Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
Kula maisha, maisha ni haya haya, sio kila siku kuwaza matofari tuDaah nmecheka balaa🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula maisha, maisha ni haya haya, sio kila siku kuwaza matofari tuDaah nmecheka balaa🤣
Kupendwa raha sana pale mnapopendana kwa dhati pasipo unafiki na usalitiNipo zangu nyumbani napangilia mambo yangu ya kila siku, mara ghafla naona simu inaita; kuitazama, ni namba ya mama kijacho (mchepuko).
Baada ya kupokea, mazungumzo yakawa hivi:-
Mimi: halo
Yeye: mambo vipi bebii
Mimi: Niko powa, mambo yakoje huko?
Yeye: Huku mabaya, sijisikii vizuri, nataka tutoke wote
Mimi:Twende wapi?
Yeye: Popote tu utakapotaka
Mimi: Sawa, saa 3 usiku nitakucheki
Yeye: asante mme wangu nakupenda sana
Mimi: Powa,baadaye
Hapa nilipo najiandaa kwa mtoko; msiopendwa, endeleeni kuchezea keyboard.
Nipo zangu nyumbani napangilia mambo yangu ya kila siku, mara ghafla naona simu inaita; kuitazama, ni namba ya mama kijacho (mchepuko).
Baada ya kupokea, mazungumzo yakawa hivi:-
Mimi: halo
Yeye: mambo vipi bebii
Mimi: Niko powa, mambo yakoje huko?
Yeye: Huku mabaya, sijisikii vizuri, nataka tutoke wote
Mimi:Twende wapi?
Yeye: Popote tu utakapotaka
Mimi: Sawa, saa 3 usiku nitakucheki
Yeye: asante mme wangu nakupenda sana
Mimi: Powa,baadaye
Hapa nilipo najiandaa kwa mtoko; msiopendwa, endeleeni kuchezea keyboard.
hana baya kabisaKati ya members wasiopenda stress equation ni mmojawapo
Kuna threads ukisoma umu unajua kabisa uyu kama hakai kwa shemeji basi anakaa kwa dada/kaka yake
Huyu itakuwa aliacha shule akiwa kidato cha pili. Ndio maana kila siku anatusumbua na ndoto zake nyevu humu.Kwanini umechelewa kuripoti shule??
Hakuna namna, inabidi wakati mwingine uwe mjinga ili kula mema ya yale matunda kwenye mti wa kati.Oooh kwaio leo umekubali kubeba mkoba wake!?
Hapa nasikitika, kibunda kimeteketeakuwa makini na bajeti yako
View attachment 3053051
Nimekula adaKwanini umechelewa kuripoti shule??
Ndio maana Samson na nguvu zake alifeliUshalogwa wewe...😜
mti uliokatazwa sioHakuna namna, inabidi wakati mwingine uwe mjinga ili kula mema ya yale matunda kwenye mti wa kati.