Kupiga punyeto ni sawa na kufanya mauaji ya kimbari/ mauaji ya halaiki

Kupiga punyeto ni sawa na kufanya mauaji ya kimbari/ mauaji ya halaiki

... mada za kipuuzi kutoka kwa wapuuzi! Rais last week akizindua mawasiliano vijijini aliwaasa mtumie mitandao ya kijamii kwa faida ila hamuelewi! Tunaota kuwa kama Korea sijui Taiwan kwa topic kama hizi!
Hawa wapumbavu ndo wanafanya tusipunguziwe gharama ya bando
 
Ukipiga asubuhi, ukaunganisha mabao mawili tayari unakuwa umeua watu wawili.

Ukipiga mchana moja, na usiku Raunds tatu, tayari ndani ya siku moja unakuwa umeua watoto sita.

Fanya idadi hiyo mara wiki, vipi ukipiga mwezi mzima utakuwa umeua wangapi?
,[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Nakushauri usipige punyeto,
Jifunze kuvuta bangi, bangi inakupa starehe ya ajabu Sana.
67123e7ed00ad0b47ca943d2299a265e.jpg
 
Raundi moja ya tendo hutoa mamilioni ya mbegu, na mbegu moja tu ndio humtia mwanamke mimba, ina maana hizo zingine huwa tumeua mamilioni ya watu.
 
Nyeto ndo kitu nimeshindwaga aisee nikijidai kupiga sio Kwa mchoko huo karibu wiki nzima Nitakua hoi uchovu na usingizi Wa Ajabu ajabu
 
Bao 1 ni watu zaidi ya milioni 400...hivyo ukipiga wiki 2 kila siku bao 1 unakuwa umeua watu wengi kuliko watu wote waliomo duniani kwa sasa.

🤣🤣
 
Back
Top Bottom