Kupigwa risasi kwa Tundu Lissu: Kampuni ya simu ya Tigo yadaiwa ilivujisha mawasiliano yake kwa mamlaka

Ingekuwa ni Tanzania Ile sheria ya usalama wa Taifa inayohusu kutunza Siri za Nchi tena kwa.kuapisha ingemtia huyo Afisa kifungoni kwa.miaka 20 achilia mbali kufutwa kazi.

Tanzania tuna sheria za hatari
 
Mbona Kabendera alifungulia Voda kesi ha kuvujisha Mawasiliano lakini wakaitupilia mbali?

..kabendera alishtaki Tanzania.

..pia Kabendera hakuwa ndani ya kampuni ya Voda.

Mazingira hayo yanaweza kuwa yalimkwamisha Kabendera asiwe na ushahidi wa kutosha dhidi ya Voda.

..anayetoa madai dhidi ya Tigo ni mtumishi wao ambaye anadai alihusika ktk suala hilo.
 
Lakini ni mazingira hayo hayo isipokuwa tuu amekosekana wa ndani kutoa ushahidi
 
Kwani ilikuwa siri, mbona yule roporopo aliyekuwepo (Magufuli) alikuwa anasema wazi tunadukua mawasiliano ya Lissu na kusikiliza jinsi anavyojaribu kufanya sabotage kwenye re-negotiations za madini na ACCACIA.

Pamoja na hayo Lissu akaonywa acha, aelewi somo; akipata muda kwenye media ni kuponda uongozi hoo dictator uchwara, akienda bungeni bado anapika sumu yake ya uongo ya kwenda kushitakiwa MIGA.

I mean it’s obvious Lissu has been compromised for a while, kwa nyakati zile na alichokuwa anafanya ni kujitakia tu.

If anything hii kesi inaonyesha Magufuli alikuwa mkweli alipokuwa anasema kutwa Lissu anapogia simu wafanyakazi wa ACCACIA na tume ya madini kutafuta umbea na coaching ili kuiangamiza serikali.

Wafuasi wa CDM mitandaoni ni shida wapo tayari kutetea viongozi wao kwa lolote bila ya kujali national interest.
 
..Wazungu / Mabeberu wanaabudu mahakama na sheria, kuliko wanavyoabudu MUNGU.

..kuna jasusi wa FBI Marekani alijitoa mhanga kumchoma Rais Richard Nixon ktk kashfa ya udukuzi wa campaign HQ za chama cha Democrats.

..kashfa hiyo ilijulikana kama Watergate Scandal. Jasusi wa FBI alikuwa anatoa siri za uhalifu uliofanywa na timu ya kampeni ya Rais Richard Nixon wa Republican kwa waandishi wawili wa habari.

..ukifanya uhalifu na mabeberu suala likifika MAHAKAMANI lazima watakiri kila mlilofanya.
 

..Ilitakiwa apelekwe MAHAKAMANI.

..mbona Nyerere aliwafikisha mahakamani wanajeshi waliopanga kumpindua na kumuua?

..kwanini Magufuli aliamua kumuua Lissu? Yeye angempeleka mahakamani, halafu akasubiri kusaini hukumu ya kifo kama angepelekewa.

..pia suala la Acacia / Barrick imegundulika kwamba Lissu alikuwa mkweli, na Magufuli muongo.

..kwa kifupi Magufuli aliamua kumuua Lissu ili uwanja uwe wazi kuwalaghai wananchi kwamba anatetea rasilimali.
 
Lakini ni mazingira hayo hayo isipokuwa tuu amekosekana wa ndani kutoa ushahidi

..Kabendera alipaswa kuwa na mtu wa ndani ya Voda, au Tiss, ambaye yuko tayari kuwachoma wenzake.

..Pia huwezi jua kama Kabendera hawezi kushtaki nje ya nchi na ikatoka hukumu itakayompa ushindi.

..Kwenye nchi za mabeberu kuna sheria zinazoyakataza makampuni yao kujihusisha na mambo fulani fulani, hata yanapofanya kazi nje ya nchi zao.

..Makampuni ya mabeberu hawaruhusiwi kujihusisha na rushwa ktk mataifa ya nje. Kwa mfano, kampuni kama Boeing ikijulikana kwamba imejihusisha na rushwa hapa Tanzania inaweza kushtakiwa ktk mahakama za Marekani na kuingia ktk matatizo makubwa. Ni mfano tu.
 
Wafuasi wa CDM hata siku viongozi wenu wakitoa bunduki hadharani na kuuwa, mbele ya umati. Mtasemq nyinyi ndio mliiona vizuri ilikuwa bahati mbaya tu jua lilikuwa usoni kwake akuona kashika nini kabla ya kufyatua.

Ni kama sakata la Mnyika mtu anaitwa kwa mahojiano na polisi wito ambao uwezi kukataa kisheria, ataki kwenda. Mkitoka hapo ohoo Mnyika asiende kuwasaidia polisi kwenye mahojiano. Halafu akikamtwa anaonewa.

Sitogusia ya nani sahihi kwenye mambo ya mikataba kwa sababu najua Lissu hajui na wewe ndio kabisa, so huko tutakuwa tunapoteza muda tu.

Acheni hii mambo ya blind support, if it’s wrong it’s wrong. Msipende kutetea makosa ya wazi ya viongozi wenu.
 
Mambo yanazisidi Kusanuka.
 
Tanzania remains a dangerous country in which to be a member of the political opposition, despite a change of president in 2021.
 
Tanzania remains a dangerous country in which to be a member of the political opposition, despite a change of president in 2021.
Hiyo habari aiwezi kuwa kwenye TV media, aiwezi kuwa front page ya guardian.

Ni one sided (bias) hakuna upande wa TiGO the objective of the article is clear it’s a sponsored yenye lengo la kuichafua nchi.
 
Huyo mtumishi alihusika kwenye uchunguzi wa jambo hilo, na alifanya kazi yake ukweli kweli ... kumbe kuna ambao hawakutaka ukweli kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…