Kupima ni ishu nyie

Hongera sana,weka utaratibu wa kupima kila mara kama unajiamini,lakini kama hujiamini sikushauri,utakuwa unakaribisha maradhi ya pressure kwenye mwili wako...
 
Hongera sana,weka utaratibu wa kupima kila mara kama unajiamini,lakini kama hujiamini sikushauri,utakuwa unakaribisha maradhi ya pressure kwenye mwili wako...
Sipimi tena hapa
 
Mimi nimeshaenda zaidi ya mara 100 kupima ila sijawahi kuchukua majibu!! Sitaki kufa kwa pressure kabla ya siku zangu za kuishi...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] majibu hutaki,kwa nini unaendelea kupima?
 
Hakuna VVU, haya magonjwa mengine ni biashara tu hizi, na zinaingiza pesa kama madawa ya kulevya
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] majibu hutaki,kwa nini unaendelea kupima?

Naenda kupima ili kujua afya yangu, kasheshe ni kwenye majibu! Uzalendo wa kusubiria majibu huwa unanishinda!
 
hongera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…