mkuu ikiwa una mashaka ni bora ukanunue sao hill maana hawa ni uhakika mbao kuwa treated na hata kwa vipimo hawaibi.Asante kwa mwongozo mkuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu ikiwa una mashaka ni bora ukanunue sao hill maana hawa ni uhakika mbao kuwa treated na hata kwa vipimo hawaibi.Asante kwa mwongozo mkuu!
mkuu idadi ya mbao hizo kwa kupaua tu ni nyingi sana, nilikuwa na zoezi la kupaua january 2016 nilinunua sao hill mbao 2*4 na 2*2 zilikuwa 377 na 1*10 20 zimepaua na blundering imefanyika na zilibaki 1*10 mbao 4 ukubwa wa nyumba yangu ni 16.2m kwa 12.4m ila unahitajika site muda wote ili mafundi wasikupige kwa sababu idadi ya mbao 377 waliniambia ni kwa ajili ya kupaua tu na bati migongo mipana walitaka 130 nikanunua 120 pale ando roofing buguruni lakini tulitumia 106 na zimebaki 14.Asante kwa mwongozo mkuu!
Mkuu bati za migongo mipana ulinunua kwa Tzs ngapi na ulinunua kwa kukata kutokana na vipimo au alikata fundi wako?mkuu idadi ya mbao hizo kwa kupaua tu ni nyingi sana, nilikuwa na zoezi la kupaua january 2016 nilinunua sao hill mbao 2*4 na 2*2 zilikuwa 377 na 1*10 20 zimepaua na blundering imefanyika na zilibaki 1*10 mbao 4 ukubwa wa nyumba yangu ni 16.2m kwa 12.4m ila unahitajika site muda wote ili mafundi wasikupige kwa sababu idadi ya mbao 377 waliniambia ni kwa ajili ya kupaua tu na bati migongo mipana walitaka 130 nikanunua 120 pale ando roofing buguruni lakini tulitumia 106 na zimebaki 14.
mkuu idadi ya mbao hizo kwa kupaua tu ni nyingi sana, nilikuwa na zoezi la kupaua january 2016 nilinunua sao hill mbao 2*4 na 2*2 zilikuwa 377 na 1*10 20 zimepaua na blundering imefanyika na zilibaki 1*10 mbao 4 ukubwa wa nyumba yangu ni 16.2m kwa 12.4m ila unahitajika site muda wote ili mafundi wasikupige kwa sababu idadi ya mbao 377 waliniambia ni kwa ajili ya kupaua tu na bati migongo mipana walitaka 130 nikanunua 120 pale ando roofing buguruni lakini tulitumia 106 na zimebaki 14.
26g = 13,950/=Mkuu bati za migongo mipana ulinunua kwa Tzs ngapi na ulinunua kwa kukata kutokana na vipimo au alikata fundi wako?
pamoja mkuu.Kaka umesema ukweli mtupu! Mimi nilipewa hiyo idadi ya mbao na fundi lakini naendelea na utafit wangu front mpaka kieleweke.
Ahsante mkuu26g = 13,950/=
28g = 12,000/=
hizo hapo juu ni bei za ando roofing.
nilinunua 28g bati za 3m, mafundi walikata wenyewe ila ni wazuri sana na pia usimamizi wako site unasaidia sana kutoibiwa.
karibu mkuu.Ahsante mkuu
mkuu uko sahihi ila wanatia hasara mfano nina bati 14 zimebaki ukizidisha mara 36,000/= unaweza kuona hii hela ililala hapo ningeweza kufanyia jambo jingine na hiyo pia ni baada ya kutonunua bati 130 kama alivyotaka fundi mimi nikanunua 120.HAKUNA FUNDI MKWELI LABDA KINYOZI. MAKADIRIO YAKIZIDI NI BORA KULIKO YAKIPUNGUA
Yaah nasikia jamaa wako vizuri, nna mpango wa kuwaona hao (sao hill), thanx!mkuu ikiwa una mashaka ni bora ukanunue sao hill maana hawa ni uhakika mbao kuwa treated na hata kwa vipimo hawaibi.
yep mkuu waone hutojutia.Yaah nasikia jamaa wako vizuri, nna mpango wa kuwaona hao (sao hill), thanx!
Mi nimemaliza juzi juzi kupaua. Mabati 3.2m, mbao 2m na,Fundi ni kama 1.4m, vyumba vitatu vikubwa sana! Viwili ni master,sebule,jiko na stoo na ni Nyumba yenye coridor ndefu. Fundi na wasaidizi wake walimaliza kazi nda ni ya siku tano na nilisimamia mwenyewe.
Nashangaa watu wanaleta mabei makuubwaaa hapa ya kifisadi,acheni kutisha watu.
Naona kuta zimepanda kozi 4 halafu 6 ikafuata linta halafu kozi 2hio imekula mabati mingongo mipana 90,mbao za 2 by 3 ni 130,mbao za 2 by 4 ni 50![]()
kila kitu pamoja na ufundi imetrmbea kama 4M
Embu naomba address chiefKwa bati nzuri na vigae nenda ando, maana ndio wanaouza bati kwa bei ya kutupwa
Embu naomba address chief
mkuu idadi ya mbao hizo kwa kupaua tu ni nyingi sana, nilikuwa na zoezi la kupaua january 2016 nilinunua sao hill mbao 2*4 na 2*2 zilikuwa 377 na 1*10 20 zimepaua na blundering imefanyika na zilibaki 1*10 mbao 4 ukubwa wa nyumba yangu ni 16.2m kwa 12.4m ila unahitajika site muda wote ili mafundi wasikupige kwa sababu idadi ya mbao 377 waliniambia ni kwa ajili ya kupaua tu na bati migongo mipana walitaka 130 nikanunua 120 pale ando roofing buguruni lakini tulitumia 106 na zimebaki 14.[/QUOTE
thread nzuri
kuna tofauti gani ya bei kwa mita kati ya ANDO na ALAF kwa mabati ya IT profile na maxcover?HQ: WAZO HILL INDUSTRIAL AREA, DAR ES SALAAM.
www.ando.co.tz
Instagram: andoroofingproducts
Email: info@ando.co.tz
Mobile: +255 754 306 445/+255 767 909 271/+255 767 909 179
CR to abd-rashid nkando.