Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Hii inashangaza sana kweli Mh Makonda kupewa Mic kama mzungumzaji kwenye Harusi ya Dada wa Diamond, jamaa wamekata matangazo
Hii kitaalaam tunaitaje???
Kitaalamu inaitwa disconnect😆😆🤸🤸🤸pindua pindua units