Tangu tunazaliwa, makuzi yetu, shuleni, hadi utu uzima, lazima Kuna neno au msemo bado hujapata mantik yake Hadi leo, kupitia andiko hili hebu tuelimishane na kukumbushana midemo, nahau na maneno mbali mbali.
Mimi binafsi Kuna maneno na misemo ambayo Hadi leo bado yananiumiza fuvu HAWALA YA FEDHA....TIME IS MAKANGABILITE. HUDHURUNGI. SAMAWATI, nk
Nina imani pia Kuna watu wengine Kuna maneno na misemo bado hawajapata maana au mantiki yake Hadi leo
Tupeane madini!
Mimi binafsi Kuna maneno na misemo ambayo Hadi leo bado yananiumiza fuvu HAWALA YA FEDHA....TIME IS MAKANGABILITE. HUDHURUNGI. SAMAWATI, nk
Nina imani pia Kuna watu wengine Kuna maneno na misemo bado hawajapata maana au mantiki yake Hadi leo
Tupeane madini!