Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi huko?
Ni juhudi za mama🤣🤣🤣🤣Kwamba mama samia amesaidia CCM waone kupatw kwa jua? Hahahaah
Apite bila kupingwa pia UVCCM waandamane awe rais wa milele sabu wameridhishw na kupatw kwa jua alikokuleta mamaNi juhudi za mama🤣🤣🤣🤣
Achana na imani za kipumbavu hizo. Sio mara ya kwanza hayo yanatokea mbona hiyo doom haijatokea?Duh nimeona pahala kuwa hii ni sign ya impending DOOM
Achana na imani zisizo na kichwa wala miguu. Hakuna kitu kama hicho.Ni moja ya dalili za kiama
Umezaliwa baada ya 2000?tunamshukuru sana rais kwa kufanikisha kupatwa kwa jua, safari nyingine alete kupatwa kwa jua huku kwetu maana tangia nizaliwe sijawai shuhudia tukio hilo
Hata Rais wa awamu ya Tano piaUmezaliwa baada ya 2000?
Kuna raisi wa awamu ya 3 alituletea hilo tukio Mubashara kabisa, tukauziwa mpaka miwani ya kuangalizia, Mbeya ndo walilifaidi tukio kwa 100%
As expected!Hata Rais wa awamu ya Tano pia
Self delusion is a gift of natural selection.Ni moja ya dalili za kiama
Wewe kweli una mwaka mmoja au, miaka kadhaa iliyopita watu walimiminika mbarali Mbeya kwenda kushuhudia kupata kwa jua, mida ya saa sita mchana ulikuwa ujazaliwa.tunamshukuru sana rais kwa kufanikisha kupatwa kwa jua, safari nyingine alete kupatwa kwa jua huku kwetu maana tangia nizaliwe sijawai shuhudia tukio hilo
Hahaha. Jamaa amefanya kejeli hapo.Wewe kweli una mwaka mmoja au, miaka kadhaa iliyopita watu walimiminika mbarali Mbeya kwenda kushuhudia kupata kwa jua, mida ya saa sita mchana ulikuwa ujazaliwa.
Siyo matokeo ni mfumo wa dunia kulizunguruka jua.Siyo dalili ni matokeo ya dunia kulizunguka jua na mwezi kuizunguka dunia.
Una umri gani?tunamshukuru sana rais kwa kufanikisha kupatwa kwa jua, safari nyingine alete kupatwa kwa jua huku kwetu maana tangia nizaliwe sijawai shuhudia tukio hilo
ahsante sanasio sayansi ni unajimu
bad, nilitaka niweke alarm ili nione kama kutakuwa na mabadiliko yoyote kwenye anga langu.Bongo hatuoni kitu...tutakuwa tushalala
Labda US ya Kibaigwa13:00-15:33
Huo ndo muda ambao tutashuhudia sisi tuliopo 🇺🇸
Tanzania Jua linazama saa ngapi ukiondoa Kigoma?Sawa na Saa moja jioni mida ya Afrika mashariki?