Kupotea Kwa mtandao wa fedha BOT,Je ni panyaroad wa IT kazini!!?

Kupotea Kwa mtandao wa fedha BOT,Je ni panyaroad wa IT kazini!!?

RESILIENT KATO

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2024
Posts
1,472
Reaction score
2,766
Mambo vipi walipa kodi!!?

Hivi majuzi nilikua na process kamkopo Fulani hivi kwenye Moja ya taasisi za kibenki hapa nchini,Hadi sasa hakuna nilichoambulia japo process zote zimekamilika!

Nilipomuuliza mdau mmoja wa taasisi hiyo akaniambia hujui mtandao wa fedha haupo nchini!!?na wameagizwa wataalamu Toka bondeni kuja ku deal na tatizo hilo Hadi Sasa huduma za kipesa kwenye mabenki unazingua kinoma noma!

Akaongeza eti server ya mtandao wetu wa kifedha upo bondeni huko ndio maana wataalamu wanatokea huko!

Sasa nikajiuliza Hadi huo mtandao urudi so tayari tutakua tumepigwa parefu na wahuni!!?

Halafu server kuwa south Africa ni kiusalama zaidi au ni uzembe wetu!!?maana tukiwa wazembe sitoshangaa!!

Wataaalamu wa fedha njooni mtueleze ni nini hasa kinaendelea hapa nchini kwenye maswala ya fedha!!?
 
Wadau na wataalamu wa maswala ya IT hasa Benki kuu hebu mtuambie kulikoni!
 
Mleta mada toa ufafanuzi tutakuwa tumepigwa kwa style gani. Yaani tumeibiwaje yaani. Vinginevyo ungeleta tu taarifa lkn assumptions za kijinga kama hizi zinaonesha hujui kitu, au umetumwa kuleta taharuki.
 
Mleta mada toa ufafanuzi tutakuwa tumepigwa kwa style gani. Yaani tumeibiwaje yaani. Vinginevyo ungeleta tu taarifa lkn assumptions za kijinga kama hizi zinaonesha hujui kitu, au umetumwa kuleta taharuki.
Anataka kuleta taharuki
 
Hao hawataki kukukopesha ila wanakuonea aibu tu, jaribu kufanya marejesho on time wakati mwingine!!
 
Mleta mada toa ufafanuzi tutakuwa tumepigwa kwa style gani. Yaani tumeibiwaje yaani. Vinginevyo ungeleta tu taarifa lkn assumptions za kijinga kama hizi zinaonesha hujui kitu, au umetumwa kuleta taharuki.
Umezaliwa jana!!?haukumbuki miaka ya nyuma benki kuu iliwahi kuungua moto na upotevu wa pesa ukatokea!!?

Sasa hili la sasa kwanini tusiwe na walakini!!?
 
Hao hawataki kukukopesha ila wanakuonea aibu tu, jaribu kufanya marejesho on time wakati mwingine!!
Unafikiri mi Ni wa kikoba!!?think deep mkuu!!

Utasikia tu!!Yale Yale ya nipashe halafu Madeluu akakanusha!
 
Back
Top Bottom