Kupotea kwa M/K Umoja wa vijana NCCR na ukimya wetu!

Kupotea kwa M/K Umoja wa vijana NCCR na ukimya wetu!

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
FnfcVcEWIAErcD8.jpg
Habar za Asubuh waungwana!
Jana nilikuwa Club House usiku mpaka saa 00:58 huko! Nilikutana na taarifa ya Mwenyekiti wa umoja wa vijana NCCR Mageuzi kupetea katika mazingira yakutatanisha huko kwake Buguruni tangia tarehe January 24, 2023 usiku.

Kijana huyu ni mmoja wa wafuasi wa karibu wa Mh James Mbatia ambapo wameenguliwa pamoja na James Mbatia katika nafasi zao kwa mabavu ya Serikali kwa kushirikiana na wanachama wasio waaminifu ndani ya NCCR Mageuzi.

Kilichonishangaza ni ukimya wetu sie wananchi, vyombo vya habari, Social Media! Hakuna kitu wote tumemute togauti kabisa na mambo yalivyokawa katika awamu 5 ya Jiwe mtu usipomuona tu inakuwa issue!

Je! Ni kweli kuna uhuru wa habari na kujieleza kama tunavyoaminishwa? Au kwakuwa kwasasa wanatendewa wasio na sauti na ndiyo maana tumekuwa kimya? Au kwasasa kwakuwa tumepewa nafasi yakukaa meza kuu?

Edward Simbeye Mkuu wa Idara ya mawasiliano NCCR jana alieleza kwa mapana kuwa wamewasiliana na vyombo vya habari karibu vyote kuwapa hiyo taarifa, wameongea na wavyama vingine kama Chadema etc lakini kwakweli kinachoendelea mpaka sasa watu wako kimya!

Watanzania hatujaguswa na suala hili? Kwanini limepigiwa kimya kama lilivyopigiwa kimya kung'olewa kwa Mwenyekiti wao? Yangekuwa mambo haya yanafanyika katika chama chochote kipindi cha jiwe mngekaa kimya kama sasa? Tuamini kweli kuwa nyinyi ni wapigania haki za watu au wapigania maslahi yenu?
 
View attachment 2498968Habar za Asubuh waungwana!
Jana nilikuwa Club House usiku mpaka saa 00:58 huko! Nilikutana na taarifa ya Mwenyekiti wa umoja wa vijana NCCR Mageuzi kupetea katika mazingira yakutatanisha huko kwake Buguruni tangia tarehe January 24, 2023 usiku.

Kijana huyu ni mmoja wa wafuasi wa karibu wa Mh James Mbatia ambapo wameenguliwa pamoja na James Mbatia katika nafasi zao kwa mabavu ya Serikali kwa kushirikiana na wanachama wasio waaminifu ndani ya NCCR Mageuzi.

Kilichonishangaza ni ukimya wetu sie wananchi, vyombo vya habari, Social Media! Hakuna kitu wote tumemute togauti kabisa na mambo yalivyokawa katika awamu 5 ya Jiwe mtu usipomuona tu inakuwa issue!

Je! Ni kweli kuna uhuru wa habari na kujieleza kama tunavyoaminishwa? Au kwakuwa kwasasa wanatendewa wasio na sauti na ndiyo maana tumekuwa kimya? Au kwasasa kwakuwa tumepewa nafasi yakukaa meza kuu?

Edward Simbeye Mkuu wa Idara ya mawasiliano NCCR jana alieleza kwa mapana kuwa wamewasiliana na vyombo vya habari karibu vyote kuwapa hiyo taarifa, wameongea na wavyama vingine kama Chadema etc lakini kwakweli kinachoendelea mpaka sasa watu wako kimya!

Watanzania hatujaguswa na suala hili? Kwanini limepigiwa kimya kama lilivyopigiwa kimya kung'olewa kwa Mwenyekiti wao? Yangekuwa mambo haya yanafanyika katika chama chochote kipindi cha jiwe mngekaa kimya kama sasa? Tuamini kweli kuwa nyinyi ni wapigania haki za watu au wapigania maslahi yenu?
Dah!...wameshatoa taarifa polisi ?
 
View attachment 2498968Habar za Asubuh waungwana!
Jana nilikuwa Club House usiku mpaka saa 00:58 huko! Nilikutana na taarifa ya Mwenyekiti wa umoja wa vijana NCCR Mageuzi kupetea katika mazingira yakutatanisha huko kwake Buguruni tangia tarehe January 24, 2023 usiku.

Kijana huyu ni mmoja wa wafuasi wa karibu wa Mh James Mbatia ambapo wameenguliwa pamoja na James Mbatia katika nafasi zao kwa mabavu ya Serikali kwa kushirikiana na wanachama wasio waaminifu ndani ya NCCR Mageuzi.

Kilichonishangaza ni ukimya wetu sie wananchi, vyombo vya habari, Social Media! Hakuna kitu wote tumemute togauti kabisa na mambo yalivyokawa katika awamu 5 ya Jiwe mtu usipomuona tu inakuwa issue!

Je! Ni kweli kuna uhuru wa habari na kujieleza kama tunavyoaminishwa? Au kwakuwa kwasasa wanatendewa wasio na sauti na ndiyo maana tumekuwa kimya? Au kwasasa kwakuwa tumepewa nafasi yakukaa meza kuu?

Edward Simbeye Mkuu wa Idara ya mawasiliano NCCR jana alieleza kwa mapana kuwa wamewasiliana na vyombo vya habari karibu vyote kuwapa hiyo taarifa, wameongea na wavyama vingine kama Chadema etc lakini kwakweli kinachoendelea mpaka sasa watu wako kimya!

Watanzania hatujaguswa na suala hili? Kwanini limepigiwa kimya kama lilivyopigiwa kimya kung'olewa kwa Mwenyekiti wao? Yangekuwa mambo haya yanafanyika katika chama chochote kipindi cha jiwe mngekaa kimya kama sasa? Tuamini kweli kuwa nyinyi ni wapigania haki za watu au wapigania maslahi yenu?

Huyu kipindi cha jiwe alikubali kutumika akawa anaongea uzalendo uchwara wa kuwasakama wapinzani wa kweli. Nenda polisi kashirikiane nao kumtafuta. Nyie tuambieni tu alipo Azory na Ben saa8.
 
View attachment 2498968Habar za Asubuh waungwana!
Jana nilikuwa Club House usiku mpaka saa 00:58 huko! Nilikutana na taarifa ya Mwenyekiti wa umoja wa vijana NCCR Mageuzi kupetea katika mazingira yakutatanisha huko kwake Buguruni tangia tarehe January 24, 2023 usiku.

Kijana huyu ni mmoja wa wafuasi wa karibu wa Mh James Mbatia ambapo wameenguliwa pamoja na James Mbatia katika nafasi zao kwa mabavu ya Serikali kwa kushirikiana na wanachama wasio waaminifu ndani ya NCCR Mageuzi.

Kilichonishangaza ni ukimya wetu sie wananchi, vyombo vya habari, Social Media! Hakuna kitu wote tumemute togauti kabisa na mambo yalivyokawa katika awamu 5 ya Jiwe mtu usipomuona tu inakuwa issue!

Je! Ni kweli kuna uhuru wa habari na kujieleza kama tunavyoaminishwa? Au kwakuwa kwasasa wanatendewa wasio na sauti na ndiyo maana tumekuwa kimya? Au kwasasa kwakuwa tumepewa nafasi yakukaa meza kuu?

Edward Simbeye Mkuu wa Idara ya mawasiliano NCCR jana alieleza kwa mapana kuwa wamewasiliana na vyombo vya habari karibu vyote kuwapa hiyo taarifa, wameongea na wavyama vingine kama Chadema etc lakini kwakweli kinachoendelea mpaka sasa watu wako kimya!

Watanzania hatujaguswa na suala hili? Kwanini limepigiwa kimya kama lilivyopigiwa kimya kung'olewa kwa Mwenyekiti wao? Yangekuwa mambo haya yanafanyika katika chama chochote kipindi cha jiwe mngekaa kimya kama sasa? Tuamini kweli kuwa nyinyi ni wapigania haki za watu au wapigania maslahi yenu?
Nilidhani haya mambo yameisha.
 
Huyu kipindi cha jiwe alikubali kutumika akawa anaongea uzalendo uchwara wa kuwasakama wapinzani wa kweli. Nenda polisi kashirikiane nao kumtafuta. Nyie tuambieni tu alipo Azory na Ben saa8.
Kipindi cha jiwe wapi bwana! Mbona kwenye kesi ya Mbowe alikuwa upande wenu, akasimamisha mpaka mwanasheria akalipwa na NCCR huyo wakili ili aje kumtetea Mbowe kwenye kesi yake ya Ugaidi? Kwani nyinyi mbona mnamtetea Samia sasahiv? Yakiwakuta madhira huko mbele watu wasiwasemee?
 
Sisi chadema tunashindwa kuingilia ugomvi wa ndugu kwa kuwa hatujui lini mtapatana tena.Nakumbuka Magufuli aliwaita wenyeviti wote wa Vyama vya upinzani Ikulu isipokuwa Chadema haikupewa mwaliko na baada ya mkutano na Magufuli James Mbatia alionekana akifanya mikutano na ziara mikoani na akipokelewa na wakuu wa mikoa wa CCM.

Tuna Mambo mengi ya msingi yanayo ligusa taifa, KATIBA,mfumuko wa bei, hali mgumu za maisha ya watu nk.haya yote yanatuhusu sisi kuyafanyia kazi. Wakati Chadema tunapambna na nduli watu wetu kiuawa na kupotezwa ninyi mlikuwa mkigonga mvinyo na kufurahia na kufanya sherehe na adui yetu. Leo mnahitaji tupaze sauti kwa pamoja kweli?
 
Sisi chadema tunashindwa kuingilia ugomvi wa ndugu kwa kuwa hatujui lini mtapatana tena.Nakumbuka Magufuli aliwaita wenyeviti wote wa Vyama vya upinzani Ikulu isipokuwa Chadema haikupewa mwaliko na baada ya mkutano na Magufuli James Mbatia alionekana akifanya mikutano na ziara mikoani na akipokelewa na wakuu wa mikoa wa CCM.

Tuna Mambo mengi ya msingi yanayo ligusa taifa, KATIBA,mfumuko wa bei, hali mgumu za maisha ya watu nk.haya yote yanatuhusu sisi kuyafanyia kazi. Wakati Chadema tunapambna na nduli watu wetu kiuawa na kupotezwa ninyi mlikuwa mkigonga mvinyo na kufurahia na kufanya sherehe na adui yetu. Leo mnahitaji tupaze sauti kwa pamoja kweli?
Hali ngumu ya maisha imetokana na nini
 
Aisee watu wa Magufuli mpiganieni huyu kijana ni shujaa wenu, Chadema wanapigania wao na nyie piganieni wa kwenu

Screenshot_20230129-111259.png
 
Back
Top Bottom