alaksh natena
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 462
- 523
- Thread starter
- #21
Ok mkuu hapo nimekusoma,Asante sanaPVA ni rangi maalum kwaajili ya paa tu,hata ukienda dukani utaona maandishi ya PVA kwenye ndoo.
Namna ya kuipaka inategemeana na bajeti Yako,Kuna watu wanatumia brush,mifagio ya kudekia yenye tambi nyingi halafu wenye uwezo wanachukua mashine ya kuspray.