ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
13:00-15:33Muda?
Asante mkuu kwa taarifaLeo jua litapatwa yaani mwezi utafunika jua na kufanya mchana giza litande na uonekane kama usiku lakini kwa asilimia kubwa maeneo watakayofaidi ni marekani Canada na Mexico. Nchi nyingine tutaona angalau kupatwa kwa jua Kwa sehemu tu.
Sawa na Saa moja jioni mida ya Afrika mashariki?13:00-15:33
Huo ndo muda ambao tutashuhudia sisi tuliopo 🇺🇸
Ni moja ya dalili ya dunia kulizunguka jua na mwezi kulizunguka duniaNi moja ya dalili za kiama
Siyo dalili ni matokeo ya dunia kulizunguka jua na mwezi kuizunguka dunia.Ni moja ya dalili ya dunia kulizunguka jua na mwezi kulizunguka dunia
sio sayansi ni unajimuHapo ndo naiheshimu sayansi!
Kwa kutumia kanuni zake, tunaweza kujua siku, muda, na maeneo ambayo tukio hilo litatokea.
Wachawi mko wapi?
Mi 5 tenaAsante mama Samia kwa kuwezesha hilo
Wapi huko?Duh aiseee nice. Huku ni mwendo wa wingu na mvua kubwa
Kwamba mama samia amesaidia CCM waone kupatw kwa jua? HahahaahAsante mama Samia kwa kuwezesha hilo
Mkuu haKuna cha kiama wala kiyumi,kupatwa kwa jua au mwezi kumekuwepo tangu enzi na enziNi moja ya dalili za kiama
Hakuna kitu km hicho sio sign ya impending DOOM sayansi ya anga imeeleza kila kituDuh nimeona pahala kuwa hii ni sign ya impending DOOM
Nyani ngabu me huwa nawashangaa watu hata water cycle wamekataa kuielewa eti imagine viongozi na raia wanajazana uwanja wa taifa kuomba mvua inyeshe yaani cycle inayojiendesha yenyewe unaiomba Tena?Hapo ndo naiheshimu sayansi!
Kwa kutumia kanuni zake, tunaweza kujua siku, muda, na maeneo ambayo tukio hilo litatokea.
Wachawi mko wapi?
Taken nimeandiko hvyo kuendana na nliekua namjibu. ShukraniSiyo dalili ni matokeo ya dunia kulizunguka jua na mwezi kuizunguka dunia.