Kupeleka ajira za ualimu Utumishi ni moja ya maamuzi ya ovyo yaliyowahi kufanywa na serikali

Hapo Tena waongeze muwe mnaomba ajira kwenye halmashauri muwe mnaenda fanyia usaili halmashauri husika
Ajira za Halmashauri, then unaambiwa utoke mkoa ulio kuwepo uwende Dodoma kuchukua barua, ukitoka hapo uwanze safari ya kuriport kituo ulicho pangiwa kazi kwa sisi jobless tunao anza kazi hizo pesa za kuzunguka hivyo kwa haraka haraka mtu huna tu, gharama za safari tu mtihani kazi kuimudu ndio usiseme pengine mishahara uwambiwe mwezi ujao kupata na upo mkoani kwa watu kwa kukaa mtu huna wala kufikizia ni mtihani sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…