Kuporomoka kwa ghorofa na kusababisha Vifo na majeruhi kwawaumiza na kuwabubujisha Machozi ya huzuni wana CCM Mitaani

Kuporomoka kwa ghorofa na kusababisha Vifo na majeruhi kwawaumiza na kuwabubujisha Machozi ya huzuni wana CCM Mitaani

Ndugu zangu Watanzania,

Nimekutana na kufanya mazungumzo na wana CCM wenzangu mitaani .ambapo wana CCM mbalimbali kutoka maeneo mbalimbali wameumizwa na kuumia sana mioyo yao kutokana na kuporomoka kwa Ghorofa kulikopelekea baadhi ya watu kupoteza Maisha na wengine kujeruhiwa vibaya.

Tukio hilo limegusa hisia na kuwapa simanzi kubwa sana wana CCM.ambapo nimeshuhudia wengine wakishindwa hata kuficha hisia zao za uchungu na kuishia kububujikwa na machozi ya huzuni na maumivu walipokuwa wanafuatilia shughuli nzima za uokoaji.zilizokuwa zikifanywa na watu mbalimbali kama ilivyo kawaida ya watanzania kushikamana na kushirikiana yanapotokea matukio ya namna hiyo yenye kugusa Maisha ya watu.

Wana CCM hao wamewaomba Watanzania na wadau mbalimbali kuendelea kushirikiana na kuungana kwa pamoja wakati huu kuwasaidia wenzetu waliopata na mkasa huu.lakini pia kuwaombea wale waliopata na majeraha kupona kwa haraka. Wana CCM hao wamewaomba Watanzania kuwa huu ni wakati wa kuungana na kushirikiana kwa pamoja na siyo kulaumiana au kunyoosheana vidole vya lawama.

Lakini pia wana CCM hao niliozungumza nao wametoa rai kwa mamlaka zinazohusika, kufanya ukaguzi wa kina kwa majengo yote marefu yaliyopo mijini na yale yanayoendelea kujengwa ,ili kujiridhisha ubora wake na usalama wake kwa watu mbalimbali wanaozunguka maeneo hayo. Lakini pia wametoa rai na kuomba kuwa ukaguzi ufanyike katika kila hatua za ujenzi wa jengo lolote lile kubwa linaloanza kujengwa..

Wameendelea kusema ya kuwa wale wanaotaka kubomoa na kujenga upya ,basi tahadhari kubwa ichukuliwe ya kuhakikisha kuwa madhara hayatokei kwa watu. Hii ni pamoja na kufanya tathmini juu ya nyenzo za kuzuia ajali au kuporomoka kwa ghafla kwa jengo,kuweka kingo zitakazozuia kutokea kwa madhara kwa watu wanaoishi au kufanyia shughuli zao karibu na jengo husika linalohitajika kubomolewa kwa ajili ya ujenzi mpya au ukarabati Mkubwa.
Kwani kuna chama kimefurahia tukio hili. Acha kuleta ujinga wako hapa. Walioathirika siyo wana CCM tu. Wewe inawezekana ungekuwa eneo la tukio ungewahoji majeruhi kuhusu uanachama wao. Katika tukio kama hili wenzetu wenye akili zao huachana na ushabiki wa vyama vyao. Wewe jamaa unasaka cheo kwa nguvu sana lah!!!! Njaa mbaya sana.
 
Kwani kuna chama kimefurahia tukio hili. Acha kuleta ujinga wako hapa. Walioathirika siyo wana CCM tu. Wewe inawezekana ungekuwa eneo la tukio ungewahoji majeruhi kuhusu uanachama wao. Katika tukio kama hili wenzetu wenye akili zao huachana na ushabiki wa vyama vyao. Wewe jamaa unasaka cheo kwa nguvu sana lah!!!! Njaa mbaya sana.
Soma vizuri andiko langu ndugu yangu mtanzania.ndio Maana nimesema kiwa huu ni wakati wa kuungana, kushikamana, kushikamana na kusimama pamoja kama Taifa.siyo muda wa kunyoosheana vidole vya lawama na shutuma.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nimekutana na kufanya mazungumzo na wana CCM wenzangu mitaani .ambapo wana CCM mbalimbali kutoka maeneo mbalimbali wameumizwa na kuumia sana mioyo yao kutokana na kuporomoka kwa Ghorofa kulikopelekea baadhi ya watu kupoteza Maisha na wengine kujeruhiwa vibaya.

Tukio hilo limegusa hisia na kuwapa simanzi kubwa sana wana CCM.ambapo nimeshuhudia wengine wakishindwa hata kuficha hisia zao za uchungu na kuishia kububujikwa na machozi ya huzuni na maumivu walipokuwa wanafuatilia shughuli nzima za uokoaji.zilizokuwa zikifanywa na watu mbalimbali kama ilivyo kawaida ya watanzania kushikamana na kushirikiana yanapotokea matukio ya namna hiyo yenye kugusa Maisha ya watu.

Wana CCM hao wamewaomba Watanzania na wadau mbalimbali kuendelea kushirikiana na kuungana kwa pamoja wakati huu kuwasaidia wenzetu waliopata na mkasa huu.lakini pia kuwaombea wale waliopata na majeraha kupona kwa haraka. Wana CCM hao wamewaomba Watanzania kuwa huu ni wakati wa kuungana na kushirikiana kwa pamoja na siyo kulaumiana au kunyoosheana vidole vya lawama.

Lakini pia wana CCM hao niliozungumza nao wametoa rai kwa mamlaka zinazohusika, kufanya ukaguzi wa kina kwa majengo yote marefu yaliyopo mijini na yale yanayoendelea kujengwa ,ili kujiridhisha ubora wake na usalama wake kwa watu mbalimbali wanaozunguka maeneo hayo. Lakini pia wametoa rai na kuomba kuwa ukaguzi ufanyike katika kila hatua za ujenzi wa jengo lolote lile kubwa linaloanza kujengwa..

Wameendelea kusema ya kuwa wale wanaotaka kubomoa na kujenga upya ,basi tahadhari kubwa ichukuliwe ya kuhakikisha kuwa madhara hayatokei kwa watu. Hii ni pamoja na kufanya tathmini juu ya nyenzo za kuzuia ajali au kuporomoka kwa ghafla kwa jengo,kuweka kingo zitakazozuia kutokea kwa madhara kwa watu wanaoishi au kufanyia shughuli zao karibu na jengo husika linalohitajika kubomolewa kwa ajili ya ujenzi mpya au ukarabati Mkubwa.
Uchawa na changamoto ya akili vinaenda sawia, poleni ndugu zetu wa chama tawala!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nimekutana na kufanya mazungumzo na wana CCM wenzangu mitaani .ambapo wana CCM mbalimbali kutoka maeneo mbalimbali wameumizwa na kuumia sana mioyo yao kutokana na kuporomoka kwa Ghorofa kulikopelekea baadhi ya watu kupoteza Maisha na wengine kujeruhiwa vibaya.

Tukio hilo limegusa hisia na kuwapa simanzi kubwa sana wana CCM.ambapo nimeshuhudia wengine wakishindwa hata kuficha hisia zao za uchungu na kuishia kububujikwa na machozi ya huzuni na maumivu walipokuwa wanafuatilia shughuli nzima za uokoaji.zilizokuwa zikifanywa na watu mbalimbali kama ilivyo kawaida ya watanzania kushikamana na kushirikiana yanapotokea matukio ya namna hiyo yenye kugusa Maisha ya watu.

Wana CCM hao wamewaomba Watanzania na wadau mbalimbali kuendelea kushirikiana na kuungana kwa pamoja wakati huu kuwasaidia wenzetu waliopata na mkasa huu.lakini pia kuwaombea wale waliopata na majeraha kupona kwa haraka. Wana CCM hao wamewaomba Watanzania kuwa huu ni wakati wa kuungana na kushirikiana kwa pamoja na siyo kulaumiana au kunyoosheana vidole vya lawama.

Lakini pia wana CCM hao niliozungumza nao wametoa rai kwa mamlaka zinazohusika, kufanya ukaguzi wa kina kwa majengo yote marefu yaliyopo mijini na yale yanayoendelea kujengwa ,ili kujiridhisha ubora wake na usalama wake kwa watu mbalimbali wanaozunguka maeneo hayo. Lakini pia wametoa rai na kuomba kuwa ukaguzi ufanyike katika kila hatua za ujenzi wa jengo lolote lile kubwa linaloanza kujengwa..

Wameendelea kusema ya kuwa wale wanaotaka kubomoa na kujenga upya ,basi tahadhari kubwa ichukuliwe ya kuhakikisha kuwa madhara hayatokei kwa watu. Hii ni pamoja na kufanya tathmini juu ya nyenzo za kuzuia ajali au kuporomoka kwa ghafla kwa jengo,kuweka kingo zitakazozuia kutokea kwa madhara kwa watu wanaoishi au kufanyia shughuli zao karibu na jengo husika linalohitajika kubomolewa kwa ajili ya ujenzi mpya au ukarabati Mkubwa.
Qummnina
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nimekutana na kufanya mazungumzo na wana CCM wenzangu mitaani .ambapo wana CCM mbalimbali kutoka maeneo mbalimbali wameumizwa na kuumia sana mioyo yao kutokana na kuporomoka kwa Ghorofa kulikopelekea baadhi ya watu kupoteza Maisha na wengine kujeruhiwa vibaya.

Tukio hilo limegusa hisia na kuwapa simanzi kubwa sana wana CCM.ambapo nimeshuhudia wengine wakishindwa hata kuficha hisia zao za uchungu na kuishia kububujikwa na machozi ya huzuni na maumivu walipokuwa wanafuatilia shughuli nzima za uokoaji.zilizokuwa zikifanywa na watu mbalimbali kama ilivyo kawaida ya watanzania kushikamana na kushirikiana yanapotokea matukio ya namna hiyo yenye kugusa Maisha ya watu.

Wana CCM hao wamewaomba Watanzania na wadau mbalimbali kuendelea kushirikiana na kuungana kwa pamoja wakati huu kuwasaidia wenzetu waliopata na mkasa huu.lakini pia kuwaombea wale waliopata na majeraha kupona kwa haraka. Wana CCM hao wamewaomba Watanzania kuwa huu ni wakati wa kuungana na kushirikiana kwa pamoja na siyo kulaumiana au kunyoosheana vidole vya lawama.

Lakini pia wana CCM hao niliozungumza nao wametoa rai kwa mamlaka zinazohusika, kufanya ukaguzi wa kina kwa majengo yote marefu yaliyopo mijini na yale yanayoendelea kujengwa ,ili kujiridhisha ubora wake na usalama wake kwa watu mbalimbali wanaozunguka maeneo hayo. Lakini pia wametoa rai na kuomba kuwa ukaguzi ufanyike katika kila hatua za ujenzi wa jengo lolote lile kubwa linaloanza kujengwa..

Wameendelea kusema ya kuwa wale wanaotaka kubomoa na kujenga upya ,basi tahadhari kubwa ichukuliwe ya kuhakikisha kuwa madhara hayatokei kwa watu. Hii ni pamoja na kufanya tathmini juu ya nyenzo za kuzuia ajali au kuporomoka kwa ghafla kwa jengo,kuweka kingo zitakazozuia kutokea kwa madhara kwa watu wanaoishi au kufanyia shughuli zao karibu na jengo husika linalohitajika kubomolewa kwa ajili ya ujenzi mpya au ukarabati Mkubwa.
Acha siasa za majitaka.... kwenye hii ishu tuna deal na roho za WATU.

Sio ishu za sijui KUBUBUJIKWA kwa Sasa tungejikita na uokozi.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nimekutana na kufanya mazungumzo na wana CCM wenzangu mitaani .ambapo wana CCM mbalimbali kutoka maeneo mbalimbali wameumizwa na kuumia sana mioyo yao kutokana na kuporomoka kwa Ghorofa kulikopelekea baadhi ya watu kupoteza Maisha na wengine kujeruhiwa vibaya.

Tukio hilo limegusa hisia na kuwapa simanzi kubwa sana wana CCM.ambapo nimeshuhudia wengine wakishindwa hata kuficha hisia zao za uchungu na kuishia kububujikwa na machozi ya huzuni na maumivu walipokuwa wanafuatilia shughuli nzima za uokoaji.zilizokuwa zikifanywa na watu mbalimbali kama ilivyo kawaida ya watanzania kushikamana na kushirikiana yanapotokea matukio ya namna hiyo yenye kugusa Maisha ya watu.

Wana CCM hao wamewaomba Watanzania na wadau mbalimbali kuendelea kushirikiana na kuungana kwa pamoja wakati huu kuwasaidia wenzetu waliopata na mkasa huu.lakini pia kuwaombea wale waliopata na majeraha kupona kwa haraka. Wana CCM hao wamewaomba Watanzania kuwa huu ni wakati wa kuungana na kushirikiana kwa pamoja na siyo kulaumiana au kunyoosheana vidole vya lawama.

Lakini pia wana CCM hao niliozungumza nao wametoa rai kwa mamlaka zinazohusika, kufanya ukaguzi wa kina kwa majengo yote marefu yaliyopo mijini na yale yanayoendelea kujengwa ,ili kujiridhisha ubora wake na usalama wake kwa watu mbalimbali wanaozunguka maeneo hayo. Lakini pia wametoa rai na kuomba kuwa ukaguzi ufanyike katika kila hatua za ujenzi wa jengo lolote lile kubwa linaloanza kujengwa..

Wameendelea kusema ya kuwa wale wanaotaka kubomoa na kujenga upya ,basi tahadhari kubwa ichukuliwe ya kuhakikisha kuwa madhara hayatokei kwa watu. Hii ni pamoja na kufanya tathmini juu ya nyenzo za kuzuia ajali au kuporomoka kwa ghafla kwa jengo,kuweka kingo zitakazozuia kutokea kwa madhara kwa watu wanaoishi au kufanyia shughuli zao karibu na jengo husika linalohitajika kubomolewa kwa ajili ya ujenzi mpya au ukarabati Mkubwa.
Wewe ni jinsia gani mkuu?
 
Soma vizuri andiko langu ndugu yangu mtanzania.ndio Maana nimesema kiwa huu ni wakati wa kuungana, kushikamana, kushikamana na kusimama pamoja kama Taifa.siyo muda wa kunyoosheana vidole vya lawama na shutuma.
Bila shaka wewe una tatizo la akili. Huwezi kuleta taswira ya U- CCM hapa. Ungekuwa na mke angekushauri. Kutwaa kucha unaipamba CCM. Kwahiyo wewe ulikuwa ukiwaendea wana CCM wanaobubujikwa machozi. You are so stupid. Hata nguvu ya kuwajibu wanaokandia thread yako unaipata wapi ningekuwa mimi ningefanya jambo moja katika haya mawili.
1. Ningeomba radhi kwa uandishi uchwara kama huu.
2. Ninge kaa kimya nikijisomea ushauri ninaopata toka kwa wachangiaji.
Njaa yako ya cheo imeharibu ubongo wako.
 
Soma vizuri andiko langu ndugu yangu mtanzania.ndio Maana nimesema kiwa huu ni wakati wa kuungana, kushikamana, kushikamana na kusimama pamoja kama Taifa.siyo muda wa kunyoosheana vidole vya lawama na shutuma.
Hakuna cha kuungana wala kushikana mkono sijui kufutana
Machozi hapo....
Dhibitini ujenzi huko unaofanywa bila kufata utaratibu na viwango
Bila hivyo tutazidi kububujikwaaa
Na Machozi na tutakuwa tunazikaa sana tu

Ova
 
Huyo brain yake inatakiwa ifanyiwe overhaul ikiwezekana hata utumbo wake
Hii ni beyond repair kama ni gari inakuwa ni write off inabidi iletwe nyingine kama una insurance kubwa
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nimekutana na kufanya mazungumzo na wana CCM wenzangu mitaani .ambapo wana CCM mbalimbali kutoka maeneo mbalimbali wameumizwa na kuumia sana mioyo yao kutokana na kuporomoka kwa Ghorofa kulikopelekea baadhi ya watu kupoteza Maisha na wengine kujeruhiwa vibaya.

Tukio hilo limegusa hisia na kuwapa simanzi kubwa sana wana CCM.ambapo nimeshuhudia wengine wakishindwa hata kuficha hisia zao za uchungu na kuishia kububujikwa na machozi ya huzuni na maumivu walipokuwa wanafuatilia shughuli nzima za uokoaji.zilizokuwa zikifanywa na watu mbalimbali kama ilivyo kawaida ya watanzania kushikamana na kushirikiana yanapotokea matukio ya namna hiyo yenye kugusa Maisha ya watu.

Wana CCM hao wamewaomba Watanzania na wadau mbalimbali kuendelea kushirikiana na kuungana kwa pamoja wakati huu kuwasaidia wenzetu waliopata na mkasa huu.lakini pia kuwaombea wale waliopata na majeraha kupona kwa haraka. Wana CCM hao wamewaomba Watanzania kuwa huu ni wakati wa kuungana na kushirikiana kwa pamoja na siyo kulaumiana au kunyoosheana vidole vya lawama.

Lakini pia wana CCM hao niliozungumza nao wametoa rai kwa mamlaka zinazohusika, kufanya ukaguzi wa kina kwa majengo yote marefu yaliyopo mijini na yale yanayoendelea kujengwa ,ili kujiridhisha ubora wake na usalama wake kwa watu mbalimbali wanaozunguka maeneo hayo. Lakini pia wametoa rai na kuomba kuwa ukaguzi ufanyike katika kila hatua za ujenzi wa jengo lolote lile kubwa linaloanza kujengwa..

Wameendelea kusema ya kuwa wale wanaotaka kubomoa na kujenga upya ,basi tahadhari kubwa ichukuliwe ya kuhakikisha kuwa madhara hayatokei kwa watu. Hii ni pamoja na kufanya tathmini juu ya nyenzo za kuzuia ajali au kuporomoka kwa ghafla kwa jengo,kuweka kingo zitakazozuia kutokea kwa madhara kwa watu wanaoishi au kufanyia shughuli zao karibu na jengo husika linalohitajika kubomolewa kwa ajili ya ujenzi mpya au ukarabati Mkubwa.
Ona hili Jingaaaaaaaaa..........!!!!!!!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nimekutana na kufanya mazungumzo na wana CCM wenzangu mitaani .ambapo wana CCM mbalimbali kutoka maeneo mbalimbali wameumizwa na kuumia sana mioyo yao kutokana na kuporomoka kwa Ghorofa kulikopelekea baadhi ya watu kupoteza Maisha na wengine kujeruhiwa vibaya.

Tukio hilo limegusa hisia na kuwapa simanzi kubwa sana wana CCM.ambapo nimeshuhudia wengine wakishindwa hata kuficha hisia zao za uchungu na kuishia kububujikwa na machozi ya huzuni na maumivu walipokuwa wanafuatilia shughuli nzima za uokoaji.zilizokuwa zikifanywa na watu mbalimbali kama ilivyo kawaida ya watanzania kushikamana na kushirikiana yanapotokea matukio ya namna hiyo yenye kugusa Maisha ya watu.

Wana CCM hao wamewaomba Watanzania na wadau mbalimbali kuendelea kushirikiana na kuungana kwa pamoja wakati huu kuwasaidia wenzetu waliopata na mkasa huu.lakini pia kuwaombea wale waliopata na majeraha kupona kwa haraka. Wana CCM hao wamewaomba Watanzania kuwa huu ni wakati wa kuungana na kushirikiana kwa pamoja na siyo kulaumiana au kunyoosheana vidole vya lawama.

Lakini pia wana CCM hao niliozungumza nao wametoa rai kwa mamlaka zinazohusika, kufanya ukaguzi wa kina kwa majengo yote marefu yaliyopo mijini na yale yanayoendelea kujengwa ,ili kujiridhisha ubora wake na usalama wake kwa watu mbalimbali wanaozunguka maeneo hayo. Lakini pia wametoa rai na kuomba kuwa ukaguzi ufanyike katika kila hatua za ujenzi wa jengo lolote lile kubwa linaloanza kujengwa..

Wameendelea kusema ya kuwa wale wanaotaka kubomoa na kujenga upya ,basi tahadhari kubwa ichukuliwe ya kuhakikisha kuwa madhara hayatokei kwa watu. Hii ni pamoja na kufanya tathmini juu ya nyenzo za kuzuia ajali au kuporomoka kwa ghafla kwa jengo,kuweka kingo zitakazozuia kutokea kwa madhara kwa watu wanaoishi au kufanyia shughuli zao karibu na jengo husika linalohitajika kubomolewa kwa ajili ya ujenzi mpya au ukarabati Mkubwa.
Jamiiforums.com wamefuta uzi wangu wa mapema kabisa

Na ulikuwa unajibu haya matakataka yakoo

Narudia tena kama wamebubujikwa wayakinge wayanywe
 
Back
Top Bottom