachukue ya kubrashia viatu ...unadhani Ni nini hiyo kauli alimaanisha...Punguza kuabudu Maiti...
Nimeshapata network mkuu, ahsanteUnataka uende nchi gani mkuu.
Duuh, nimefika naambiwa Leo NO, maandalizi ya UHURU DAY, hivyo J3 natinga hapa tena, mpaka kieleweke, kabisa mwenye ujuzi wa pale nyumba ya Biden aanza kunipa style ya kuingia na kutoka na Visa yangu.Shukran, Leo naibuka pale
Eheeee, we apply online tuone kama wanakuletea! Ukiwaza hivyo safari utasikia kwa radio!!!Unaaply online siku hizi
Kweli maamuzi, ila na we we hautakua na uhakika wa kupata!!!!Kuombwa kutoa ni hiari yako
Kama una vigezo kwann usipate,ila sio mbaya ukimpa maadamu iwe hiari.Kweli maamuzi, ila na we we hautakua na uhakika wa kupata!!!!
Pasipoti uletewi unafata ofisini kama ni haraka Sana mfano matibabu au mikutano nje au safari yeyeto ya haraka hata siku hio hio unapata ukienda asubui jioni unapata , online ni taratibu za siku hizi Ili kusogeza huduma karibu,Eheeee, we apply online tuone kama wanakuletea! Ukiwaza hivyo safari utasikia kwa radio!!!
Usitanie mjombaMoja kati mioango yangu 2022 ni kuvuta hilo gamba
Hii kitu muhimu sanaUsitanie mjomba
Tsh ngapi?Passport inachukua siku 10 mpaka kutoka, fuata procedure za kawaida utaipata bila wasi wasi
150,000Tsh ngapi?
Kwa hapa dar niende uhamiaji kurasini or?!150,000
Anzia serikali ya mtaa, watakupa muongozoKwa hapa niende uhamiaji kurasini or?!
Nasikia kuingia kwa Biden siku hizi sababu ya Omicron lazima upime korona ndani ya masaa 24 kabla ya safarI.Duuh, nimefika naambiwa Leo NO, maandalizi ya UHURU DAY, hivyo J3 natinga hapa tena, mpaka kieleweke, kabisa mwenye ujuzi wa pale nyumba ya Biden aanza kunipa style ya kuingia na kutoka na Visa yangu.
Una haraka ya kukimbilia wapi....wewe fuata njia sahihi chini ya siku 7 unapata passport yako. Tena wakati mwingine unapeleka leo document, kesho unapataWadau nahitaji kupata Passport haraka kabla ya Januari 2022, mwenye uzoefu na hili anisaidie.
Shukran wakubwa
Hii kitu muhimu sana
Mkuu tuwekee hapa taratibu za kupata passport ili na sisi wengine ambao bado tunatafuta passport tuweze kuzifanya.Inawezekan anz sasa Tanzania Passport Application
Mimi mwez octa nltapat withn 7-8 days baada ya kukamlza taratbu zote zinazonihusu mimi
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app