Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo sana sema ni mpka upate nafasi ya kuishi nasi ku sura Ukituona tunafanana na wasiofaa.Na kumpata huwez mpaka unakufa😂😂
unamforce na yeye akate tamaa kama wewe ?
mapenz waachie wakorea na wahindi matako wwTupo sana sema ni mpka upate nafasi ya kuishi nasi ku sura Ukituona tunafanana na wasiofaa.
Mkiambiwaga muwe mnaanza mapenzi kama urafiki mnakaza shingo..
Kuna faida ya mpenzi kuwa rafiki yako kwanza….woi
unamforce na yeye akate tamaa kama wewe ?
Af inaonekana una sura mbaya kinoma😂😂Tupo sana sema ni mpka upate nafasi ya kuishi nasi ku sura Ukituona tunafanana na wasiofaa.
Mkiambiwaga muwe mnaanza mapenzi kama urafiki mnakaza shingo..
Kuna faida ya mpenzi kuwa rafiki yako kwanza….woi
We jamaa pimbi kweli.sasa mwandiko wangu na sura vinamahusiano gani?Af inaonekana una sura mbaya kinoma😂😂
Ila aisee zamani tulikuwa tunatazama vitu vya ajabu halafu tulikuwa tunaona ni pisi kali kwenye tv ambazo hata sio HD. Daah aiseee.
Physical appearance haioneshi kama pesa ni zake. Kuna kitu kipo nyumahuyo jamaa sijawai kumuelewa huwa naona video zake INSTA za tambo za pesa na kusema anahamasisha na kufundisha vijana watafute pesa lakini sijawai sikia akitoa mbinu za kutaftia hizo pesa.
We jamaa pimbi kweli.sasa mwandiko wangu na sura vinamahusiano gani?
Pumbavu kabisa
🚮🚮🚮
Huwez kuelewa mseng wwWe jamaa pimbi kweli.sasa mwandiko wangu na sura vinamahusiano gani?
Pumbavu kabisa
🚮🚮🚮
Hakuna noma mkuu tuko pamojaHuwez kuelewa mseng ww
inawezekana ikawa hivyoPhysical appearance haioneshi kama pesa ni zake. Kuna kitu kipo nyuma
Ujue mkuu, ukiwa na pesa hata kama unaishi maisha ya kawaida kiasi gani, kuna nuru huonekana usoni. Sembuse huyu mpenda show off? Angekuwa katakata zaidi ya marehemu Ginimbi. Ukiutazama uso wake unaona kabisa hafananii na kile anachoonesha.inawezekana ikawa hivyo
hata maneno yake yanakinzana na uhalisia wake nadhani kuna jambo nyuma yake linaloficha ukweliUjue mkuu, ukiwa na pesa hata kama unaishi maisha ya kawaida kiasi gani, kuna nuru huonekana usoni. Sembuse huyu mpenda show off? Angekuwa katakata zaidi ya marehemu Ginimbi. Ukiutazama uso wake unaona kabisa hafananii na kile anachoonesha.
Hakika. Na hii kitu baada ya muda huwa ina kawaida ya ku-backfire kwa muhusika. Hasa pindi matumizi yake yanapokwisha na akapata shida ambayo inahitaji pesa nyingihata maneno yake yanakinzana na uhalisia wake nadhani kuna jambo nyuma yake linaloficha ukweli
Sikuwahi kuwaza kama una ustaarabu wa kiwango hiki. Umemjibu kwa hekima na pengine umemuachia maumivu yeye mwenyeweHakuna noma mkuu tuko pamoja
[emoji1635]
ndivyo inavyokuwa ila jamaa anapenda sifa sana hawezi kutoa msaada bila kujitangaza mtandaoniHakika. Na hii kitu baada ya muda huwa ina kawaida ya ku-backfire kwa muhusika. Hasa pindi matumizi yake yanapokwisha na akapata shida ambayo inahitaji pesa nyingi
Kuna watu watakuwa wanamtumia kutakatisha fedha ama kwa malengo mengine.ndivyo inavyokuwa ila jamaa anapenda sifa sana hawezi kutoa msaada bila kujitangaza mtandaoni