Kupitia mimi nimejifunza kitu kikubwa sana kuhusu hili jambo. Usioe mwanamke mwenye mtoto

Kupitia mimi nimejifunza kitu kikubwa sana kuhusu hili jambo. Usioe mwanamke mwenye mtoto

Sura zao sasa😂😂😂

Nina maswali Hali yao ya kiuchumi?
Elimu?

usije kua umeza na Malaya unaanza kuji proud kama mwenzio anae andika kuhusu tunda kimasihara
 
Kuoa mwanamke mwenye mtoto ni sawa na kukumbatia mtungi mbovu wa gesi huku jiko linawaka.
 
Mm naona mleta mada kaongea ukweli 100%
😂😂😂hiyo 0.1% tunamuachia shetani maana ndo huwa anasingiziwa kusababisha.
Kuna singo maza nilizama nae kwenye dimbwi mahaba, siku akanambia baba wa mtoto kasema kwenye safari yetu tushuke hapo anapoishi anataka kuongea na mtoto pia ampe na Ada aisee bhana weee kufika mida ya saa mbili usiki hapatikani namba zake zootee😪😪😂🤣😁
Kesho saa tano yuko kwenye basi tayari ananiambia kwamba simu iliisha charge🙄🤔
 
  • Kicheko
Reactions: G4N
Kaka pole sana, hao wanawake ukidhani unawajua ndo unakuja kujua kwamba huwajui kabisa. Usije kusema hatukukwambia.
Hakuna Jambo lolote unaweza nifunza Kwa wanawake.. Kwa kifupi Hakuna ambapo sijapita, nachoweza kusema wapo wanaozingua lakini Kwa asilomia Kubwa wanawake wanaoelewa wanataka nini Ni Hao singo mazas[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwanza kabisa namshukuru mh rais wetu. Anaupiga mwingi kinyama.

Katika pita pita maishani nimezalisha wanake wa 4. Katika hao watatu hawa kila muda nikijisikia kutaka kulamba naomba napangiwa siku naenda nalamba. Na wote hao wameshaolewa tena.

Wawili katika hao watatu wakinipangia ratiba wanawanyima waume zao kwa siku kadhaa wanasema wanaivundika iwe tayari kuliwa nami. Mmoja yeye anasema huwa hapendi shahawa zetu zikutane ndani so ataniletea nile. Kisha atakaa naye siku kadhaa akikwepa kuliwa na mumewe.

Mmoja hajaolewa huyu ana mchumba. Ila nikitaka kulamba muda wowote ule napewa najilia nitakavyo. Na ananiambia hapo inabidi amkwepe mchumba wake hata siku mbili tatu ili mashine isionekane imetumika. Ukishampa mimba mwanamke ni ngumu sana kukunyima moja kwa moja.

Natoa shukrani kwa mheshimiwa rais, bila yeye haya yote tusingeweza.
Kama ulizalisha mitakataka kaa na mitakataka yako! Wake wenye heshima zao hawawezi kukubali ujinga huo!
 
Dah kuna rafiki yangu kaoa mwanamke ana watoto 3.kila mtoto na baba yake,Kwa Hali hiii namhurumia sana ukizingatia yeye Hana mtoto

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Na ndio anaweza kuishi na wakadumu mpaka ukashangaa.. .. !

Nimeona mifano.. masingle mather wanao jielewa.. ..utapetiwa kama mfalme maana anajua akipoteza itakuwa jaw!
 
Kwanza kabisa namshukuru mh rais wetu. Anaupiga mwingi kinyama.

Katika pita pita maishani nimezalisha wanake wa 4. Katika hao watatu hawa kila muda nikijisikia kutaka kulamba naomba napangiwa siku naenda nalamba. Na wote hao wameshaolewa tena.

Wawili katika hao watatu wakinipangia ratiba wanawanyima waume zao kwa siku kadhaa wanasema wanaivundika iwe tayari kuliwa nami. Mmoja yeye anasema huwa hapendi shahawa zetu zikutane ndani so ataniletea nile. Kisha atakaa naye siku kadhaa akikwepa kuliwa na mumewe.

Mmoja hajaolewa huyu ana mchumba. Ila nikitaka kulamba muda wowote ule napewa najilia nitakavyo. Na ananiambia hapo inabidi amkwepe mchumba wake hata siku mbili tatu ili mashine isionekane imetumika. Ukishampa mimba mwanamke ni ngumu sana kukunyima moja kwa moja.

Natoa shukrani kwa mheshimiwa rais, bila yeye haya yote tusingeweza.
Ety ehh
 
Watu weengi sana humu hata mama zao wa kuwazaa ni wasimbe tena watoto kuanzia 7 na baba zao sita....ila utakuta eti anadiss single maza me I never do that japo sio single maza na wala sjalelewa na single maza
Humu uhalisia ni mdogo sana.
 
Kwanza kabisa namshukuru mh rais wetu. Anaupiga mwingi kinyama.

Katika pita pita maishani nimezalisha wanake wa 4. Katika hao watatu hawa kila muda nikijisikia kutaka kulamba naomba napangiwa siku naenda nalamba. Na wote hao wameshaolewa tena.

Wawili katika hao watatu wakinipangia ratiba wanawanyima waume zao kwa siku kadhaa wanasema wanaivundika iwe tayari kuliwa nami. Mmoja yeye anasema huwa hapendi shahawa zetu zikutane ndani so ataniletea nile. Kisha atakaa naye siku kadhaa akikwepa kuliwa na mumewe.

Mmoja hajaolewa huyu ana mchumba. Ila nikitaka kulamba muda wowote ule napewa najilia nitakavyo. Na ananiambia hapo inabidi amkwepe mchumba wake hata siku mbili tatu ili mashine isionekane imetumika. Ukishampa mimba mwanamke ni ngumu sana kukunyima moja kwa moja.

Natoa shukrani kwa mheshimiwa rais, bila yeye haya yote tusingeweza.
Hii ni kauli ya mama mzazi kwetu vijana wake aneshatuhubiria zaidi ya mara2 " Wanangu mwanaume ndie mwenye mamlaka juu ya familia yake jitahidi ujiepushe kuoa mwanamke mwenye mtoto ikitokea bas msifunge ndoa muishi tu sabb mpo wawili tayari"
Hayo ni maneno ya mama wa kisukuma.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]hiyo 0.1% tunamuachia shetani maana ndo huwa anasingiziwa kusababisha.
Kuna singo maza nilizama nae kwenye dimbwi mahaba, siku akanambia baba wa mtoto kasema kwenye safari yetu tushuke hapo anapoishi anataka kuongea na mtoto pia ampe na Ada aisee bhana weee kufika mida ya saa mbili usiki hapatikani namba zake zootee[emoji25][emoji25][emoji23][emoji1787][emoji16]
Kesho saa tano yuko kwenye basi tayari ananiambia kwamba simu iliisha charge[emoji849][emoji848]
Kwenye bas anakuja kwako au anaenda kwake au wazaz wake huyu ni noma
 
makafiri watu wa hovyo sana,umezaa na wanawake wanne kisha wote unawachezea,hapo hapo UKISKIA MUISLAM KAOA WANA WAKE WANNE MNAWATUKANA
 
Back
Top Bottom