Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,887
- 7,673
Gwajima ana elements za kushirikianaAskofu Gwajima amesema aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo aliwakatalia walokole kufanya matamasha ya mkesha kwa madai kuwa wanapiga kelele.
Gwajima amesema Gambo ni " mtoto wa dawa" au Jini mtu nasi baada ya kusikia kufuru zake tulimlaani na kumshtaki mbele za Mungu wa mbinguni.
Maendeleo hayana vyama!
Mmh!Alikuwa wapi siku zote hakutoa hayo maneno?
Vipi yule bashite aliyesema wamemfuta katika ulimwengu wa siasa mbona anadunda tu?
stupid tapeli Gwajima, anataka kudandia tukio la Gambo aonekane anaweza kulaani. Laana anayo yeye anayetapeli watu!Askofu Gwajima amesema aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo aliwakatalia walokole kufanya matamasha ya mkesha kwa madai kuwa wanapiga kelele.
Gwajima amesema Gambo ni " mtoto wa dawa" au Jini mtu nasi baada ya kusikia kufuru zake tulimlaani na kumshtaki mbele za Mungu wa mbinguni.
Maendeleo hayana vyama!
Duh...!. Gwajima nae!..
Gwajima amesema Gambo ni " mtoto wa dawa" au Jini mtu nasi baada ya kusikia kufuru zake tulimlaani na kumshtaki mbele za Mungu wa mbinguni.
Gwajima hana moral authority ya kumshtakia mtu yoyote kwa Mwenyezi Mungu.Askofu Gwajima amesema aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo aliwakatalia walokole kufanya matamasha ya mkesha kwa madai kuwa wanapiga kelele.
Gwajima amesema Gambo ni " mtoto wa dawa" au Jini mtu nasi baada ya kusikia kufuru zake tulimlaani na kumshtaki mbele za Mungu wa mbinguni.
Maendeleo hayana vyama!
King of kwichi kwichiMla kondoo huyo
Mla K?Kamlaani Makonda na kumtoa kwenye uRC but Makonda bado anamuongoza tu huyo askofu mla.....
Yeye kamzungumzia Mrisho!
Huyo porn star alimlaani Gambo akiwa kiunoni akirekodi filamu ya ngono???Askofu Gwajima amesema aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo aliwakatalia walokole kufanya matamasha ya mkesha kwa madai kuwa wanapiga kelele.
Gwajima amesema Gambo ni " mtoto wa dawa" au Jini mtu nasi baada ya kusikia kufuru zake tulimlaani na kumshtaki mbele za Mungu wa mbinguni.
Maendeleo hayana vyama!
Atahama na kuanza kumsifu tenaDua la kuku. Kesho Gambo akiwa waziri atasemaje? Huyu mzee aache kuishi kwa matukio.