Kupauka kwa bati. Je, Kuna rangi nikipaka itadumu kwa kitambo kirefu?

Ok mkuu hapo nimekusoma,Asante sana
 
Kweli tumetofautiana vipato, ww unawaza kupaka rangi bati zako wakati sisi tunahangaika kupata msosi walau mlo mmoja na hela ya kodi.
No mkuu kila mtu na kipaumbele chake,mimi ni mwoga wa maisha
 
Kweli tumetofautiana vipato, ww unawaza kupaka rangi bati zako wakati sisi tunahangaika kupata msosi walau mlo mmoja na hela ya kodi.
"Hatufanani kama alama za vidole na bado naziamini falsafa za mwenda pole". Professor jay katika wimbo wa "Ni hayo Tu"​
 
Hakuna bati lisilopauka acheni kudanganya watu hapa,ingawa yapo makampuni yanaweka rangi zinazokaa kidogo,nimeshudia bati la ALAF ndani ya miaka 11 limepauka na limeanza kutengeneza kutu mwishoni kabisa maji yanakomwagikia,jamaa sasa hivi kapiga rangi nyingine ili kuresque the situation...
 
Mleta mada naamini umepata ushauri wa kutosha...
 
Jibu kwa adabu.Usiwe unadhani unajibishana na wehu wa mitaani kila muda.Nadhani umeelewa.
Mpuuzi wewe adabu ipi Mimi nimeanzisha thread unaleta mapuuza yako hapa ukitaka kila mtu kumjua mwenzie utajikimbia hapa Jf Kama unajiona mtu mkubwa weka namba yako hapa nitakupigia alafu tupimane vifua Ila najua huniwezi Wala kunifikia bado mtoto tu
 
Mpuuzi wewe adabu ipi Mimi nimeanzisha thread unaleta mapuuza yako hapa ukitaka kila mtu kumjua mwenzie utajikimbia hapa Jf Kama unajiona mtu mkubwa weka namba yako hapa nitakupigia alafu tupimane vifua Ila najua huniwezi Wala kunifikia bado mtoto tu
Angalia sasa ulivyo na utoto.Ngoja nikuache na utotoutoto wako upake kucha zako rangi.
 
Brush inaacha vialama vya mistari kwa mbali hasa ukimpata fundi asiekuwa mzoefu, ufagio wa kudekia kidogo unafanya kazi nzuri ila changamoto yake atatumia rangi nyingi sana, kuspray ndo mpango mzima rangi kidogo kazi nzuri ila inategemea na aina ya paa lake kama ni yale ya usukumani paa limepanda sana juu ataua mafundi
 
Angalia sasa ulivyo na utoto.Ngoja nikuache na utotoutoto wako upake kucha zako rangi.
Utoto unao wewe ambaye unataka heshima kwenye thread ya mtu Kama huna Cha kuchangia tulia ndg maana mimi nimeomba ushauri wewe unakuja na dharau zako za kishamba Mimi sipo hivyo,JF tunaheshimiana sote tu Great thinkers so heshimu wazo la mtu.
 
Mpauko sio kesi, kama ww sio mtu wa kujali vitu vidogo, muhimu mvua haipigi ndani, sio kesi kabisa.
Sio kesi wapi ? umeambiwa hatua ya kwanza ni kupauka kinachofuata ni bati kupata kutu na mwisho ni kutoboka kwa sababu ya kutu.
 
Wakuu bati zangu zimeanza kupauka ndani ya miaka 5 toka nipaue Aina yake ni zile za migongo mipana.

Je Kuna rangi nikipaka itadumu kwa kitambo kirefu? Naomba kuwasilisha
ni kijani au jekundu
 
Sio kesi wapi ? umeambiwa hatua ya kwanza ni kupauka kinachofuata ni bati kupata kutu na mwisho ni kutoboka kwa sababu ya kutu.
Hiyo kutu mpaka itoboke sio leo wala kesho.

Kisha nikajibu, ikishatoboka ndio nitaweka nyingine na nitakuwa nimejifunza, safari ijayo sintofanya kosa lile lile.
 

ni washenzi tu, hawana muda wa kufuatilia hivyo vitu feki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…