ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Ninayo ya namungo na yanga za ulaya Sina hata mojaDuuh na jezi zote unavaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninayo ya namungo na yanga za ulaya Sina hata mojaDuuh na jezi zote unavaa
Unajiamini wakati anayecheza ni mwingine..!!Binafsi naipenda timu moja tu kwakila ligi. Kupenda timu mbili au zaidi kwa ligi moja ni sawa na Kutokujiamini
Sisi mashabiki wa Arsenal tulishakubaliana na matokeo ya timu yetu.Unajiamini wakati anayecheza ni mwingine..!!
Sina
Sema nikupe jezi.Sina
Kwahiyo, wasiokubaliana na matokeo ndo wanakuwa na timu mbilimbili?Sisi mashabiki wa Arsenal tulishakubaliana na matokeo ya timu yetu.
Huenda. Ila hiyo ni kwangu binafsiKwahiyo, wasiokubaliana na matokeo ndo wanakuwa na timu mbilimbili?
Hata Mimi hii hali inanikutagaMimi ni mshabiki wa Yanga ila Yanga inapokuwa inacheza na vitimu vidogo vinavyopeleka moto kama ihefu na Kagera sugar huwa nafurahi sana.
Mimi Hispania napenda zaidi Barca kisha Atletico Madrid. Uingereza napenda zaidi Arsenal kisha Man City.Wadau hivi inawezekana mtu akashabikia timu 2 ligi moja mfano pale uingereza uwe unashabikia Liverpool mda huo huo unashabikia arsenal hivi hii kitu inawezekana kweli
Inawezekana mfano umekaa na mfadhili ambaye ni shabiki lialia, (kindaki ndaki),na mfukoni huna Hela utashibikia upande upi?Wadau hivi inawezekana mtu akashabikia timu 2 ligi moja mfano pale uingereza uwe unashabikia Liverpool mda huo huo unashabikia arsenal hivi hii kitu inawezekana kweli
DuhNdio inawezekana kushabikia timu 2 kwa wakati mmoja. Kiongozi wetu ni Mwigulu.
Something impossibleDuh na jezi zote unazo
Mimi napenda Simba na Yanga.Wadau hivi inawezekana mtu akashabikia timu 2 ligi moja mfano pale uingereza uwe unashabikia Liverpool mda huo huo unashabikia arsenal hivi hii kitu inawezekana kweli
Na kinyume chake piaWashabiki wa BARCELONA wanaweza shabikia club 19 kwenye ligi ya LA LIGA kasoro tu club ya REAL MADRID.