Kupauka kwa bati. Je, Kuna rangi nikipaka itadumu kwa kitambo kirefu?

Kupauka kwa bati. Je, Kuna rangi nikipaka itadumu kwa kitambo kirefu?

Wakuu bati zangu zimeanza kupauka ndani ya miaka 5 toka nipaue Aina yake ni zile za migongo mipana.

Je Kuna rangi nikipaka itadumu kwa kitambo kirefu? Naomba kuwasilisha
Aina?,ni kampuni Gani ulinunua?,ALAF,Ando,NABAKI AFRIKA,SUNSHARE,WAJA,KIBOKO? etc.
Bati zote zenye rangi zinapauka,sema "rate" ya kupauka inatofautiana kulingana na "tech" yakiwanda husika.
Issue kubwa kwenye bati ni kutopata kutu!

Mfano GAUGE 30 ALAF,3M anauza 39400/= huku wakina SUNSHARE na WAJA ,wanauza elfu 20,......unaweza fikiri ALAF Wana tamaa sana na hela zako😄😁😆
Ila believe me ukiezeka hizo SUNSHARE/WAJA zitanga"aa sana kuliko ALAF ndani ya mwaka,ila baada ya hapo hamna kitu,zinatepeta,zonapoteza rangi na zinapata kutu.
Unajua kwa nini,ALAF anatumia chuma aina ya Chromium,ambayo ni rust resistant while,SUNSHARE/WAJA/KIBOKO et al,hutumia Fero-Aluminium ambayo ni rust attract,.......hata uzito tofauti,mafundi ukiwapa kazi yakukutafutia bati hawatakushauri ALAF,sababu ni bati nzito mno,watakushauri KIBOKO,WAJA,SUNSHARE sababu ni nyepesi wapate urahisi kuzibeba na kuzikunja
Ukiniambia nikushauri kuhusu roofing materials:-
1.NABAKI AFRIKA 2.ANDO ROOFING 3.ALAF
 
Aina?,ni kampuni Gani ulinunua?,ALAF,Ando,NABAKI AFRIKA,SUNSHARE,WAJA,KIBOKO? etc.
Bati zote zenye rangi zinapauka,sema "rate" ya kupauka inatofautiana kulingana na "tech" yakiwanda husika.
Issue kubwa kwenye bati ni kutopata kutu!

Mfano GAUGE 30 ALAF,3M anauza 39400/= huku wakina SUNSHARE na WAJA ,wanauza elfu 20,......unaweza fikiri ALAF Wana tamaa sana na hela zako😄😁😆
Ila believe me ukiezeka hizo SUNSHARE/WAJA zitanga"aa sana kuliko ALAF ndani ya mwaka,ila baada ya hapo hamna kitu,zinatepeta,zonapoteza rangi na zinapata kutu.
Unajua kwa nini,ALAF anatumia chuma aina ya Chromium,ambayo ni rust resistant while,SUNSHARE/WAJE et al,hutumia Fero-Aluminium ambayo ni rust attract,.......hata uzito tofauti,mafundi ukiwapa kazi yakukutautia bati hawatakushauri ALAF,sababu ni bati nzito mno,watakushauri KIBOKO,WAJA,SUNSHARE sababu ni nyepesi wapate urahisi kuzibeba na kuzikunja
Ukiniambia nikushauri kuhusu roofing materials:-
1.NABAKI AFRIKA 2.ANDO ROOFING 3.ALAF
Ando mwenyewe anapauka vizuri mno.
 
Paka rangi mkuu,kung'oa bati ni hasara kubwa.
Jambo la kuzingatia kwenye ununuzi wa mabati ya rangi ni kununua bati lenye geji iliyotimia masuala ya rangi ni madogo sana.
Nishauri rangi gani mkuu. Yaani mpaka boda akielekeza anasema si pale kwenye bati lililopauka?
 
Nishauri rangi gani mkuu. Yaani mpaka boda akielekeza anasema si pale kwenye bati lililopauka?
Angalau rangi zinazochelewa kupauka ni hizi:
1. Brick Red/maroon.
2.Coffee.
3. Red ambapo Kampuni ya kiboko wanaita Kampala red,Kinglion wanaita wine red.
4. Carrot/dark pink( Alaf wanayo nzuri)
5.Sky blue ( Alaf pekee Wana hii rangi nzuri).
Lakini usijichanganye kununua rangi ya dark grey au black maana hali ya hewa yetu siyo rafiki pia kampuni nyingi za mabati bado hazijapata suluhu la kudumu la rangi hii nyeusi.
 
Angalau rangi zinazochelewa kupauka ni hizi:
1. Brick Red/maroon.
2.Coffee.
3. Red ambapo Kampuni ya kiboko wanaita Kampala red,Kinglion wanaita wine red.
4. Carrot/dark pink( Alaf wanayo nzuri)
5.Sky blue ( Alaf pekee Wana hii rangi nzuri).
Lakini usijichanganye kununua rangi ya dark grey au black maana hali ya hewa yetu siyo rafiki pia kampuni nyingi za mabati bado hazijapata suluhu la kudumu la rangi hii nyeusi.
Sawa mkuu, nitazingatia
 
Angalau rangi zinazochelewa kupauka ni hizi:
1. Brick Red/maroon.
2.Coffee.
3. Red ambapo Kampuni ya kiboko wanaita Kampala red,Kinglion wanaita wine red.
4. Carrot/dark pink( Alaf wanayo nzuri)
5.Sky blue ( Alaf pekee Wana hii rangi nzuri).
Lakini usijichanganye kununua rangi ya dark grey au black maana hali ya hewa yetu siyo rafiki pia kampuni nyingi za mabati bado hazijapata suluhu la kudumu la rangi hii nyeusi.
Kwa ambao bado kuzeka nyumba tumejifunza kitu hapa
 
Paka rangi mkuu,kung'oa bati ni hasara kubwa.
Jambo la kuzingatia kwenye ununuzi wa mabati ya rangi ni kununua bati lenye geji iliyotimia masuala ya rangi ni madogo sana.
Geji sahihi nayo ni ishu!
Kuna bati zipo sokoni, hizo za migongo mipana, naweza sema ni geji 34 - nyepesi karibia kama foil paper
 
Back
Top Bottom