Kupaua nyumba (Makadirio ya gharama)

Kupaua nyumba (Makadirio ya gharama)

26g = 13,950/=
28g = 12,000/=
hizo hapo juu ni bei za ando roofing.

nilinunua 28g bati za 3m, mafundi walikata wenyewe ila ni wazuri sana na pia usimamizi wako site unasaidia sana kutoibiwa.
Kaka nisaidie bei ya mbao na office za Sao hill Kwa Dar nikanunua kwao. Nahitaji mbao Kama 500 za 2x4.
 
mkuu bei nimesahau ila nenda ofisi za sao hill wapo kati ya kituo cha mwananchi na garage.

1420031691177a59ad27a979468a89c9.jpg

Kaka nisaidie bei ya mbao na office za Sao hill Kwa Dar nikanunua kwao. Nahitaji mbao Kama 500 za 2x4.
 
Habari ya kazi nami naomba mnipe makadirio ya kupaua kuanzia bati mbao na pesa ya ufundi ukubwa wa nyumba yangu ni 12.5mx13.5
 
Habari ya kazi nami naomba mnipe makadirio ya kupaua kuanzia bati mbao na pesa ya ufundi ukubwa wa nyumba yangu ni 12.5mx13.5

Amani iwe kwako.
Mbao za 2×4 PC 130 @ft 980 kila ubao tuseme una irefu wa ft.18 kwa hiyo 18×115×980=2,028,600/=

Mbao za 2×2 PC 95 @ft 500 ubao wenye ft 18 inakuwa hivi;
18×85×500=765,000/=

Mbao za 1×10 PC 16×22,000=352,000/=

Jumla kuu ni Tshs. 3,145,600/=

Pesa ya fundi Kupaua kwa mafundi wetu hawa local andaa 1,500,000/=
Kwenye swala la bati nakadiria squire m.270@10,000=2,700,000/= IT 5 bei ya kiwandani.

Nakutakia maandalizi mema Mkuu.
 
Amani iwe kwako.
Mbao za 2×4 PC 130 @ft 980 kila ubao tuseme una irefu wa ft.18 kwa hiyo 18×115×980=2,028,600/=

Mbao za 2×2 PC 95 @ft 500 ubao wenye ft 18 inakuwa hivi;
18×85×500=765,000/=

Mbao za 1×10 PC 16×22,000=352,000/=

Jumla kuu ni Tshs. 3,145,600/=

Pesa ya fundi Kupaua kwa mafundi wetu hawa local andaa 1,500,000/=
Kwenye swala la bati nakadiria squire m.270@10,000=2,700,000/= IT 5 bei ya kiwandani.

Nakutakia maandalizi mema Mkuu.[/QUOT
Amani iwe kwako.
Mbao za 2×4 PC 130 @ft 980 kila ubao tuseme una irefu wa ft.18 kwa hiyo 18×115×980=2,028,600/=

Mbao za 2×2 PC 95 @ft 500 ubao wenye ft 18 inakuwa hivi;
18×85×500=765,000/=

Mbao za 1×10 PC 16×22,000=352,000/=

Jumla kuu ni Tshs. 3,145,600/=

Pesa ya fundi Kupaua kwa mafundi wetu hawa local andaa 1,500,000/=
Kwenye swala la bati nakadiria squire m.270@10,000=2,700,000/= IT 5 bei ya kiwandani.

Nakutakia maandalizi mema Mkuu.
SHUKRAN MKUU
 
Kwenye mbao na bati hayuko mbali sana na ukweli lakini gharama za ufundi ndiyo tatizo
mm ni quantity surveyor nitafute nikufanyie cost yake nahusika na kutoa cost za nyumba na pia nachora nyumba uitakayo 0784834208 pia kwa Sasa natumia 0677400169 au 0753757303
 
Nimezipenda bati za SUN SHARE. kiwanda chao kwa hapa Dar. Kipo sehemu gani?
 
Mm nmejenga nyumba vyumba 3kimoja master sitting room choo cha ndani jiko stoo na korido ktk kuelekea sebureni bati nmetumia milion moja kench laki sita misumari waya pamoja na kepu laki mbili ufundi laki nne
 
Asante kaka umenipa mwangaza mzuri,kama hutojali naomba kama itawezekana uniambie hizo bati ulizinunua duka gani(kama upo Dar),pia mbao ulitumia za dawa au za kawaida?natanguliza shukrani.
Nilinunua mwanza
 
Nyumba ya vyumba vinne na vikorokoro. makadirio ni 15m material 12m (bati alaf it5 5m) na ufundi 3m.
 
Mm nmejenga nyumba vyumba 3kimoja master sitting room choo cha ndani jiko stoo na korido ktk kuelekea sebureni bati nmetumia milion moja kench laki sita misumari waya pamoja na kepu laki mbili ufundi laki nne
Mkuu ukubwa wa nyumba yako please kama hutojali maana nina mpango wa kujenga kibanda cha mtindo huo.
 
Amani iwe kwako.
Mbao za 2×4 PC 130 @ft 980 kila ubao tuseme una irefu wa ft.18 kwa hiyo 18×115×980=2,028,600/=

Mbao za 2×2 PC 95 @ft 500 ubao wenye ft 18 inakuwa hivi;
18×85×500=765,000/=

Mbao za 1×10 PC 16×22,000=352,000/=

Jumla kuu ni Tshs. 3,145,600/=

Pesa ya fundi Kupaua kwa mafundi wetu hawa local andaa 1,500,000/=
Kwenye swala la bati nakadiria squire m.270@10,000=2,700,000/= IT 5 bei ya kiwandani.

Nakutakia maandalizi mema Mkuu.
Mkuu kwa bati za aina gani?
 
Back
Top Bottom