Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu una pdf la huu usaili?Unaweza kukuta mtoa mada ndo huyu aliyepata 0 [emoji23] lazima apinge usaili
View attachment 3215716
Pdf la nn sasa mkuu, maswali au hayo matokeo?Mkuu una pdf la huu usaili?
La hayo matokeoPdf la nn sasa mkuu, maswali au hayo matokeo?
La hayo matokeo
Ajira za Halmashauri, then unaambiwa utoke mkoa ulio kuwepo uwende Dodoma kuchukua barua, ukitoka hapo uwanze safari ya kuriport kituo ulicho pangiwa kazi kwa sisi jobless tunao anza kazi hizo pesa za kuzunguka hivyo kwa haraka haraka mtu huna tu, gharama za safari tu mtihani kazi kuimudu ndio usiseme pengine mishahara uwambiwe mwezi ujao kupata na upo mkoani kwa watu kwa kukaa mtu huna wala kufikizia ni mtihani sana.Hapo Tena waongeze muwe mnaomba ajira kwenye halmashauri muwe mnaenda fanyia usaili halmashauri husika