Kibuyu Kazi
JF-Expert Member
- Jun 3, 2017
- 303
- 90
Kwa aliye tayali 0653064813 mbao ulefu wowote kwanzia Fuji 12 nakuendelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo Dar es Salaam. Nyumba ipo Kibaha nje kidogo ya maili moja.Naomba fundi wa kukadiria gharama za kuezeka mjengo kama ulivyoonyeshwa kwenye picha. Vipimo vya msingi ni mita 15x16.
Fundi aainishe:
1. Idadi ya kila aina ya mbao na kazi zake mfano kenchi nk. Kisha gharama za ununuzi.
2. Idadi na aina ya bati yaani aina ya bati, urefu wake na idadi. Kisha gharama zake.
3. Idadi na aina ya misumari.
Idadi na aina ya kofia.
4. Gharama zake za ujenzi.
Hii ni sawa na kutangaza tenda. Eligible biders wanakaribishwa inbox.View attachment 522327
View attachment 522328
Japo ni ya kitambo(2013), imenibidi nicheke.kama nyingi ezeka mwenyewe
Naomba fundi wa kukadiria gharama za kuezeka mjengo kama ulivyoonyeshwa kwenye picha. Vipimo vya msingi ni mita 15x16.
Fundi aainishe:
1. Idadi ya kila aina ya mbao na kazi zake mfano kenchi nk. Kisha gharama za ununuzi.
2. Idadi na aina ya bati yaani aina ya bati, urefu wake na idadi. Kisha gharama zake.
3. Idadi na aina ya misumari.
Idadi na aina ya kofia.
4. Gharama zake za ujenzi.
Hii ni sawa na kutangaza tenda. Eligible biders wanakaribishwa inbox.View attachment 522327
View attachment 522328
Kwa haraka haraka gharama za material ya kupaua no karibia m.10 hivi hilo boma kajenga kwa gharama gani nyie ndio wale mafundi wezinyumba ina ukubwa gani? hata hivyo andaa fedha za mbao treated timber kama 3.5m na bati 5m na ufundi 3m, kama hujapata fundi ni PM nije nicheki site then tutaongea.
Ahahaha hata kichaa hawezi kukubali being hiyoooMkuu ufundi wa kuezeka tu mil 3? @zembemkuu
Hiyo m3 mm nimepata mbao za sao hill PCs 200 na bati bando 6 na fund na nyumba nimehamiaKaka hizi bei zako mbona utata. Ukiacha kutojua ukubwa. Bati m5 ni Bundle ngapi? Na ni aina gani? Mbao m3 ni kivipi na ngapi na kila moja sh ngapi hadi ziwe na hiyo gharama? huyo fundi wa kupaua kwa m3 nyumba ya mtanzania!.
Hiyo m3 mm nimepata mbao za sao hill PCs 200 na bati bando 6 na fund na nyumba nimehamiaKaka hizi bei zako mbona utata. Ukiacha kutojua ukubwa. Bati m5 ni Bundle ngapi? Na ni aina gani? Mbao m3 ni kivipi na ngapi na kila moja sh ngapi hadi ziwe na hiyo gharama? huyo fundi wa kupaua kwa m3 nyumba ya mtanzania!.
Usawa huu kwa fundi wa mtaani tu achukue 3m ya ufundi? That's way too much, unaweza kupata fundi akapaua kwa as cheaper as 1.5m na nyumba ikasimama "wima".Kwa haraka haraka gharama za material ya kupaua no karibia m.10 hivi hilo boma kajenga kwa gharama gani nyie ndio wale mafundi wezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyumba ya ukubwa gani mpaka ipauliwe pesa ndogo hivyoKuna fund nilimpata ni mzuri tu tena maarufu kwa kupaua nyumba za mtaani hapa nilipohamia kanianzia laki 6 nikamwambia sina nimekaa mwezi mzima namsikilizia ..mwenyewe akanifata na kunimbia nilikuwana na ngapi nikamjibu laki 3 akaniambia laki 4 afanye kzi nikamjihu sina akasema nimpe 3.5 laki nikamwambia poa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbao za ukubwa gani na bati gani hizo?Hiyo m3 mm nimepata mbao za sao hill PCs 200 na bati bando 6 na fund na nyumba nimehamia
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko wapi na bei zako zikoje?
Zumbemkuu said pls send to me Simonmartine622@gmail.comAsalam Ailekum wandugu,
Nahitaji mtaalam wa kunifanyia makadirio ya ujenzi wa nyumba hususan kupaua kwa kutumia bati. Nyumba ipo Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Natanguliza Asante.
--------------------
[emoji1] [emoji1] kweli kabisa mkuu.Hii post imekaa kimtego mtego sana kugundua mafundi wezi naona wezi kibao wamejitokezaaa ahahahaha
Sent using Jamii Forums mobile app