Kupigwa billioni 75 ni ujinga au upumbavu? Tutaendelea kukubali kufanywa kichwa cha mwendawazimu hadi lini?

Ni huo huo mfumo CCM ambao hata wewe umeutamani uwe mmoja wao ili na wewe uutetee.
Mkuu fazili , japo kweli mimi ni kada wa CCM, mimi ni kada wa type hii
View: https://youtu.be/Qr6j25jFGyI?feature=sharedSikutoa hata senti moja kwa mjumbe yoyote, na matokeo yake nilipata kura moja!.
Mungu yupo alitenda na atatenda!.
P
 
Mwendawazimu ni Jiwe aliyekuwa anaitawala nchi kwa kuheshimu ndoto zake.

Leo hii nchi inatumia kodi za wananchi kulipia fidia na adhabu zilizo sababishwa na maamuzi yake ya kuheshimu ndoto.
Acha upumbavu binti!
..

Jiwe alitaka kukutoa kwenye makucha ya unyonyaji!

Kwa mfano akija Rais mwingine mwenye akili unafikri ataendelea na huu uharo wenu wa Dp world.?
 
Kama Kuna sheria inazuia mashauri yote kusikilizwa Nje ya nchi. Inakuwaje haya malipo yanafanyika? Au hiyo sheria ilifutwa baada ya mabadiliko ya awamu?

Mkuu hivi vitu kama draft , vinachezwa kwa ustadi mkubwa sana. Yaani mtu anajianzishia mpira, anajipigia pasi na kufunga mwenyewe.

Trust me, haya makampuni mengi yanayoidai hii nchi kuna mikono ya watanzania wenzetu nyuma yake, kuna watanzania wananufaika na haya mambo. Alafu unakuta hao hao wana ushawishi katika ngazi ya kuishauri serikali, sasa unadhani serikali itashauriwa nini?

Hapo serikali inaweza kushauriwa tu kuvunja sheria ili kulipa haraka ili isije kulipa kiwango kikubwa cha pesa mbele ya safari. Yaani tusimamie sheria then tulipe bilioni 100 au 200 au tuvunje sheria then tuilipe mapema bilioni 75 ili kuwatuliza wanaodai.

Yaan hapo wale waliojeruhiwa enzi ya jiwe wanarudisha chao kwa nguvu zote, yaani ni kuchagua moja kufa au kuolewa.
 
Exactly. Lissu alitoa ushauri mujarab kabisa. Ila Dikteta akamshindilia risasi 16. Na Mungu kamuepusha Lissu na kifo ili aje kutusuta kwa kupuuza ushauri wake
Hawa watu wanashirikiana kuuza kesi, kuna mengi hamyajui., hapakuwa na kesi ya kushindwa hapo
 
Yes we had the guts!

And we proved it. We ripped up the damn contracts. Because they were unconscionable and the President had the brass balls to do something about it.
Mkuu espy , kwanza asante kuchangia uzi huu with such objectivity, na mpaka sasa hili bandiko liko page 15, wewe ndie the first one to follow the links and respond kuhusu do we have the guts. Umejibu vizuri kuwa we have the guts and Blaza wangu had the brass balls!, where is he now?, unajua aliondokaje?, aliondoka, alitwaliwa au aliondoshwa?. Vitu vingine tuviache tuu, kama unaamini ni tarehe 17/3 na sababu ni ile, it's good for you!.
Unamhukumu aliyefuta mikataba badala ya kumlaani aliyeingia mikataba in the first place.

Pombe Magufuli alikuta nchi inavuja damu ya mabilioni ya dola migodini. Akashindwa kuduwaa kama zoba anatazama nchi inarepiwa. Kama ni we ungefanyaje ?
Kwanza sijamlaumu aliyevunja mikataba, nimewalaumu washauri wake walitunga retroactive law ambayo ni repressive!, yeye sio lawyer hivyo hajui!, wanaojua walimdanganya, kama Tume ya Mwakyembe ilivyomdanganya Jakaya kwenye Dowans, tukavunja mkataba, tukashitakiwa, tukashondwa, tukakomaa hatulipi!, tulilipa every cent kisirisiri!. Swali waliotufanya hivyo wamefanywa nini?!.
Akapiga hesabu akaona faini ya kufuta mikataba ni bora - kwa sababu ni finite number - kuliko gharama ya kuendelea kubakwa migodini bila hesabu, bila ukomo.
What about infinite numbers like paying for one's life?. Kwenye huu uzi, Zita Act Retroactively? Tutavunja Mikataba Yote Iliyopo? Can we Stand? Do we have the Guts? niliuliza vizuri kabisa
Naunga mkono hoja
P
 
Hawa watu wanashirikiana kuuza kesi, kuna mengi hamyajui., hapakuwa na kesi ya kushindwa hapo
Wewe unayeyajua si uyaweke hapa!! Eti watu wanashirikiana kuuza kesi? Ukichagua kufuata ushauri wa kijinga kama JPM lazima yakukute haya. Ila angefuata ushauri wa Lissu tusingekuwa na hasara hii
 
Wewe unayeyajua si uyaweke hapa!! Eti watu wanashirikiana kuuza kesi? Ukichagua kufuata ushauri wa kijinga kama JPM lazima yakukute haya. Ila angefuata ushauri wa Lissu tusingekuwa na hasara hii
Mbona hili Lissu hakulisemea wewe umelitoa wapi?
 
Wewe unayeyajua si uyaweke hapa!! Eti watu wanashirikiana kuuza kesi? Ukichagua kufuata ushauri wa kijinga kama JPM lazima yakukute haya. Ila angefuata ushauri wa Lissu tusingekuwa na hasara hii
Nchi hii tunadaiwa madeni mangapi legitimate kabisa na hayana kona kona na hatujayalipa, iweje hizi za ICSID chap kwa haraka watu wanalipa?
Watu wanapercent zao hapo..
 
Hapo ndipo panapo hitaji hekima.. hatuna viongozi wa dini tuna magenge ya kina Yuda eskarioti, wapenda mali ndo hili limoja lintataka mama wa taifa....
 
Upinzani wakisema haya tunaitwa Vibaraka, hatujui! Hahahaaha sisi tumetangaliza siasa kwenye Kila kitu, siku tukiweza kutengenisha Kwa asilimia kadhaa tu tutakua mbali
Tundu Lisu aliyasema haya yakamkuta yaliyomkuta, mama alianza vzr eti naye anadai kuna watu wanajadili dini za wenzao, jamani jamani.... Hawaoni kina Mazinge,Mwaipopo na wengine, raisi wa nchi kweli?!!!!
 
Hivi hii itakiwa ni roho fulani inawavaa? Hivi huyu anayewateua anjisikiaje akisifiwa mambo ambayo hayapo? Kwanza ile Invoice iliyoongezwa ununuzi wa ndege iliishia wapi? Yeye si ndio alituambia? Tulimuuliza?
Nilikupenda sana wowowowooo mfaaano wa mauaooo lakini hupendeki wowowowoo bora sasa wende x 100!!!
 
Lisu alisema tutanyolewa bila maji....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…