Kupiga kura ni haki ya kila Mtanzania, kutokupiga kura pia ni haki ya kila Mtanzania aliyeamua hivyo. Tusibembelezane

Kupiga kura ni haki ya kila Mtanzania, kutokupiga kura pia ni haki ya kila Mtanzania aliyeamua hivyo. Tusibembelezane

Sipo kwenye system wala CCM, mi napenda mageuzi nisiposhiriki kuyatafuta nitaendelea kuongozwa na hawa wajinga na mafisadi wa CCM, kumbuka lengo la CCM ni usipige kura ndiyo furaha yao maana Mwenyekiti anaweza kuchaguliwa hata na watu 5 tu akatangazwa, nadhani tubadili mindset zetu. CCM wapo serious na uchaguzi huu wa serikali za mitaa
Kama wewe umeamua kuwa mwana mageuzi wa kweli kwa Sasa kuitoa ccm kwa box la kura haiwezekani , hapa inahitajika plan" b" Na hiyo plan b ni suala la muda tu, hiki kizazi cha watoto wa 2000 inshallah Nina imani watafanya jambo...sisi ngoja tufanye kazi ya kuwawezesha tu kuwapeleka vyuoni ili warundikane mtaani kwa wingi zaidi😀😀, nipe miaka 15 ijayo kama tutakuwa hai hii comment yangu utaikumbuka....
 
Kupiga kura Tanzania ni zaidi ya uzezeta mazezeta pekee ndio wanao pigishwa kura Tanzania.

Kwa sababu wana mtindio wa ubongo, akili hata punje hawana.
Mkuu kaa utafakari, bila kupiga kura hawa akina Lisu, Zitto, Mbowe, Slaa, Heche, Lema n.k tusingewaona bungeni na wametusaidia sn
 
Kama wewe umeamua kuwa mwana mageuzi wa kweli kwa Sasa kuitoa ccm kwa box la kura haiwezekani , hapa inahitajika plan" b" Na hiyo plan b ni suala la muda tu, hiki kizazi cha watoto wa 2000 inshallah Nina imani watafanya jambo...sisi ngoja tufanye kazi ya kuwawezesha tu kuwapeleka vyuoni ili warundikane mtaani kwa wingi zaidi😀😀, nipe miaka 15 ijayo kama tutakuwa hai hii comment yangu utaikumbuka....
NI sawa lakini lazima tushiriki kwa namna zote njia za wazi na za giza, CCM tukiwaacha wanakuwa wapumbavu zaidi, angalia bunge la kijinga kabisa tukipeleka wabunge wa upinzania hata 150 tu ni slaa tosha, kwanza tutajua uchafu wa bungeni mishahara ya kufuru pia wanapinga uchafu wa CCM.
 
Mimi siwezi kuongozwa mkuu, naongozwa na aliyenileta duniani tu, wewe ambaye hujui hata nakulaje, nalalaje hunisaidii kitu, huyo kiongozi naimani nikipangwa nae job ninayofanya mimi yeye hawezi
Mkuu maendeleo ya mtaa ni muhimu sn mimi sitaki kukata tamaa nitaendelea kupambana nao
 
Sasa lazima tushiriki kuzuia, akina Nyerere wangekata tamaa kama wewe huende Tz ingepata uhuru 1980 lakini walipambana bila kukata tamaa na kuna wakati alishitakiwa akalipa faini ya elf 3 ni kama milioni 300 ya sasa, akina Lisu wamepigwa risasi 36, Mbowe kafungwa kwa uonevu Lema alikimbia familia, kwenye mapambano hakuna kukata tamaa unakatia tamaa kizazi chako.
Nyerere scenario yake kwa enzi zile ni tofauti kabisa na sasa wazungu walikuwa watu na wana utu ndio.
Siku hizi ukiingia 18 za watu unapotea mbali.
 
Nyerere scenario yake kwa enzi zile ni tofauti kabisa na sasa wazungu walikuwa watu na wana utu ndio.
Siku hizi ukiingia 18 za watu unapotea mbali.
Lakini broo kitendo tu cha akina Heche kurudi bungeni na wengine ni slaha kubwa sn, zinatungwa sheria za kishetani kabisa sababu hakuna wa kupiga ule uovu, angalia mfano rahisi wa TLS Mwambukusi angekata tamaa leo tungekuwa wapi? TLS ilikuwa tawi la CCM lakini sasahivi TLS imekubwa kimbilio la wanyonge kuliko lile bunge la kishetani
 
Binafsi nitatumia haki yangu kutokupiga kura uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025.
Kuna watu hata sura moja ya katiba ya JMT hawajawahi kuisoma lakini wanakwenda kupiga kura, safi wanatumia haki yao, Mimi katiba karibu yote nimeisoma nimeamua kukaa nyumbani au kwenda kazini siku ya Uchaguzi. Mkanichagulie viongozi, niko tayari kutawaliwa na hao mtakaowachagua.

Binafsi naona hizi chaguzi ni kama kuwaridhisha wahisani tu, nothing more. Mimi maishani mwangu siwezi kufanya jambo la kumridhisha mwanadamu mwenzangu.
Uko sahihi kabisa kwani kuanzia 2019 na 2020 hadi sasa tumeongozwa na viongozi ambao siyo lakini tunaishi.Kwa kweli Mungu akubariki maana uongozi wa Tanzania kwa sasa siyo kuchaguliwa bali ni hisani kutoka kwa watu fulani wenye nguvu.
 
Back
Top Bottom