Kupitia kikundi, tunakabidhi gari kila wiki

Kupitia kikundi, tunakabidhi gari kila wiki

Laki nne kwa wiki; kwa mwaka itakuwa (400,000/= x 52 = 20,800,000/= kwahio mtu akiweka pesa hizo mwenyewe kwa mwaka ataweza kununua gari mtakayompa.....

Mpo 20 kwahio wiki ishirini baada ya kuanza kila mtu atakuwa kapata gari.., which means kikundi chenu kitakuwa na deficit ya kulipa hio yard...

Sasa maswali mtu akishapata gari na tuseme sio tapeli akalipa hio miezi 52 what happens wiki ya 53 atalipa ili anunue nini ?

Okay umesema gari thamani 20m vipi akinunua la 10m hio difference inakwenda wapi ?

Je mtu hatakuwa better off kusema hizo pesa aweke kwenye mpesa kila wiki ili baada ya mwaka azitoe na kununua hilo gari (nadhani atakuwa amepata na mpesa faida)
Mara nyingi pesa ni kuiweka mbali kabisa kiasi kwamba ukipata unforseen circumstances usiweze kuitoa ku clear hio issue.

Ukijiwekea mwenyewe inabidi uwe na nidhamu Kama ya MCHAGA ANAE SHINDA NA NJAA WAKATI ANAZO PESA MFUKONI😊

FINANCIAL EDUCATION wengi wetu hatunaa icho kitu kabisa tunaishi bila goals iwe Long term goals or short term goals.
 
Tunakwenda kubadilisha maisha ya wanachama kupitia kununua magari ya biashara zikiwemo Uber, pick up n.k
 
Karibuni katika mchezo wa kuchangiana pesa kila wiki 400,000, Kwa mwaka mzima (wiki 52). Kila mwanachama anayestahili kupokea kwa wiki husika anachagua gari isiyozidi TSH 20m toka yard ambazo tuna mkataba nazo Dar es Salaam. Ukichukua gari yenye thamani chini ya 20m TZS unachukua chenji yako cash iliyobaki.

NB: Kwa sasa tupo 14 Ila tunatazamia Kuwa 20 (mwisho). Kuwa mwanachama Lazima uwe na shughuli za kukuingizia kipato na mdhamini pia utalazimika kusaini mkataba chini ya Wakili msomi, mwanachama hai wa TLS, mwenye leseni ya uwakili https://ewakili.judiciary.go.tz) wa kikundi.

**Utaratibu huu unaanza tarehe 01 Oktoba 2024.
***Bima Kwa majanga na kifo kwa wanachama vimezingatiwa.
Mna card za CCM ?
 
JE mtu akiamua kujiwekea mwenyewe kwenye bank akaunti atakuwa kapoteza kitu?
Shida ni hiyo nidhamu ya kuweka kando 400k Kwa wiki au 2M Kwa mwezi.

Ukiweza ni bora ufanye hivyo mwenyewe. Vinginevyo pesa iwe inazalishwa iongezeke, kama ni kuikusanya tu na kugawana, bora ufanye mwenyewe. Zingatia kama unanidhamu ya kufanya hivyo.
 
Karibuni katika mchezo wa kuchangiana pesa kila wiki 400,000, Kwa mwaka mzima (wiki 52). Kila mwanachama anayestahili kupokea kwa wiki husika anachagua gari isiyozidi TSH 20m toka yard ambazo tuna mkataba nazo Dar es Salaam. Ukichukua gari yenye thamani chini ya 20m TZS unachukua chenji yako cash iliyobaki.

NB: Kwa sasa tupo 14 Ila tunatazamia Kuwa 20 (mwisho). Kuwa mwanachama Lazima uwe na shughuli za kukuingizia kipato na mdhamini pia utalazimika kusaini mkataba chini ya Wakili msomi, mwanachama hai wa TLS, mwenye leseni ya uwakili https://ewakili.judiciary.go.tz) wa kikundi.

**Utaratibu huu unaanza tarehe 01 Oktoba 2024.
***Bima Kwa majanga na kifo kwa wanachama vimezingatiwa.
kwahiyo hela ngoja nijinyime kwa mwaka ntakuwa na mln19.2
 
Back
Top Bottom