babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Ndio maana Chalamila amehimiza utulivu na uokoaji kwa kutumia wataalamu...sisi wengine tunajipeleka kutafuta clips kwa ajili ya likes za InstagramKongole mkuu. Umetoa jawabu la Kitaalam sana. Wachache watakuelewa inaweza kuwa ni tukio "Chambo"
Ni mapema mno kuhukumu au kuhitimisha ni matumizi ya vifaa feki. Umejuaje? au ww ni mmojawapo wa wale wajenzi ila leo hukuingia mazigoni ikawa bahati yako?Nondo fake zimeanza kuonyesha matokeo ujenzi na vifaa vyake haviitaji mchezo
Mbona greda tu imechukua muda kufika.Je kwenye eneo active la ajali ni sahihi kuacha watu waendelee kuzagaa? Hata tamko la kufunga mtaa nila kusubiri.kitaalamu hii ni sahihi kabisa katika response ya Majanga...huwezi kimbiza rasilimali zote at per kwenye eneo active la ajali ...unajuaje ajali nyingine inaweza kuendelea??Umejiridhisha vipi kama sio tukio "chambo" ili muingie kichwa kichwa ??
Tupunguze lawama pasipohitaji lawama.
Unaikumbuka Septemba 11 ??Jengo la kwanza limepigwa wote wakakimbilia pale halafu likapigwa na jengo la pili ...sasa baada ya hapo wahanga na waokoaji wote wakawa wahanga.
Unasuburi masaa 5 watu wana suffocate kwenye vifusi, huu utaalam au uzembe🚮kitaalamu hii ni sahihi kabisa katika response ya Majanga...huwezi kimbiza rasilimali zote at per kwenye eneo active la ajali ...unajuaje ajali nyingine inaweza kuendelea??Umejiridhisha vipi kama sio tukio "chambo" ili muingie kichwa kichwa ??
Tupunguze lawama pasipohitaji lawama.
Unaikumbuka Septemba 11 ??Jengo la kwanza limepigwa wote wakakimbilia pale halafu likapigwa na jengo la pili ...sasa baada ya hapo wahanga na waokoaji wote wakawa wahanga.
Nanukuu:Ndio maana Chalamila amehimiza utulivu na uokoaji kwa kutumia wataalamu...sisi wengine tunajipeleka kutafuta clips kwa ajili ya likes za Instagram
Lilikuwa likitumiwaLilikuwa linaendelea na ujenzi au lilishaisha?
Kwani kila mwarabu ni muislamu? Kuna waarabu makafiri wakubwa kuliko wewe, wanawachukia waislam zaidi yakoKila sehemu unajitahidi kuchomeka itikadi zako mbovu za kidini zisizokuwa na kichwa wala miguu,ukiambiwa mmiliki wa jengo ni mwarabu utakuja hapa umeinamisha kichwa kwa aibu.
Na najua hadi sasa hapo ulipo unafanya juhudi za kumjua mmiliki kama ni muislam au mkristo ili uanze kuandika mada za mashambulizi.
Kuchelewa kutoa "Tamko la kufunga mtaa" kunaweza kweli ikawa ni Uzembe lakini pia Tamko lazima lipate idhini na Uwezeshaji. Mtaa haufungwi kama tunavyofunga gheto,nyumba, Bar au Kilabu ya taptap. Inatakiwa Polisi/walinzi wawepo hapo Kuhakikisha Utekelezaji sawasawa. Vinginevyo utakuwa umeukabidhi mtaa kwa vibaka.Mbona greda tu imechukua muda kufika.Je kwenye eneo active la ajali ni sahihi kuacha watu waendelee kuzagaa? Hata tamko la kufunga mtaa nila kusubiri.
Mkuu kwema!Watu wa zimamoto wanavhijua ni kupita kila fuka kuchukua pesa ya fire extinguishers
Well said. Chalamila na Mliro walikuwepo na tosha kutoa tamko.Kuchelewa kutoa "Tamko la kufunga mtaa" kunaweza kweli ikawa ni Uzembe lakini pia Tamko lazima lipate idhini na Uwezeshaji. Mtaa haufungwi kama tunavyofunga gheto,nyumba, Bar au Kilabu ya taptap. Inatakiwa Polisi/walinzi wawepo hapo Kuhakikisha Utekelezaji sawasawa. Vinginevyo utakuwa umeukabidhi mtaa kwa vibaka.
Greda kuchukua muda kufika ni sahihi kabisa kwani huwezi kujua kama bado jengo linaendelea kuporomoka. Greda likiwepo hapo watu fyatu au hata walio timamu wanaweza kushinikiza greda lianze kazi halafu Mjengo ukashuka juu yake na wote greda +waathirika wakawa ni wahanga.
Tusubiri Wataalam waseme. Au wewe ni mtaalam? Mtu anasuffocate vipi kwenye kifusi?? Kwenye maji ni sawa mtu atasuffocate lakini sio kwenye kifusi.Unasuburi masaa 5 watu wana suffocate kwenye vifusi, huu utaalam au uzembe🚮