Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Binafsi nitatumia haki yangu kutokupiga kura uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025.
Kuna watu hata sura moja ya katiba ya JMT hawajawahi kuisoma lakini wanakwenda kupiga kura, safi wanatumia haki yao, Mimi katiba karibu yote nimeisoma nimeamua kukaa nyumbani au kwenda kazini siku ya Uchaguzi. Mkanichagulie viongozi, niko tayari kutawaliwa na hao mtakaowachagua.
Binafsi naona hizi chaguzi ni kama kuwaridhisha wahisani tu, nothing more. Mimi maishani mwangu siwezi kufanya jambo la kumridhisha mwanadamu mwenzangu.
Pia soma:LGE2024 - Nini kimetokea kiasi kwamba Wananchi hawataki kujiandikisha hadi wanafatwa majumbani na wanatoa majibu ya dharau kwa wahamasishaji?
Kuna watu hata sura moja ya katiba ya JMT hawajawahi kuisoma lakini wanakwenda kupiga kura, safi wanatumia haki yao, Mimi katiba karibu yote nimeisoma nimeamua kukaa nyumbani au kwenda kazini siku ya Uchaguzi. Mkanichagulie viongozi, niko tayari kutawaliwa na hao mtakaowachagua.
Binafsi naona hizi chaguzi ni kama kuwaridhisha wahisani tu, nothing more. Mimi maishani mwangu siwezi kufanya jambo la kumridhisha mwanadamu mwenzangu.
Pia soma:LGE2024 - Nini kimetokea kiasi kwamba Wananchi hawataki kujiandikisha hadi wanafatwa majumbani na wanatoa majibu ya dharau kwa wahamasishaji?