Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,183
Esma akili zake kama nyumbu , yaani na umaarufu wote huo plus kaka tajiri lakini ameenda kuolewa mke wa tatu kisa jamaa ana fedha za mboga!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je ataolewa na kaka yake?Esma akili zake kama nyumbu , yaani na umaarufu wote huo plus kaka tajiri lakini ameenda kuolewa mke wa tatu kisa jamaa ana fedha za mboga!!
Hiv kwanini mna chuki na makonda kiasi hichi?Kuna kushuka na kuporomoka .huyu ameporomoka
Kaka tajiri means angempa msingi wa kufanya binness kubwa sio kwenda kuolewa ukewenza kisa jamaa ana pesa ,kwani mwanzo alivyokuwa na petiti alikuwa mke mwenza?Je ataolewa na kaka yake?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hiyo kitaalamu tunaiita Unexpected Tactical Dilemma..
Ndio kilichobaki sasa, hakuna cha maana tena.
Kwako Jese!
[emoji28][emoji28] Umefikiria nini Kuja na hiyo aina ya dilemma.Hiyo kitaalamu tunaiita Unexpected Tactical Dilemma..
Ndio kilichobaki sasa, hakuna cha maana tena.
Kwako Jese!
Kwahiyo ukiwa na kaka tajiri hutakiwi kuolew? Esma si ana biashara kafunguliwa na kaka yake?Kaka tajiri means angempa msingi wa kufanya binness kubwa sio kwenda kuolewa ukewenza kisa jamaa ana pesa ,kwani mwanzo alivyokuwa na petiti alikuwa mke mwenza?
Naona mlezi wenu wa wana kaguswa ..pole jumaHiv kwanini mna chuki na makonda kiasi hichi?
Tatizo Ukewenza elewa mke wa 3 ina maanisha huyo jamaa ataogeza mke wa nne....Kwahiyo ukiwa na kaka tajiri hutakiwi kuolew? Esma si ana biashara kafunguliwa na kaka yake?
Huwez jua yeye na Petit walishindwana nini utajuaje?
Muacheni aolewe yeye alipoona panamfaa na atapata futaha.basi
Wewe dadayako umemuanzishia biashara gani?Tatizo Ukewenza elewa mke wa 3 ina maanisha huyo jamaa ataogeza mke wa nne....
Mantki ya kaka tajiri nimesema angeweza kumpa msingi mkubwa sio biashara za mil 2 maduka ,bizness ya maana ambayo domo awe na ubia,nazungumzia bizness kama za kina Flavian sio kuanzisha salon na kafremu kakuuza nguo.
Wewe dadayako umemuanzishia biashara gani?
Swali zuri akikujibu nitag sijui kwanini wabongo wanapenda kuwapangia wanaume wenzie matumizi ya pesa wakati maisha yake mwenyewe Ni zima motoWewe dadayako umemuanzishia biashara gani?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] watu wa hum Jf bange mnazovuta sijui za wapi?Kiukweli mi sioni Kama kaporomoka,,kwasababu Kati ya MC na RC..mkubwa ni MC
Kwa sababu Kati ya R na M kwenye alphabetical order...M ndo inaanza halafu R unamalizia...hence shown
Sidhani kama kafuata pesa, kafuata 'heshima'Esma akili zake kama nyumbu , yaani na umaarufu wote huo plus kaka tajiri lakini ameenda kuolewa mke wa tatu kisa jamaa ana fedha za mboga!!