Kupigwa Marufuku Makanisa ya Kilokole, Gwajima amjibu mkuu wa mkoa wa Arusha, ni mtoto wa Dawa

Kupigwa Marufuku Makanisa ya Kilokole, Gwajima amjibu mkuu wa mkoa wa Arusha, ni mtoto wa Dawa

Askofu Gwajima amesema aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo aliwakatalia walokole kufanya matamasha ya mkesha kwa madai kuwa wanapiga kelele.

Gwajima amesema Gambo ni " mtoto wa dawa" au Jini mtu nasi baada ya kusikia kufuru zake tulimlaani na kumshtaki mbele za Mungu wa mbinguni.

Maendeleo hayana vyama!
Gwajima ana elements za kushirikiana
 
Askofu Gwajima amesema aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo aliwakatalia walokole kufanya matamasha ya mkesha kwa madai kuwa wanapiga kelele.

Gwajima amesema Gambo ni " mtoto wa dawa" au Jini mtu nasi baada ya kusikia kufuru zake tulimlaani na kumshtaki mbele za Mungu wa mbinguni.

Maendeleo hayana vyama!
stupid tapeli Gwajima, anataka kudandia tukio la Gambo aonekane anaweza kulaani. Laana anayo yeye anayetapeli watu!
 
Hiv kweli pamoja na Gwajima kujihusisha na ngono kanisani kwake, kujirekodi na hata kupata tuhuma fulani fulani mbaya, bado kweli ana waumini?! Kweli kuna misukule TZ...
 
Askofu Gwajima amesema aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo aliwakatalia walokole kufanya matamasha ya mkesha kwa madai kuwa wanapiga kelele.

Gwajima amesema Gambo ni " mtoto wa dawa" au Jini mtu nasi baada ya kusikia kufuru zake tulimlaani na kumshtaki mbele za Mungu wa mbinguni.

Maendeleo hayana vyama!
Gwajima hana moral authority ya kumshtakia mtu yoyote kwa Mwenyezi Mungu.
 
Yeye kamzungumzia Mrisho!

Sawa.Swali langu ni kwamba anajinasibu kuwa kuenguliwa kwa ghambo nimajibu ya maombi yake, je alipoitilafiana na toto pendwaakasema ameshamfuta kwenye ulimwengu wa sias, mbona huyo bado yupo tu, au au toto pendwa alitubu na kusamehewa?
 
Askofu Gwajima amesema aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo aliwakatalia walokole kufanya matamasha ya mkesha kwa madai kuwa wanapiga kelele.

Gwajima amesema Gambo ni " mtoto wa dawa" au Jini mtu nasi baada ya kusikia kufuru zake tulimlaani na kumshtaki mbele za Mungu wa mbinguni.

Maendeleo hayana vyama!
Huyo porn star alimlaani Gambo akiwa kiunoni akirekodi filamu ya ngono???
 
Gwajima umeanza ule utapeli wako!
Utamlaani kwa Mungu yupi?
Unaowatapeli na kuwaibia wanavyokulaani?
We endeleza uponyaji wa kisanii ila elewa kiyama kipo na Mungu yupo
 
Back
Top Bottom