Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu aunda Tume ya watu maalumu 21 - Nov 22, 2024

Very painful mwenyezi Mungu amakua mwema kwenu.

Maanake hatujui hata nukta mbele yetu

Tumtangulize MUNGU kwa kila jambo
 
Hapo polisi wanahusika vip unajua kazi ya polisi na je unajua kazi ya jeshi la zima moto au jeshi la uwokoaji? Umekalili vibaya
 
Jambo hili nilieleza Sana wakati ule ilipotokea ajali ya ndege kule Bukoba na wakati ule ilipotokea ajali ya kuporomoka Mlima kule Hanang mkoani Manyara. Lakini inavyoonekana watawala wa nchi bado hawajifunzi kitu kutokana na ajali hizo. Tumekuwa kama 'sikio la kufa' ambalo halisikii dawa.
 
Polisi ndio kazi yao, Uokoaji ni zimamoto
 
yaani nimekuta nawaza sana kama mimi leo asubuhi nilirushwa na umeme wakati nadeki nyumba nzima ilipiga short kila kitu kimezima. sikulichukulia maanani sana ila sasa baada ya kupata taarifa ya kuporomoka nimejikuta nawaza sana. kama hao waliokutwa na umauti wameondoka na kuaga familia zao. wengine ndo walikuwa tegemezi ee Mwenyezi Mungu watie nguvu familia zao na uponye wale waliokutwa na majanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…