Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Kwa hiyo waliuza kwa sababu ya hilo saga?Kwa upeo wangu mdogo nadhani kilichofanyika ni kutaka kuiumbua serikali baada ya ile mikwara mbuzi ya Chura kiziwi.
Tigo hana kesi maana Mabeberu wako mbele ya Muda. Kampuni ya Millcom alishajiongeza muda akauza mtandao wa Tigo Kwa Rostam Aziz na huenda hata hawakumuuzia bali waliingia kati na Rostam wakasajili kampuni nyingine Rostam akakaa front kama mmiliki. Akili ni mia.
Ukienda mahakamani huwakuti.
Hao wapuuzi wako mbele ya muda.
The it is the responsibility and reliability of the company to employ unethical employee and to let the company easily manipulated.I know...
Kwamba wengi wa viongozi wa serikali hii pamoja na serikali yenyewe ina hisa ktk makampuni haya na hivyo na part of the owners of these telecommunication companies....
If that is the case, then it's obvious that wana wafanyakazi wao mapandikizi ambao sio waaminifu na hao ndiyo huvujisha information za wateja wanaotafutwa kuuwawa na wabaya wao....
Bila shaka hawa wafanyakazi waliopandikizwa na serikali au na baadhi ya hawa viongozi wa serikali "wasiojulikana" lakini ni watekaji na wauaji hawa ndio hu - disclose information za wateja targeted na wauaji bila ridhaa ya kampuni kwa ujumla wake....
Kama ndiyo hivi, basi ni jukumu la makampuni haya kuzi - secure information za wateja ktk namna ambayo ni ngumu na pengine isiwezekane kabisa kwa mtu mmoja au wawili kuzichokonoa na kuzigawa....
So, don't worry. I know that already....
Ndo maana yake walishaona mbele nini kinaweza kuwakuta.Kwa hiyo waliuza kwa sababu ya hilo saga?
Kwanini mlitaka kumuua?Mambo hayafanyiki kwa mihemko kama unavuodhani!
Kwa hiyo yafanyike hayo kisa Lisu alifanyiwa hiyo!
Who is Lisu mpaka tigo ifanyiwe hivyo?
Juzi hapa maandamano umeona kilichotokea?
Kama ni tushauriane ni mawasiliano yapi yatakuwa salama kwetu maana hatupo salama kwa namna hii ya tunaotumia mawasiliano yao kutuuza kwa watu wabaya.Ulikua haujui hizi kampuni zipo kwa ajili ipi na zipo chini ya nani yaan mwenye mamlaka na kampuni zote ambae hata sasa akikuhitaji kwa kuzitumia hizo kampuni anakupata haumjui?
Rejea yule mzee wa Tanga aliedakwa kwenye gari na wale mabwana wakaondoka nae, tupo kwenye msiba wa mtumishi wa Halmashauri alieungua vibaya akiwa kwenye gari huko Tanga unganisha dots
Asiyejua atakubishiaTuko nyuma sana kwa technology. Wametupita kwa kila kitu . Mzungu anatuchungulia mpaka ndani ya mapafu, acha vyumbani. Simu ni zao, satellite ni zao, hata savers ni zao, mimi siwabishii.
Sahihi kabisaHuyu Lissu sio mjinga,hii toka toka ya kwenda Ubelgiji uwa kuna vitu anafuatilia sio bure……….
Kuna nyakati Mungu,kwa makusudi kabisa anaruhusu mtesi wako akutese apendavyo Ila hawezi kuruhusu ufe,sio kwa sababu hakupendi la hasha!!! Ila anataka kupitia kwako ajidhihirishe ya kuwa hakuna mkubwa kuliko mwingine kwenye hii dunia………..rejea habari ya Ayubu na shetani,Daudi na Goliath,Mussa kwa farao NK.
Kupitia LISSU ndio tunapata ile dhana ya Mungu ndani ya mtu
Tupa laini tupa simu tumia njia ya barua kupitia kwa mtu kwenda kwa mtu ukiweza nenda mwenyewe ukamfuate usipige simu usitembee na simu haupo salamaKama ni tushauriane ni mawasiliano yapi yatakuwa salama kwetu maana hatupo salama kwa namna hii ya tunaotumia mawasiliano yao kutuuza kwa watu wabaya.
Ushawahi kuliwa TIGO kwani wewe?TIGO-TZ mtandao wa hovyo kama lilivyo jina lake