Kupaua nyumba (Makadirio ya gharama)

Kupaua nyumba (Makadirio ya gharama)

Sijakosea,ukubwa ni 8m kwa 11m,bati 90 za migongo mipana za kiboko kiwandani ni sh 20,000 kwa kila bati,fundi kachukua sh 500,000 tu

Sijakosea,ukubwa ni 8m kwa 11m,bati 90 za migongo mipana za kiboko kiwandani ni sh 20,000 kwa kila bati,fundi kachukua sh 500,000 tu
6b37f181b24880981a8ecd730d7603bc.jpg
Kaka naomba haka karamani?
 
Jamani kupaua ni gharama kuna rafiki yangu alitajiwa jumla ya 17M (ufundi, mbao, bati-ALAF, ukubwa around 15x20). Hapahapa DSM, Akaomba apunguziwe walau 14, ikashindikana. Akaahirisha. Kama huyo rafiki yangu akiiona hii post, atampigia huyu jamaa mara moja.
Ni kweli mkuu watu wanafikir kupaua ni kazi ya kitoto.
Kupaua ndio stage ngumu kuliko zote kwenye ujenzi wa nyumba.
Kujenga pagala ni rahisi sana ukiwa na kiwanja.
 
Transporter
Mkuu kwenye mbao hapo mmmm mbona kama rahisi sana any way mi si mtaalamu sana
Kwenye mbao pale amekosea.
Kwa kawaida gharama ya mbao huwa inazidi ya bati.
Na ukichukua mafundi wa bei rahisi sana Kuna hatari ya kuharibiwa nyumba yako.
Nyumba ni kitu Cha kudumu na sio kitu Cha kukifanyia majaribio.
Cha msingi ukijipanga ni kumwita fundi na kupatana usiogope fundi anapotaja pesa kubwa ambayo ipo nje kidogo ya budget yako.
Kwa jinsi nilivyokaa nao mafundi na kuwazoea nimegundua huwa hawana bei maalum bali huwa wanaangalia mazingira kazi ilipo.
Kwa mfano bei wanayotaja masaki/upanga/mbezi beach ni tofauti na bei wanayotaja mbagala/vingunguti/gongolamboto.
 
Ni kweli mkuu watu wanafikir kupaua ni kazi ya kitoto.
Kupaua ndio stage ngumu kuliko zote kwenye ujenzi wa nyumba.
Kujenga pagala ni rahisi sana ukiwa na kiwanja.
Kupaua ni gharama lkn mwenye nyumba usiposimamia inakuwa gharama mara elfu kumi
 
Kwenye mbao pale amekosea.
Kwa kawaida gharama ya mbao huwa inazidi ya bati.
Na ukichukua mafundi wa bei rahisi sana Kuna hatari ya kuharibiwa nyumba yako.
Nyumba ni kitu Cha kudumu na sio kitu Cha kukifanyia majaribio.
Cha msingi ukijipanga ni kumwita fundi na kupatana usiogope fundi anapotaja pesa kubwa ambayo ipo nje kidogo ya budget yako.
Kwa jinsi nilivyokaa nao mafundi na kuwazoea nimegundua huwa hawana bei maalum bali huwa wanaangalia mazingira kazi ilipo.
Kwa mfano bei wanayotaja masaki/upanga/mbezi beach ni tofauti na bei wanayotaja mbagala/vingunguti/gongolamboto.
Gharama ya mbao inazidi gharama ya bati?
 
We Jamaa mnyonyaji,otherwise nyumba yako ilikuwa ndogo sana
Kuna fund nilimpata ni mzuri tu tena maarufu kwa kupaua nyumba za mtaani hapa nilipohamia kanianzia laki 6 nikamwambia sina nimekaa mwezi mzima namsikilizia ..mwenyewe akanifata na kunimbia nilikuwana na ngapi nikamjibu laki 3 akaniambia laki 4 afanye kzi nikamjihu sina akasema nimpe 3.5 laki nikamwambia poa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gharama ya mbao inazidi gharama ya bati?
Ndio hivyo mkuu,gharama ya mbao huwa inazidi kidogo ya bati,naongelea bati za msouth migongo mipana au myembamba.
Kwa mfano Mimi nilivyopaua nilitumia milioni 4 kwenye mbao na milioni 3 kwenye bati.
 
Ndio hivyo mkuu,gharama ya mbao huwa inazidi kidogo ya bati,naongelea bati za msouth migongo mipana au myembamba.
Kwa mfano Mimi nilivyopaua nilitumia milioni 4 kwenye mbao na milioni 3 kwenye bati.
Dah Mie nachoka,ninataka kupaua.Bati nataka kutumia za migongo midogo za Rangi.Mbao nimeibajitia milioni 1.5-2 bati milioni 3-3.6 Sasa hapa kusikia mbao zinakuwa juu nazidi kupagawa
 
Dah Mie nachoka,ninataka kupaua.Bati nataka kutumia za migongo midogo za Rangi.Mbao nimeibajitia milioni 1.5-2 bati milioni 3-3.6 Sasa hapa kusikia mbao zinakuwa juu nazidi kupagawa
Hiyo nyumba yako Ina ukubwa gani ndugu?
Na pia inategemea muundo wa hiyo nyumba yako Ina paa la aina gani,Kama ni ujenzi wa kizamani Kama mgongo wa tembo hapo sawa?
 
Kama una kiwanja anza msingi kwanza kwani msingi hauna gharama maalum kwa kuwa inategemea eneo ulipo na aina ya vifaa vya kutumia kama aidha msingi wa mawe au matofali. ila kwa Mwanza upatikanaji wa mawe ni mkubwa. Hata hivyo gharama za boma hadi kupaua hazitofautian sana. Kwa kifupi angalia gharama nilizotumia kuanzia msingi, boma, lenter, kupaua na magrill.
UNAPATIKANA MWANZA ?????
 
Mkuu..
Nimeona post yako naomba nikushauri kitu kimoja kama bado ujaezeka..
Kama mtaalamu wa ujenzi..makadirio nikitu kirahisi Lakini nakushauri ukipenda kupunguza gharama za kupaua kwanza Hilo Paa lako lina angle kubwa nahisi ni degree 30 au zaidi..ndio maana roof linaenda juu sana..
Kitaalam kwa nyumba za kuishi urefu wa roof angalau uwe nusu ya urefu wa ukuta wa nyumba yako..
Naomba unipemakadilio ya nyumba ya 12m urefu na 10.6m upana , angle ni 30 nyuzi na plani ya paa ni kama ilivyo hapo chinj
 

Attachments

  • IMG_20200103_131335.jpg
    IMG_20200103_131335.jpg
    31.1 KB · Views: 42
Ndio hivyo mkuu,gharama ya mbao huwa inazidi kidogo ya bati,naongelea bati za msouth migongo mipana au myembamba.
Kwa mfano Mimi nilivyopaua nilitumia milioni 4 kwenye mbao na milioni 3 kwenye bati.
Nyumba ya 12m urefu na 10.6 m upana angle 30 nyuzi paa ni kama hapo chini hutumia bati na mbao kiasi gani
 

Attachments

  • IMG_20200103_131335.jpg
    IMG_20200103_131335.jpg
    31.1 KB · Views: 45
Nyumba ya 12m urefu na 10.6 m upana angle 30 nyuzi paa ni kama hapo chini hutumia bati na mbao kiasi gani
Mkuu makadirio ni hayo hayo niliotoa kwenye post yangu iliyopita.
Hilo paa lako limefanana kwa kila kitu na paa langu yaani utafikiri uliipiga picha paa ya nyumba yangu.
Utofauti wake ni upana tu wa paa langu ambao ni 9m na urefu ni 12m.
So jiandae tu kwa makadirio yaleyale na usikurupuke Kama hauna milioni 10 kwenye akaunti yako Kama utatumia bati la msauzi na mbao zenye dawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kwli kupaua gharama lakini sio kwa gharama hizo ulizo zitaja!...
Jamani kupaua ni gharama kuna rafiki yangu alitajiwa jumla ya 17M (ufundi, mbao, bati-ALAF, ukubwa around 15x20). Hapahapa DSM, Akaomba apunguziwe walau 14, ikashindikana. Akaahirisha. Kama huyo rafiki yangu akiiona hii post, atampigia huyu jamaa mara moja.
 
Back
Top Bottom