alaksh natena
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 462
- 523
- Thread starter
-
- #21
Ok mkuu hapo nimekusoma,Asante sanaPVA ni rangi maalum kwaajili ya paa tu,hata ukienda dukani utaona maandishi ya PVA kwenye ndoo.
Namna ya kuipaka inategemeana na bajeti Yako,Kuna watu wanatumia brush,mifagio ya kudekia yenye tambi nyingi halafu wenye uwezo wanachukua mashine ya kuspray.
Karibu,ukikosa uwezo wa kutumia mashine basi tumia hii mifagio ya kudekia yenye tambi nyingi ila usitumie brush tafadhali.Ok mkuu hapo nimekusoma,Asante sana.
No mkuu kila mtu na kipaumbele chake,mimi ni mwoga wa maishaKweli tumetofautiana vipato, ww unawaza kupaka rangi bati zako wakati sisi tunahangaika kupata msosi walau mlo mmoja na hela ya kodi.
Tangu ujenge unatusumbua sana.Yapake rangi za kucha.Wakuu bati zangu zimeanza kupauka ndani ya miaka 5 toka nipaue Aina yake ni zile za migongo mipana.
Je Kuna rangi nikipaka itadumu kwa kitambo kirefu? Naomba kuwasilisha
Kweli tumetofautiana vipato, ww unawaza kupaka rangi bati zako wakati sisi tunahangaika kupata msosi walau mlo mmoja na hela ya kodi.
Sawa shemeji na utalala sebuleni Hadi useme poo!! Mamaae zakoTangu ujenge unatusumbua sana.Yapake rangi za kucha.
NB:Unapoishi hakuna mafundi/wataalamu uwaombe ushauri?
Jibu kwa adabu.Usiwe unadhani unajibishana na wehu wa mitaani kila muda.Nadhani umeelewa.Sawa shemeji na utalala sebuleni Hadi useme poo!! Mamaae zako
Mpuuzi wewe adabu ipi Mimi nimeanzisha thread unaleta mapuuza yako hapa ukitaka kila mtu kumjua mwenzie utajikimbia hapa Jf Kama unajiona mtu mkubwa weka namba yako hapa nitakupigia alafu tupimane vifua Ila najua huniwezi Wala kunifikia bado mtoto tuJibu kwa adabu.Usiwe unadhani unajibishana na wehu wa mitaani kila muda.Nadhani umeelewa.
Naam nashukuru Sana kwa comments zenu wadau zimenijengaMleta mada naamini umepata ushauri wa kutosha...
Angalia sasa ulivyo na utoto.Ngoja nikuache na utotoutoto wako upake kucha zako rangi.Mpuuzi wewe adabu ipi Mimi nimeanzisha thread unaleta mapuuza yako hapa ukitaka kila mtu kumjua mwenzie utajikimbia hapa Jf Kama unajiona mtu mkubwa weka namba yako hapa nitakupigia alafu tupimane vifua Ila najua huniwezi Wala kunifikia bado mtoto tu
Brush inaacha vialama vya mistari kwa mbali hasa ukimpata fundi asiekuwa mzoefu, ufagio wa kudekia kidogo unafanya kazi nzuri ila changamoto yake atatumia rangi nyingi sana, kuspray ndo mpango mzima rangi kidogo kazi nzuri ila inategemea na aina ya paa lake kama ni yale ya usukumani paa limepanda sana juu ataua mafundiPVA ni rangi maalum kwaajili ya paa tu,hata ukienda dukani utaona maandishi ya PVA kwenye ndoo.
Namna ya kuipaka inategemeana na bajeti Yako,Kuna watu wanatumia brush,mifagio ya kudekia yenye tambi nyingi halafu wenye uwezo wanachukua mashine ya kuspray.
Utoto unao wewe ambaye unataka heshima kwenye thread ya mtu Kama huna Cha kuchangia tulia ndg maana mimi nimeomba ushauri wewe unakuja na dharau zako za kishamba Mimi sipo hivyo,JF tunaheshimiana sote tu Great thinkers so heshimu wazo la mtu.Angalia sasa ulivyo na utoto.Ngoja nikuache na utotoutoto wako upake kucha zako rangi.
Wewe nadhani fyuzi zimefyatuka au maisha yanakuvuruga yaani ujinga uuanze wewe halafu unataka jamaa akujibu vizuriJibu kwa adabu.Usiwe unadhani unajibishana na wehu wa mitaani kila muda.Nadhani umeelewa.
Sio kesi wapi ? umeambiwa hatua ya kwanza ni kupauka kinachofuata ni bati kupata kutu na mwisho ni kutoboka kwa sababu ya kutu.Mpauko sio kesi, kama ww sio mtu wa kujali vitu vidogo, muhimu mvua haipigi ndani, sio kesi kabisa.
Nawe nyege zinakusumbua tokea nyuma. Kwani alikulazimisha umjibu?Tangu ujenge unatusumbua sana.Yapake rangi za kucha.
NB:Unapoishi hakuna mafundi/wataalamu uwaombe ushauri?
ni kijani au jekunduWakuu bati zangu zimeanza kupauka ndani ya miaka 5 toka nipaue Aina yake ni zile za migongo mipana.
Je Kuna rangi nikipaka itadumu kwa kitambo kirefu? Naomba kuwasilisha
Hiyo kutu mpaka itoboke sio leo wala kesho.Sio kesi wapi ? umeambiwa hatua ya kwanza ni kupauka kinachofuata ni bati kupata kutu na mwisho ni kutoboka kwa sababu ya kutu.
Pale liliingia neno silo: - "kupajua." Daah! Unajua auto-correction tena.
Meant kupauka.
Bati original ndizo sote tunataka. Hakuna anayetaka fake. Sote tuna tatizo kama lako.
Sote tunaugulia maumivu makali na bidhaa fake yakiwamo mabati hayo. Kuwa bila kupenda tumeingizwa mkenge!
Keamba TBS na hasa serikali tunaowalipa kodi kumbe majukumu yao yalikuwa nini?
ni washenzi tu, hawana muda wa kufuatilia hivyo vitu feki.