BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Dereva anatakiwa kutumia honi tu iwapo ni lazima katika kuwaonya watumiaji wengine wa barabara au kuwajulisha kuwa kuna gari nyingie ipo karibu nao.
Sheria ya Usalama Barabarani ya mwaka 1973 Kifungu cha 39 (3) Sura ya 168 inawakataza Madereva kutumia Honi katika #Kusalimia, Kuonesha hisia zozote au kumueleza dereva aliye mbele kuharakisha na kuongeza mwendo.
Dereva haruhusiwi kutumia Honi nje ya Hospitali, Mahakamani, maeneo ya Shule na katikati ya miji kuanzia saa 5 usiku na saa 12. Pia, hairuhusiwi kupiga Honi ndani ya Hifadhi za Taifa na Mbuga za
Wanyama.
Sheria ya Usalama Barabarani ya mwaka 1973 Kifungu cha 39 (3) Sura ya 168 inawakataza Madereva kutumia Honi katika #Kusalimia, Kuonesha hisia zozote au kumueleza dereva aliye mbele kuharakisha na kuongeza mwendo.
Dereva haruhusiwi kutumia Honi nje ya Hospitali, Mahakamani, maeneo ya Shule na katikati ya miji kuanzia saa 5 usiku na saa 12. Pia, hairuhusiwi kupiga Honi ndani ya Hifadhi za Taifa na Mbuga za
Wanyama.