mtaa umetulea
JF-Expert Member
- Nov 17, 2020
- 1,840
- 2,381
Hiyo 1.6m ni ziada haina kazManaake uwe na kipato cha wastani 1.6M kwa mwezi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo 1.6m ni ziada haina kazManaake uwe na kipato cha wastani 1.6M kwa mwezi...
Pamoja sana Mkuu. Asanteniwakuu kila la heri, mimi nilitamani kujiunga ila ningekonda sana kama ng’ombe aliyekosa malisho….. Baada ya week 52 tupeni mrejesho. Ikiwezekana fanyeni mzunguko mwingine Hapo naamini nitakuwa na muscles za kutoa 400,000 kila week.
Hasa yule boya wa kuanzia namba 3 kwenda mbele.Kuna boya hapa anatafutwa kupigwa na kitu kizito chenye ncha kali utosini na atapatikana tu.
Mara nyingi pesa ni kuiweka mbali kabisa kiasi kwamba ukipata unforseen circumstances usiweze kuitoa ku clear hio issue.Laki nne kwa wiki; kwa mwaka itakuwa (400,000/= x 52 = 20,800,000/= kwahio mtu akiweka pesa hizo mwenyewe kwa mwaka ataweza kununua gari mtakayompa.....
Mpo 20 kwahio wiki ishirini baada ya kuanza kila mtu atakuwa kapata gari.., which means kikundi chenu kitakuwa na deficit ya kulipa hio yard...
Sasa maswali mtu akishapata gari na tuseme sio tapeli akalipa hio miezi 52 what happens wiki ya 53 atalipa ili anunue nini ?
Okay umesema gari thamani 20m vipi akinunua la 10m hio difference inakwenda wapi ?
Je mtu hatakuwa better off kusema hizo pesa aweke kwenye mpesa kila wiki ili baada ya mwaka azitoe na kununua hilo gari (nadhani atakuwa amepata na mpesa faida)
1.6x12=192000001.6m
Empowerment1.6x12=19200000
Kupewa gariWA kwanza kufanywa nn?
Hii labda mfanye watu mnaofahamiana sana na mna ukaribu wa kutosha, huku JF inatia mashaka sana.Sema wewe ndugu. Wabongo kwa ujuaji Sasa!
Tumekamilika 20 tayari. Jana tumefungua akaunti ya kikundi NMB jumamosi tuna Kikao cha wanachama wote, tarehe 01 Oktoba tunaanza Rasmi.Hii labda mfanye watu mnaofahamiana sana na mna ukaribu wa kutosha, huku JF inatia mashaka sana.
Mna card za CCM ?Karibuni katika mchezo wa kuchangiana pesa kila wiki 400,000, Kwa mwaka mzima (wiki 52). Kila mwanachama anayestahili kupokea kwa wiki husika anachagua gari isiyozidi TSH 20m toka yard ambazo tuna mkataba nazo Dar es Salaam. Ukichukua gari yenye thamani chini ya 20m TZS unachukua chenji yako cash iliyobaki.
NB: Kwa sasa tupo 14 Ila tunatazamia Kuwa 20 (mwisho). Kuwa mwanachama Lazima uwe na shughuli za kukuingizia kipato na mdhamini pia utalazimika kusaini mkataba chini ya Wakili msomi, mwanachama hai wa TLS, mwenye leseni ya uwakili https://ewakili.judiciary.go.tz) wa kikundi.
**Utaratibu huu unaanza tarehe 01 Oktoba 2024.
***Bima Kwa majanga na kifo kwa wanachama vimezingatiwa.
Shida ni hiyo nidhamu ya kuweka kando 400k Kwa wiki au 2M Kwa mwezi.JE mtu akiamua kujiwekea mwenyewe kwenye bank akaunti atakuwa kapoteza kitu?
kwahiyo hela ngoja nijinyime kwa mwaka ntakuwa na mln19.2Karibuni katika mchezo wa kuchangiana pesa kila wiki 400,000, Kwa mwaka mzima (wiki 52). Kila mwanachama anayestahili kupokea kwa wiki husika anachagua gari isiyozidi TSH 20m toka yard ambazo tuna mkataba nazo Dar es Salaam. Ukichukua gari yenye thamani chini ya 20m TZS unachukua chenji yako cash iliyobaki.
NB: Kwa sasa tupo 14 Ila tunatazamia Kuwa 20 (mwisho). Kuwa mwanachama Lazima uwe na shughuli za kukuingizia kipato na mdhamini pia utalazimika kusaini mkataba chini ya Wakili msomi, mwanachama hai wa TLS, mwenye leseni ya uwakili https://ewakili.judiciary.go.tz) wa kikundi.
**Utaratibu huu unaanza tarehe 01 Oktoba 2024.
***Bima Kwa majanga na kifo kwa wanachama vimezingatiwa.
1,600,000x12=unapata 80m?kwahiyo hela ngoja nijinyime kwa mwaka ntakuwa na mln80