Ndiyoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wacha wee !!!
We mjinga si ndo unawaambia watu wapige nyeto? Kweli yakuambiwa changanya na yakoHii ishu niko nayo muda huu aisee, Mm nilitaka kupiga then nikimbie ila ndo mambo yamekolea afu n mtamu knoma 😂
Aunt tangulia nikukute kituo cha polisi....🤣🤣🤣🤣Yan hajakutana na mm natamni had nijue ukilala uniambie umegeuka upande gani😀😀😀
Hapana aisee......vile siku nzima nakuwaga occupied tunakutana usiku tunachombezana basiYule kijana si huwa unamsumbua muda wote🤣
Hii imeendaBasi nimemsamehe kwa niaba yako. Mwambie asirudie tena nisijemfanya kitu mbaya...
Tulia bwana mdogo, siku moja moja hua nachafua uboo kwa wanawake then nakwenda kuisafisha kwa nyetoWe mjinga si ndo unawaambia watu wapige nyeto? Kweli yakuambiwa changanya na yako
Nimeshafika mbona sikuoni hapa kituoni😀😀Aunt tangulia nikukute kituo cha polisi....🤣🤣🤣🤣
Kichwa chako 🤣🤣🤣Nimeshafika mbona sikuoni hapa kituoni😀😀
Unataja mkoa uliopo ili aliehuko akutafuteKuna kipindi flani, mtoto flani hv kutoka Mwanza alidata kichiz yn ilkuwa kila muda ni cm na kujua npo wap nafany nn hadi nkaanza kuona ni kero, Leo nna confirm nmemiss sana zile kero zake ,hapa nlpo sshv sio size yangu kbs nispomtafuta hanitafuti.
Nkimpata wakunpenda tena wallah sitamuangusha I'll love her to the fully tena awe msumbufu namna hiyo weeh ntakuwa mtu mwenye furaha sana hapa Dodoma.
factYaani unapendwa eeh, kila saa mtu anahisi wewe hurudishi upendo alionao yeye kwako, mara aone wewe una wanawake wengine duh.
Kupendana kuwe kwa kiasi, vikizidi ni kero, kama hujawahi kupendwa sana huwezi ukaelewa hapa. Kuna muda tunahidtaji ku focus na mambo mengine sio kila saa hivyo tu.
Yaani unapendwa eeh, kila saa mtu anahisi wewe hurudishi upendo alionao yeye kwako, mara aone wewe una wanawake wengine duh.
Kupendana kuwe kwa kiasi, vikizidi ni kero, kama hujawahi kupendwa sana huwezi ukaelewa hapa. Kuna muda tunahidtaji ku focus na mambo mengine sio kila saa hivyo tu.
🤣Niambie, upo wapi, umekula, unafanya nini now..nimekumc, njoo tuoge😂😂😂😂yaani mapenzi ukijifanya tu unataka kutumia akili basi lazima yakushinde