Kupiga punyeto ni sawa na kufanya mauaji ya kimbari/ mauaji ya halaiki

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2010
Posts
4,219
Reaction score
4,608
Ukipiga asubuhi, ukaunganisha mabao mawili tayari unakuwa umeua watu wawili.

Ukipiga mchana moja, na usiku Raunds tatu, tayari ndani ya siku moja unakuwa umeua watoto sita.

Fanya idadi hiyo mara wiki, vipi ukipiga mwezi mzima utakuwa umeua wangapi?
 
Ukipiga asubuhi, ukaunganisha mabao mawili tayari unakuwa umeua watu wawili.

Ukipiga mchana moja, na usiku Raunds tatu, tayari ndani ya siku moja unakuwa umeua watoto sita.

Fanya idadi hiyo mara wiki, vipi ukipiga mwezi mzima utakuwa umeua wangapi?
Kiranja Mkuu ! Unatakiwa ukafunguliwe kesi ya Uhalifu dhidi ya binadamu at The Hegue 🇳🇱
 
... mada za kipuuzi kutoka kwa wapuuzi! Rais last week akizindua mawasiliano vijijini aliwaasa mtumie mitandao ya kijamii kwa faida ila hamuelewi! Tunaota kuwa kama Korea sijui Taiwan kwa topic kama hizi!
 
Hapa watanzania tunaonekana na IQ ndogo sana ,kupinga punyeto au kugegeda mwanamke na asipate ujauzito ni matukio yanafanana tuwaite wote wauaji?Je mbegu ya kiume Ina maana yoyote isipo ungana na mbegu ya kike?
 
... mada za kipuuzi kutoka kwa wapuuzi! Rais last week akizindua mawasiliano vijijini aliwaasa mtumie mitandao ya kijamii kwa faida ila hamuelewi! Tunaota kuwa kama Korea sijui Taiwan kwa topic kama hizi!
Du, kweli punyeto ina watetezi wake
 
Hapa watanzania tunaonekana na IQ ndogo sana ,kupinga punyeto au kugegeda mwanamke na asipate ujauzito ni matukio yanafanana tuwaite wote wauaji?Je mbegu ya kiume Ina maana yoyote isipo ungana na mbegu ya kike?
Peleka manii zako sperm bank
 
Operation kataa gono na UTI Sugu
Hapa watanzania tunaonekana na IQ ndogo sana ,kupinga punyeto au kugegeda mwanamke na asipate ujauzito ni matukio yanafanana tuwaite wote wauaji?Je mbegu ya kiume Ina maana yoyote isipo ungana na mbegu ya kike?
KATAA GONO

KATAA GONO

KATAA GONO


PIGA NYETO
Hawa ndio vijana wa Tanzania showing their true colours.
 
Ukipiga asubuhi, ukaunganisha mabao mawili tayari unakuwa umeua watu wawili.

Ukipiga mchana moja, na usiku Raunds tatu, tayari ndani ya siku moja unakuwa umeua watoto sita.

Fanya idadi hiyo mara wiki, vipi ukipiga mwezi mzima utakuwa umeua wangapi?
T14 Armata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…