Kupenyezwa kwa Yanga kwenye siasa ni issue ya GSM na Makonda?!

Kupenyezwa kwa Yanga kwenye siasa ni issue ya GSM na Makonda?!

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Screenshot_20220319-223302_2.png


Jana tasnia ya soka ilishangazwa na timu ya Yanga kujiingiza kwenye siasa za vyama. Ninajaribu tu kuwaza nje ya box. Wote tumeshuhudia sakata la Makonda na GSM kutapeliana kiwanja. Je,nitakuwa sahihi nikisema GSM ameamua kuitumia Yanga kujipenyeza na kumpigia kampeni mama Samia ili kupata connection?

Hili liwe somo kwa club zote zikatae kutumiwa kisiasa na vyama. Sisi mashabiki mpira ni sekta inayotuunganisha bila kujali imani za kisiasa.
 
Asili ya watanzania ni wazandiki, hii mbegu sijui ilipandikizwa lini lakini iko hivyo, kwenye awamu ya marehemu ndio ilikithiri, kwa mama inaendelezwa, vilabu hivi kuvitenganisha na siasa ni ngumu saana mojawapo ni sababu niliyokupa hapo juu, watu wanajipendekeza kwa manufaa ya matumbo yao.
 
Daaah kweli ubongo mdogo sana yani Yanga ipo kwenye siasa kabla ya uhuru na baada ya uhuru.kwenye siasa za Dar na Tanzania GSM na Makonda ninani? Tuanzie hapo
 
Najiuliza hivi siku ikitokea kiongozi wa upinzani akawa na jambo lake hao TFF wataruhusu hilo lifanyike kabla ya kuanza mechi pale kwa Mkapa?

Serikali ina nguvu sana, na TFF imekuwa laini sana; mara nyingi huingilia mambo ya michezo hata kwa kuanzisha mashindano kama kombe la Mapinduzi kule Zanzibar na hivi vilabu vyetu hujikuta inavibidi kupeleka timu kule bila kupenda.
 
Daaah kweli ubongo mdogo sana yani Yanga ipo kwenye siasa kabla ya uhuru na baada ya uhuru.kwenye siasa za Dar na Tanzania GSM na Makonda ninani? Tuanzie hapo

Kuna watu wanaiogooa GSM mpaka inashangaza! Tukio la jana, wengine tulilipuuza na mpaka sasa tumeshalipotezea! Lakini wenzetu wa upande wa pili, bado wamelishupalia!

Kisa tu GSM!
 
Punguza kuanzisha threads za kiitikadi na mahaba. Ona sasa, mimi ni mchangiaji wa saba wakati uzi una masaa manne
View attachment 2157606

Jana tasnia ya soka ilishangazwa na timu ya Yanga kujiingiza kwenye siasa za vyama. Ninajaribu tu kuwaza nje ya box. Wote tumeshuhudia sakata la Makonda na GSM kutapeliana kiwanja. Je,nitakuwa sahihi nikisema GSM ameamua kuitumia Yanga kujipenyeza na kumpigia kampeni mama Samia ili kupata connection?

Hili liwe somo kwa club zote zikatae kutumiwa kisiasa na vyama. Sisi mashabiki mpira ni sekta inayotuunganisha bila kujali imani za kisiasa.
 
Punguza kuanzisha threads za kiitikadi na mahaba. Ona sasa, mimi ni mchangiaji wa saba wakati uzi una masaa manne
Kwani kuna malipo ya kuwa na comments nyingi? Hapa ni ujumbe kufikia wahusika
 
Najiuliza hivi siku ikitokea kiongozi wa upinzani akawa na jambo lake hao TFF wataruhusu hilo lifanyike kabla ya kuanza mechi pale kwa Mkapa?

Serikali ina nguvu sana, na TFF imekuwa laini sana; mara nyingi huingilia mambo ya michezo hata kwa kuanzisha mashindano kama kombe la Mapinduzi kule Zanzibar na hivi vilabu vyetu hujikuta inavibidi kupeleka timu kule bila kupenda.
nakumbuka ilitokea kwa mkapa mashabiki wakashout mabadiliko
 
Back
Top Bottom