Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Utapataje kama huna connection ?Huyo mbunge wa hovyo sana application ya tano hadi sasa sipati ajira yeye anaongea nini kama sio upuuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utapataje kama huna connection ?Huyo mbunge wa hovyo sana application ya tano hadi sasa sipati ajira yeye anaongea nini kama sio upuuzi
Sasa huyo mbunge anasemaje watu wanaajiriwa bila connection ila perception zao ndio zinawaambia connection ndio imewapa kazi?Utapataje kama huna connection ?
Inaweza kuwa kweli lakini kuwa mkufunzi si uwe tu umetimiza vigezo vya chuo usika kama vile kuwa na G.P.A kubwa na kufauli interview ya chuo husikaNasikia mkenda alikuwa mkufunzi wa SUA.
Upo sahihiInaweza kuwa kweli lakini kuwa mkufunzi si uwe tu umetimiza vigezo vya chuo usika kama vile kuwa na G.P.A kubwa na kufauli interview ya chuo husika
Lakini naposema siyo mwalimu ,, namaanisha bwana Mkenda degree yake ya kwanza siyo ya ualimu mfano magufuri au Mwalimu Nyerere tunawaita walimu kwasababu diploma zao au degree zao za kwanza zilikuwa ni za uwalimu ..
Lakini kuzileta huku utumishi ,, madhara yake si wote tumeyaona ?? Au kuna mtu bado hajayaona mpaka muda huu ??Umewahi kufikiria kitu kinachoitwa kubebana?ndiyo sababu ya kuondoa hizo kazi Tamisemi,,kujuana kulijaaa,,,
Cool yote ni sawa tuLakini kuzileta huku utumishi ,, madhara yake si wote tumeyaona ?? Au kuna mtu bado hajayaona mpaka muda huu ??
Kweli ,, ajira za uwalimu ambazo kibari kiliyoka mwezi wa 4 ,, mpaka mwezi huu wa kumi na moja bado watu hawaja ajiliwa ,,, je bado umnatka ziendelee kubaki huku ??? Na kama myakaza fuvu na kujitia amuelewi basi walimu jueni fika ajira za mwaka huu hazipo msubilie za mwaka ujao
Bado mpaka leo unakunywa takataka mkuuWe waache watajuta maana kuna kata moja tumepita mwezi ulioisha tukakuta upungufu wa walimu msingi tu ni 24 sasa jumlisha kata zilizopo tanzania ile report ilinishtua mezani ikabidi niisome vizuri nikakuta mwaka jana kata nzima hiyo wanafunzi 30 wali fail asee nikaiweka pembeni kwanza nikaenda kunywa bia.
😁Bado mpaka leo unakunywa takataka mkuu
Halmashauri tenaHapo Tena waongeze muwe mnaomba ajira kwenye halmashauri muwe mnaenda fanyia usaili halmashauri husika
Watu mnalishana matango poriNasikia wameongza mara moja ya walizotangaza
wa mpoleBado inaacha maswalin,, je katika hizo mpya interview ipo au haipo ?? Kama ipo
Je tunaomba maombi upya au laah ??
Mwakani mwezi wa TatuKuwa na subira mkuu!
Utaitwa usaili baada ya zoezi la kujiandikisha wapiga kura kumalizika.
Sawa Katibu mkuu UtumishiMwakani mwezi wa Tatu
Walimu kila siku kelele ebu Tulieni mfanye interviewIshue siyo kada nyingine hebu usinitoe kwenye mada ,, let stick on the topic ,,, issue kulikuwa na ulazima gani kuzielekezea huko?
Hebu tujaribu kutanua ulingo wa kufikiri, okay fine, imeonekana interview ndiyo muarobaini hasa wa nani apate kazi na nani aachwe ,, sasa swali langu je Tamisemi wenyewe walishindwa kuandaa panel ambayo itakuwa responsible katika ku- run interview ya walimu ili kuondoa tatizo la ucheleweshwaji ambao limeshaonekana ni suguu pale utumushi?