SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Upo sahihi kabisa.KWA UFUPI, KESI ZOTE TUNAZOSHINDWA SASA NA KUPELEKEA KUPOTEZA FEDHA KWA KULIPISHWA FAINI ZA MAMILIONI YA WALIPA KODI ZIMETOKANA NA SERIKALI YA AWAMU YA TANO.
Hayo yoteee uliyoyataja ndiyo walioshika mpini wanayataka yaendeleee kuwepo ili wafurahie.waliobaki ni wala makombo tuuu harafu wanajigeuza kujiita chawa. 2025 tuanze na wabunge robo tatu , au hata nusu kwa nusu , tuone kama hatutapiga hatua kwenda kanani.MFUMO WA UONGOZI WA NCHI YETU NI MBOVU, MFUMO WA KUCHAGUA VIONGOZI NI MBOVU, UTARATIBU WA KUTEUA VIONGOZI NI MBOVU NA HATUNA MIHIMILI MITATU ILIYO HURU NA INAYOJITEGEMEA. BUNGE NA MAHAKAMA SIYO MIHIMILI INDEPENDENT, MHIMILI INDEPENDENT NI SERIKALI NA CHAMA TAWALA AMBAO KIONGOZI NI MMOJA.
Awamu ya sita hoyeee. Kubalini matokeo kwambaaa, bibi phd ni failure leader.Upo sahihi kabisa.
Ni mpaka pale uchaguzi 2025 utakapofanyika, ndipo tutajua awamu inayofuata imefanya nini.
Mpaka hapa tulipofikia, ni vijiti tu vilivyobadilika(wamerithi). Awamu ni ya Tano..
Awamu ni ile ile iliyochaguliwa 2020!
Ni ccm ikae kando kwanza, huko ndio kujisahihisha; unasemaje kada?Tujisahihishe kama ambavyo amewahi kuandika baba wa Taifa ili tusirudie makosa ambayo yatakuwa yanatugharimu kama Taifa.
Anahangika na mwani huko kojani.Umemusahau kikongwe faiza Mbweha
Watu wapuuzi, wajinga na waovu hutumia mwavuli wa chama na serikali kwa sababu ya fikra zetu za kutoa lawama za jumla namna hii.Andiko lako limrkaa vizuri.
Kilicho dhahiri ni kwamva ndanibya Serikali na taasisi zake wamejaa watu wanafiki, wasio na faida kwa Taifa, ambao kila siku wanashiriki kuliangamiza Taifa.
Mambo haya maovu yanasimamiwa na kuungwa mkono na CCM. Kwa CCM, uovu wowote hata uwe mbaya namna gani lakini ukifanywa na mwanaCCM mwenzao, unageuzwa kuwa ni utakatifu.
Nchi hii itaendelea kuwa gizani mapaka siku CCM itakapokuja kuondolewa. Kuondolewa kwa CCM kutasababisha kuzaliwa kwa taasisi nyingi zitakazoendeshwa na watu werevu, wakweli wa nafsi, katika matendo na kauli. Taasisi za namna hiyo zinashindwa kumea na kukua kwa sababu CCM imehodhi kila kitu kwa kuigeuza Serikali kuwa ndiyo CCM.
Siafu wamekazanaWezi wa taifa kazini
Nina imani, Mheshimiwa Pascal Mayalla unafanyia kazi ya kuleta majibu ya Maswali haya.Kama Kuna sheria inazuia mashauri yote kusikilizwa Nje ya nchi. Inakuwaje haya malipo yanafanyika? Au hiyo sheria ilifutwa baada ya mabadiliko ya awamu?
====
Naomba ufafanuzi, Mkuu wangu kwenye mambo haya.
Nani hao "wanaitafuna" tu?Halafu wanakuja na maneno HATUNA DOLA! Wanajinasibu kuomba dola.
Nchi hii ni Kumbaf! Wanaitafuna tuuh!! Na bado.
He ,umetoka jela?! au umetoroka!Nani hao "wanaitafuna" tu?
Kipande hicho hakina maana yoyote zaidi ya kuwa hapo umegeuka kamusi tu ya Kiswahili kufafanuwa ujinga na upubavu kwa mtazamo wako.Wanabodi,
Leo naomba kuianza makala ya leo kwa angalizo kuhusu neno mjinga na mpumba. Mtu kuitwa mjinga ni mtu asiyejua, mjinga akiishafundishwa akajua, anaerevuka ujinga unamtoka anakuwa sio mjinga tena bali mwerevu! Mjinga aliyefundishwa na bado akabaki na ujinga wake, huyo sasa sio mjinga tena bali ni mpumba. Hivyo mpumba.. ni mjinga asiyefundishika!
Mungu Ibariki Tanzania
Paskali
Hapo umejipumbaza tu, lakini ukweli ni kuwa umekuja kusomesha siyo kuelimisha. Kwa kipande hicho tu cha maandiko yako, nimefahamu na nna uhakika hauelewi tofauti ya kusomesha na kuelimisha.Wanabodi,
Hiki ndicho kinachotokea kwenye baadhi ya issues za taifa letu, na mimi kama kawa kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi za Kwa Maslahi ya Taifa, kujitahidi kuwaondolea ujinga Watanzania wenzetu.
Mungu Ibariki Tanzania
Paskali
Kesi hii haikuendeshwa Kivukoni au Kisutu. Kwa kiingereza kile ulidhani mwanasheria gani wa Tanzania atakubali kwenda mahakamani? Hiyo miezi miwili pia ilikuwa mingi walitamani wapewe hukumu hata mahakamani wasiende.Hii kesi imefufuliwa na wanaume wapige pesa then maza wa mwambie anaupiga mwingi na majina mazuri mazuri huku wanapiga pesa za umma, umewahi kuona wapi kesi kubwa kama hii inaendeshwa kwa miezi 2? kuna kesi ya ubunge ambayo haina maslahi kwao leo ina miaka 2 haijulikani hata mwisho wake.
Mona unaniombea mabaya, sijawahi kuwa jela, Mwenyezi Mungu atunusuru sote na jela.He ,umetoka jela?! au umetoroka!