Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu aunda Tume ya watu maalumu 21 - Nov 22, 2024

R.I.P lady 🤭
 
Pole yake na Kwa wafiwa.Wakati wengine wanapmboleza Kuna wengine huko Mexico 👇👇

View: https://x.com/bbcswahili/status/1860707495569723759?t=HTllo7_6LliU8CxDUVIwZQ&s=19
My Take
Kifo kinakumbusha kwamba hupaswi kufurahia mapovu yeyote Kwa binadamu kuanzia ushabiki wa vita Hadi upuuzi wa Kisiasa.
 
Serikali isiyojali uhai ws wstu wske haijali kujiandaa na msaada wa majanga na maafa
 
Serikali umeonesha uzembe mkubwa sana.yaani uokoaji unachukua zaidi ya siku kumi.je ingekuwa sunamii si tungeuawa wakazi wote wa dar na kusiokolewa hata mmoja.jengo la ghorofa nne lilifaa uokoaji ufanyoke siku Moja tu.
 
Reactions: I M
Hivi hawa wenzetu huwa walijua kama watakufa?
Walijua hawataiona December?
Walijua hawatafika 2025?
Walijua pesa zao zote ghafla wataziacha?
Hawakujua.
 
Siku ya TISA, jengo la floor nne!!
 
Hao walipuuzia (negligence) kwa sababu binafsi za kiuchumi hawawezi kuwa na amani. Hukumu huanzia hapahapa duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…