Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu aunda Tume ya watu maalumu 21 - Nov 22, 2024

Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu aunda Tume ya watu maalumu 21 - Nov 22, 2024

Nyie
Kihistoria (Uislamu)

1. Mimar Sinan (1490–1588)

Mhandisi na msanifu maarufu wa Dola ya Ottoman.

Alijenga majengo makubwa, kama Msikiti wa Suleymaniye na Msikiti wa Selimiye nchini Uturuki.



2. Ahmad Lahori

Msanifu mkuu wa Taj Mahal, India.

Alifanya kazi chini ya mfalme Shah Jahan wa Dola ya Mughal.



3. Zaha Hadid (1950–2016)

Msanifu wa Kiislamu wa Iraq na Uingereza maarufu kwa majengo ya kisasa.

Mifano: Guangzhou Opera House (China), Sheikh Zayed Bridge (Abu Dhabi).





---

Wa Kati ya Kisasa na Sasa

1. Adrian Smith

Msanifu mkuu wa Burj Khalifa, Dubai (jengo refu zaidi duniani).

Pia alihusika na ujenzi wa Jeddah Tower (Saudi Arabia, jengo linalotarajiwa kuwa refu zaidi duniani).



2. Fazlur Rahman Khan (1929–1982)

Mhandisi wa Kiislamu mwenye asili ya Bangladesh.

Aliunda teknolojia ya muundo wa "tube" iliyotumika kwenye Willis Tower na John Hancock Center (Marekani).



3. Norman Foster

Msanifu mkuu wa The Gherkin (London) na Apple Park (California).



4. Santiago Calatrava

Anajulikana kwa majengo makubwa yenye miundo ya ubunifu, kama The Oculus (New York).





---
Nyie ndo mnafanya waislam waonekane hamnazo! Hoja inahusu kitu kingine we na bibi Faiza mnaleta mambo ya Uislam. Kwani thread ya kujadili wahandisi wa kiislam hii?
 
Kama ni mzigo lazima fundi sana sana mtaalam, ahusike. Uimara na ukubwa wa vifaa lazima uzingatie idadi ya watumiaji. Mfano. huwezi kujenga chumba cha kuhudumia watu 50 ukajengea nondo mm ndogo kuokoa gharama za ujenzi. Au ratio ya mfuko mmoja mchanga 4 wewe unaweka 7 kuokoa gharama pia,, hapo unajenga kaburi sio jengo.
HAPANA kumbe ndio maana hata magereza kuna watu wengi wamefungwa bila hatia maana assume wewe ndio hakimu sasa si unaemda kumfynga fundi wawatu bila deep reasoning!

Nikujibu kwa mfano: umenunua gari toyota hilux imeandikwa max Wight 3 Tons wewe umeipakia mzigo 4Tons , sasa spring zimekatika ,je? utawalaumu toyota kwa kuuzia gari mbovu?

Ujenzi hasa wa maghorofa huwa unazingatia pia kiwango cha mwisho cha uzani hasa kwa floor za juu, sasa mtumiaji asipo zingatia( na huwa haizingatiwi) yakatokea madhara ndipo shida huanzia

Uangalie ubora kama ulizingatiwa na kama ulizingatiwa basi swala lianze kwanini mzigo ulizidishwa juu
 

Attachments

  • Screenshot_20241116_151546.jpg
    Screenshot_20241116_151546.jpg
    230.4 KB · Views: 1
Tusubiri Wataalam waseme. Au wewe ni mtaalam? Mtu anasuffocate vipi kwenye kifusi?? Kwenye maji ni sawa mtu atasuffocate lakini sio kwenye kifusi.
Hujawahi kusikia watu wameokolewa wazima kutoka kwenye vifusi huko migodini au wanakochimba mchanga??
Hii ni comment kutoka Nchi ya waliojichokea. Eti kifusi hakifanyi suffocation !!!! Kweli hii bongo.
 
Hii ni comment kutoka Nchi ya waliojichokea. Eti kifusi hakifanyi suffocation !!!! Kweli hii bongo.
Jiongeze mkuu. Mtu akikosa hewa baada ya dakika 3-5 hufa. Je; Tngu kuporomoka kwa jengo na watu kufikwa kwenye kifusi haujapita huo muda??
Kama muda huo umepita ina maana hakuna tena matumaini. Kwa taarifa yako wapo watu waliookolewa baada ya siku 2 huko Mererani, North Mara nk. Hata kule Gaza wapo watu wanaokolewa baada ya muda huo kupita.
 
Hii inaitwa bahati na sibu. Najua unachosema. Tena kuna watu waliokolewa siku zaidi ya hizo, bado hiyo ni kubahatisha. Unatakiwa utuambie kama ukifunikwa na kifusi unakosa hewa au kifusi kinapitisha hewa. Je chini ya kaburi kuna hewa.
 
Back
Top Bottom