alaksh natena
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 462
- 523
- Thread starter
- #41
Greyni kijani au jekundu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Greyni kijani au jekundu
Miaka 6 hadi 11 muda mrefu sana.Hakuna bati lisilopauka acheni kudanganya watu hapa,ingawa yapo makampuni yanaweka rangi zinazokaa kidogo,nimeshudia bati la ALAF ndani ya miaka 11 limepauka na limeanza kutengeneza kutu mwishoni kabisa maji yanakomwagikia,jamaa sasa hivi kapiga rangi nyingine ili kuresque the situation...
Hizo ni zile famba, mie zimeanza kupauka, ila almuhimu hatuvujiwi fresh tu, haisumbui ubongo,
Mara nyingi watu husubiri mpaka lianze kuonyesha dalili ya kutu ndio hupiga rangi...sababu tusuburi wataalamGrey
ww akili zako zimeganda..kwani humu hakuna mafundi na wataalamu wa ujenzi wa kumpa ushauri na zaidi humu kuna wenye nyumba walipata changamoto kama ya mleta mada kwa bati za nyumba zao zilipauka basi nao wanaweza toa ushauri wa kiuzoefu njia gani walitumia kurudisha rangi halisi za bati zao zilizokuwa zimepauka na sasa bati zinang'aa na wamesaidia wengi sana.. ww tuliza kipago na endelea kujifungia ndani ya boxTangu ujenge unatusumbua sana.Yapake rangi za kucha.
NB:Unapoishi hakuna mafundi/wataalamu uwaombe ushauri?
Ni lita ngapi na inauzwaje ?View attachment 3161956 Ukifanikiwa kupaka hii kitu kwenye bati lako utasahau hicho kitu kinaitwa kutu kwenye bati au kupauka,hata wale wenzangu na mimi tunaonaunua yale mabati ya bei rahisi weka hii kitu utakuja kunishukuru...
Ok mkuu inapatikana wapi?View attachment 3161956 Ukifanikiwa kupaka hii kitu kwenye bati lako utasahau hicho kitu kinaitwa kutu kwenye bati au kupauka,hata wale wenzangu na mimi tunaonaunua yale mabati ya bei rahisi weka hii kitu utakuja kunishukuru...
Na vitu vyenyewe sio vya elfu 2,Hatari sana ,wafanyaboashara wanabambikia wateja tena wanawauzia kwa bei sawa na hizo ambazo hazipauki.
Sio kesi wapi ? umeambiwa hatua ya kwanza ni kupauka kinachofuata ni bati kupata kutu na mwisho ni kutoboka kwa sababu ya kutu.
Duuh bati za milioni mbili mbona ni kuezeka chumba na sebule? Bati za kupima wanauza mita 1 hadi elfu 16....Na nyumba zina range kati ya mita 250 hadi 400.Na vitu vyenyewe sio vya elfu 2,
Bati pekee yake unaweza kununua za milioni 2 na kitu, hapo bado mbao, bado ufundi.
Inategemea na bati za aina gani na za thamani gani, kwa hizi bati zeti za 22k mpaka 25k maana yake hapo unapata bati 100 mpaka 120 ni bati nyingi, hizi unaezekea nyumba ya vyumba vi4 kama upauaji wako hauna mbwembwe nyingi,Duuh bati za milioni mbili mbona ni kuezeka chumba na sebule? Bati za kupima wanauza mita 1 hadi elfu 16....Na nyumba zina range kati ya mita 250 hadi 400.
Wanatumia brash kupakaSo hizi ni maalum kwaajili ya bati tu, na je zinapakwa au inapigwa spray Kama gari?
Bati 110 means ni mita 330 hizo.Inategemea na bati za aina gani na za thamani gani, kwa hizi bati zeti za 22k mpaka 25k maana yake hapo unapata bati 100 mpaka 120 ni bati nyingi, hizi unaezekea nyumba ya vyumba vi4 kama upauaji wako hauna mbwembwe nyingi,
Mie jengo lilikuwa kubwa na bado bati 110 hivi zikatosha.
umepiga rangi gani mkuu blue,kijani,kijivu au damu yamzee..ninamaana yangu kuuliza hivi mzee ,kuna muda binafs naamini kuwa bati za rangi nyekundu hazipauki kiasi chakuchosha macho ukilinganisha na rangi blue,au kijanNaam nashukuru Sana kwa comments zenu wadau zimenijenga
Alaf kuna famba pia!! Wachina wasengelema ya mwanzaaMi mwenyewe leo naenda kununua bati ila kila nikisoma maoni ya watu najiona kabisa ndani ya miaka 5 naenda kuungana nao kuimba wimbo mmoja.
Kwa maono ya wadau Alaf pekee ndio wameonekana kuwa serious, the rest ni risk.
Basi leo ndio nilikuwa nachukuaAlaf kuna famba pia!! Wachina wasengelema ya mwanzaa
Nina uhakika hizo bati zimepauka kama mdomo wakoSawa shemeji na utalala sebuleni Hadi useme poo!! Mamaae zako