digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Kufa au?Niwe WA kwanza
TAPELI punguza mhemko. JF haina mafala wa kuliwa kizembeLabda huko kwenu Kisiju
Kausha damu pro maxKaribuni katika mchezo wa kuchangiana pesa kila wiki 400,000, Kwa mwaka mzima (wiki 52). Kila mwanachama anayestahili kupokea kwa wiki husika anachagua gari isiyozidi TSH 20m toka yard ambazo tuna mkataba nazo Dar es Salaam. Ukichukua gari yenye thamani chini ya 20m TZS unachukua chenji yako cash iliyobaki.
NB: Kwa sasa tupo 14 Ila tunatazamia Kuwa 20 (mwisho). Kuwa mwanachama Lazima uwe na shughuli za kukuingizia kipato na mdhamini pia utalazimika kusaini mkataba chini ya Wakili msomi, mwanachama hai wa TLS, mwenye leseni ya uwakili https://ewakili.judiciary.go.tz) wa kikundi.
**Utaratibu huu unaanza tarehe 01 Oktoba 2024.
***Bima Kwa majanga na kifo kwa wanachama vimezingatiwa.
Uamuzi ni wako. Hujalazimishwa kujiunga.Ni vyema nijiwekee akiba hyo mil na laki sita kila mwezi ninunue mimi mwenyewe baada ya kufika hyo mil 20. Tena nkiwa naweka utt nitakuta na faida pia
Kwann mpaka Leo hujajiwekea hiyo akiba?Ni vyema nijiwekee akiba hyo mil na laki sita kila mwezi ninunue mimi mwenyewe baada ya kufika hyo mil 20. Tena nkiwa naweka utt nitakuta na faida pia
Kwanini MATAPELI mkishashtukiwa mnakuwaga na hasira sana?Uamuzi ni wako. Hujalazimishwa kujiunga.
Sema wewe ndugu. Wabongo kwa ujuaji Sasa!Kwann mpaka Leo hujajiwekea hiyo akiba?
Ndo manakeManaake uwe na kipato cha wastani 1.6M kwa mwezi...
ha ha ha, mkuu umeua! bongo nyoso!Iko poa ikiwa mtakuwa na account bank na signatory muwe kikundi kizima....bongo tatizo umaliziaji
UongoWakuu tumetimia 20 tayari. Asanteni, huo ushauri kawapeni wajomba zenu jobless huko Kaliua