Kuporomoka Kwa Maadili, Kushamiri Kwa Ushoga Na Ukahaba

Kuporomoka Kwa Maadili, Kushamiri Kwa Ushoga Na Ukahaba

mi naona sawa,ili mradi ajatukana mtu,hayo uitwa mazoea ujenga tabia hakuna shida
 
attachment.php
 
paty Je?! ... kuweka mikono mfukoni ... Ni mmonyoko wa maadili au nidhamu mbovu?

1.jpg
 
Je?! ... kuweka mikono mfukoni ... Ni mmonyoko wa maadili au nidhamu mbovu?

c4.jpg
 
nidhamu mbovu sana hii tena ya kujikuza vibaya

Ha! ha! ha! ... Mwalimu unaonekana unaichukia sana hii tabia! ...

gfsonwin sipati picha ukimsimamisha mwanafunzi darasani unamwambia ajibu swali fulani alafu awe anakujibu huku ameweka mikono mfukoni! ... lazma umfokee! ...

quote ... "Weweee! hebu toa mikono mifukoni! ... tabia gani hiyo! ... yaani unaongea na mwalimu wako huku umeweka mikono mifukoni! ... ole wako urudie tena!" ...

.... teh! teh teh!
 
Ha! ha! ha! ... Mwalimu unaonekana unaichukia sana hii tabia! ...

gfsonwin sipati picha ukimsimamisha mwanafunzi darasani unamwambia ajibu swali fulani alafu awe anakujibu huku ameweka mikono mfukoni! ... lazma umfokee! ...

quote ... "Weweee! hebu toa mikono mifukoni! ... tabia gani hiyo! ... yaani unaongea na mwalimu wako huku umeweka mikono mifukoni! ... ole wako urudie tena!" ...

.... teh! teh teh!

yaani umepatia sana na ndivyo nilivyo mimi hata mwanangu tu haongei na mimi mikono mfukoni. kuna tabia mbaya siziruhusu kutokea kama hizi;
- kuongea na mikono mfukoni lazima nikufokee tu tena na bakora upate kama utashindikana
- kukaa wakati mimi ninapita ama tu mzima yeyote jamani uuuuwiiiiiiiiiiii wanafunzi wangu wananiajua si vumilii hili. eti unakuta wanafunzi wamekaa kwenye majani labda wewe unapita na sketi yako mathalani unapandisha ngazi halafu wamekaa aisee kwanza wananijua ingawa ni wakaka hawawez n aukiwauliza wanasema
- nipite na kapu la mwl halafu nipishane na mwanafunzi asinipokee lol! hapaa aiseee!
-niingie darasani eti wasisimame kunisalimia duh!!!!!!!!!!!!! aisee haiwezekani
-tabia nyingine mbaya zaid nafundisha darasani mwanafunzi anakula ama anatafuna BIG G duh!!!!!!!!!

ila wananijuaga best hawafanyagi haya manake wanasemaga kabisa mwl mama akikukuta utakoma.
 
Picha hii iko gazeti la Mwananchi, leo tarehe 25.7.2012. Najiluliza ni mmonyoko wa maadili au nidhamu mbovu kuongea wakati ameweka mikono mifukoni. Jadili.
Huo ni mtazamo wako mkuu, heshima haioneshwi kwa kutoa mikono nje wala kupiga magoti, wala kutoa shikamoo nyingi kwa watu.

Tumeona wengi wakiigiza hayo unayotaka wewe kutokana na mifumo dume ya kiutawala wa kisultan/kikoloni wazee wetu waliyorithi. Hujawahi kuona watoto wadogo mitaani wakikupa shikamoo kinachofuata ni kuomba shilingi mia? Au hujawahi kuona majambazi wanaovaa suti, ni kwa kuwa wanajua wengi mnafikiri tabia njema ipo kwenye nguo siyo na siyo moyoni.

Badilika msimamo, dunia na wakati havigandi.
 
yaani umepatia sana na ndivyo nilivyo mimi hata mwanangu tu haongei na mimi mikono mfukoni. kuna tabia mbaya siziruhusu kutokea kama hizi;
- kuongea na mikono mfukoni lazima nikufokee tu tena na bakora upate kama utashindikana
- kukaa wakati mimi ninapita ama tu mzima yeyote jamani uuuuwiiiiiiiiiiii wanafunzi wangu wananiajua si vumilii hili. eti unakuta wanafunzi wamekaa kwenye majani labda wewe unapita na sketi yako mathalani unapandisha ngazi halafu wamekaa aisee kwanza wananijua ingawa ni wakaka hawawez n aukiwauliza wanasema
- nipite na kapu la mwl halafu nipishane na mwanafunzi asinipokee lol! hapaa aiseee!
-niingie darasani eti wasisimame kunisalimia duh!!!!!!!!!!!!! aisee haiwezekani
-tabia nyingine mbaya zaid nafundisha darasani mwanafunzi anakula ama anatafuna BIG G duh!!!!!!!!!

ila wananijuaga best hawafanyagi haya manake wanasemaga kabisa mwl mama akikukuta utakoma.

Dadaangu gfsonwin..una masharti sana!..ningekuwa mwanafunzi wako wallah ningeshahama shule!
 
Last edited by a moderator:
haina maana yoyote,haya mambo ya maadili yanapitwa na wakati sasa,kama anaweka mikono mfukoni alafu point za kutosha hapo mtase nini??nidhamu ya uoga ndio iliyotufikisha hapa tulipo'confidence ndio mpango mzima hakuna kumuogopa mtu wala nini,alafu kumbuka yupo kwenye kuunda katiba....unafikiri hayo mambo ya maadili atagusia???uhuru na kuheshimiana ndio kila kitu mambo ya maadili ya nini...werema bungeni mkono mfukoni muda wote,au mnataka mkubwa aheshimiwe mdogo adharauliwe??heshima kwa wote ndio kila kitu.dogo yupo sawa.
 
Picha hii iko gazeti la Mwananchi, leo tarehe 25.7.2012. Najiluliza ni mmonyoko wa maadili au nidhamu mbovu kuongea wakati ameweka mikono mifukoni. Jadili.

mkuu nidhamu mbovu ni sehemu ya mmomonyoko wa maadili
 
Back
Top Bottom