Gogovivu45
JF-Expert Member
- Oct 10, 2019
- 229
- 133
Uko sahihi mkuu Mimi nimepeleja saiti mafundi watatu idadi ya bati ilikuwa tofauti mmoja 140 , mwingine 120 mwingine 110 Nyumba INA urefu wa 12m upana 10.6m hapa nimekata tamaa kabisaKwenye mchakato wa ujenzi mafundi wanatupigia gharama za juu sana aiseee. husanai kwenye kupau, nyumba yenye vipimo vya 12.007 Kwenye urefu na upana, mtu anakwambia bati 150, mwingine 133 , mwingine 118, mwingine 120.. yaani unashindwa ata kufahamu umpe kazi fundi yupi
Uko sahihi mkuu Mimi nimepeleja saiti mafundi watatu idadi ya bati ilikuwa tofauti mmoja 140 , mwingine 120 mwingine 110 Nyumba INA urefu wa 12m upana 10.6m hapa nimekata tamaa kabisa
Usikate tamaa jikusanye tu uchukue hata bando 6.5 au 7 ucheki ila uwe na akiba ya kuongezea kama yatapungua.Uko sahihi mkuu Mimi nimepeleja saiti mafundi watatu idadi ya bati ilikuwa tofauti mmoja 140 , mwingine 120 mwingine 110 Nyumba INA urefu wa 12m upana 10.6m hapa nimekata tamaa kabisa
Sawa kakausikate tamaa jikusanye tu uchukue hata bando 6.5 au 7 ucheki ila uwe na akiba ya kuongezea kama yatapungua
Umetumia gharama total kiasi gani ku raise boma lenye upana huo uliouanisha? ApproximatelyUko sahihi mkuu Mimi nimepeleja saiti mafundi watatu idadi ya bati ilikuwa tofauti mmoja 140 , mwingine 120 mwingine 110 Nyumba INA urefu wa 12m upana 10.6m hapa nimekata tamaa kabisa
Kama 10.3milionUmetumia gharama total kiasi gani ku raise boma lenye upana huo uliouanisha? Approximately
Asante sana, ngoja nijichange nimkomboe bimkubwa na makazi mapya.Kama 10.3milion
Uko sahihi mkuu.hata 12m piaKama 10.3milion
Hapo tumia 120 & 110.. maanake ni kwamba bando 7 na nusuHata kama unania ya kupiga msouth unajikuta unakwama unakimbilia simba dumu bei nafuu...
Mie nguvu zikaniishia kabisa maana ndo nitakaribia stage hizo sasa huku sikutishana uku.
Fact and clearMi nimemaliza juzi juzi kupaua. Mabati 3.2m, mbao 2m na,Fundi ni kama 1.4m, vyumba vitatu vikubwa sana! Viwili ni master,sebule,jiko na stoo na ni Nyumba yenye coridor ndefu. Fundi na wasaidizi wake walimaliza kazi nda ni ya siku tano na nilisimamia mwenyewe.
Nashangaa watu wanaleta mabei makuubwaaa hapa ya kifisadi,acheni kutisha watu.
Fact and clear
Hahahaahha Kuna mafundi wa level tofauti fundi wa mbagara hawezi kuwa sawa na fundi wa kinondoni kwahiyo fanya survey hata pembezoni mwa jiji mbona watu wemepaua vizuri tu baadaye unamtafuta fundi aliyehusika na ujenzi huo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kupaua ni gharama sana wakuu, maana ni mchakato wa pamoja wa siku moja siyo wa awamu kwa awamu kama kujenga boma. Alaf bati zao ni mkasi sana , unafuu huko kwenye viwanda vingine ambavyo vinauza bei pungufu ya alaf, changamoto ipo kwenye ubora wa hizo bati. wengine wanajinasibu kuwa wanakupa warrant 10 years. yaani nichangamoto sana kwenye mchakato wa mabati
Yaani wewe hujajua ukubwa wa nyumba, ushataja bei zote!...[emoji849]Duuuu!Acheni kutisha watu jamani. Watakuwa wanaogopa kwa hii ibei yenu ya kifisadi mnayoweka huku. Hizo bei labda za huko serikalini.
Mkuu,Mkuu ufundi wa kuezeka tu mil 3? @zembemkuu
nami nmeshtukaMkuu ufundi wa kuezeka tu mil 3? @zembemkuu