Kupotea taratibu kwa alama ya Kanisa Katoliki katika kupinga dhuluma

Kupotea taratibu kwa alama ya Kanisa Katoliki katika kupinga dhuluma

Pengo aliharibu sn RC
Pengo hayupo madarakani, na hata alipokuwapo alikuwa ni Askofu Mkuu wa Jimbo la dar es Salaam. Sasa aliliharibu vipi wakati hajawahi hata kuwa Rais wa TEC? Wakati mwingine watu hamjui muundo wa Kanisa, mmekariri tu yule mnayemtaka kumshambulia
 
Sasa kama anayetawaliwa kwa dhulma anaona sawa,kanisa lifanyeje sasa ndugu yangu? Wanaopaswa kusimama kwa dhati haswa ni wananchi
Inahitaji akili kubwa sana kukuelewa.
 
Nashukuru. Kuna mengine yanapita bila ya kuyafuatilia. Na hasa kutokana na uminywaji wa vyombo vya habari.

Pale ambapo sipo sahihi, nisamehewe maana sikuwa na dhamira mbaya. Haya niliyoyandika, yanasemwa na wengi au baadhi ya waumini. Yawezekana ni kutokana na njia za upashanaji habari ziliminywa sana wakati wa awamu ya 5.

Kanisa liangalie namna ya kuhakikisha ujumbe wake unawafikia waumini wake kama vile, waraka ukitolewa, basi iwe lazima kuusoma ujumbe huo kwenye makanisa yote na jumuia ndogondogo, na baada ya kuusoma, kuwe na ufafanuzi ili ujumbe uwafikie waumini kwa usahihi.
Kwa ufupi umekosea sana kuanzisha uzi kwa mfumo wa taarifa wakati haukufanya juhudi za kutafuta nyaraka za kanisa za hivi karibuni. Matokeo yake ni kwamba umegundua hilo lakini umeshawalisha watu hayo mawazo na hawataki kusoma link za nyaraka, wanataka waendeleze ulichoanzisha. Ni vyema tukaanzisha uzi kwa mfumo wa kuuliza, kama hatuna uhakika, kuliko kutumia mfumo wa taarifa

Kuhusu kufikisha ujumbe kwa waumini, Katiba ya Halmashauri ya Walei ni moja ya katiba nzuri kabisa. imefafanua jinsi mtiririko wa maagizo ya Hierakia kwenda kwa Walei ulivyo, na wajibu wa kila kiongozi katika viongozi watano, na inataja majukumu yao. Kuhusu kufikisha ujumbe unaohusu mambo ya kijamii/malimwengu, hii hapa chini ni sehemu ya katiba inapoitaja Kamati ya Haki na Amani:

1630575432618.png
 
Pengo hayupo madarakani, na hata alipokuwapo alikuwa ni Askofu Mkuu wa Jimbo la dar es Salaam. Sasa aliliharibu vipi wakati hajawahi hata kuwa Rais wa TEC? Wakati mwingine watu hamjui muundo wa Kanisa, mmekariri tu yule mnayemtaka kumshambulia
Yeye ndiyo alikuwa kiongozi Tz
 
Pengo hayupo madarakani, na hata alipokuwapo alikuwa ni Askofu Mkuu wa Jimbo la dar es Salaam. Sasa aliliharibu vipi wakati hajawahi hata kuwa Rais wa TEC? Wakati mwingine watu hamjui muundo wa Kanisa, mmekariri tu yule mnayemtaka kumshambulia
Yeye ndiyo alikuwa kiongozi Tz
 
Yeye ndiyo alikuwa kiongozi Tz
Sasa ndio unadhihirisha wazi kwamba wewe sio Mkatoliki, na kama ni Mkatoliki basi ni wale wasioshirikiana pamoja na wenzao jumuiyani, wanaosubiri Jumapili moja moja waende kanisani tena wakijisikia, wanaolalamika mitandaoni huku kumbe hawajui muundo wa Kanisa lao, wala hawajui majina ya viongozi wa kanisa lao, wala hawajui vyeo vyao, wala hawajui mipaka ya vyeo vya viongozi wao, isitoshe hawajui hata mipaka ya kimamlaka ya Familia, Jumuiya, Parokia, Jimbo na Taifa! Kazi yao ni kulalamika tu na kuwapakazia wenzao!
 
Sasa ndio unadhihirisha wazi kwamba wewe sio Mkatoliki, na kama ni Mkatoliki basi ni wale wasioshirikiana pamoja na wenzao jumuiyani, wanaosubiri Jumapili moja moja waende kanisani tena wakijisikia, wanaolalamika mitandaoni huku kumbe hawajui muundo wa Kanisa lao, wala hawajui majina ya viongozi wa kanisa lao, wala hawajui vyeo vyao, wala hawajui mipaka ya vyeo vya viongozi wao, isitoshe hawajui hata mipaka ya kimamlaka ya Familia, Jumuiya, Parokia, Jimbo na Taifa! Kazi yao ni kulalamika tu na kuwapakazia wenzao!
Mkuu pole kama una undugu na Pengo lakini ukweli lazima usemwe
 
Mkuu pole kama una undugu na Pengo lakini ukweli lazima usemwe
Labda nikuulize, Pengo ni nani kabla na baada ya kustaafu? nakuuliza kwa nia ya kukusaidia muundo ulivyo
 
Kwa ufupi umekosea sana kuanzisha uzi kwa mfumo wa taarifa wakati haukufanya juhudi za kutafuta nyaraka za kanisa za hivi karibuni. Matokeo yake ni kwamba umegundua hilo lakini umeshawalisha watu hayo mawazo na hawataki kusoma link za nyaraka, wanataka waendeleze ulichoanzisha. Ni vyema tukaanzisha uzi kwa mfumo wa kuuliza, kama hatuna uhakika, kuliko kutumia mfumo wa taarifa

Kuhusu kufikisha ujumbe kwa waumini, Katiba ya Halmashauri ya Walei ni moja ya katiba nzuri kabisa. imefafanua jinsi mtiririko wa maagizo ya Hierakia kwenda kwa Walei ulivyo, na wajibu wa kila kiongozi katika viongozi watano, na inataja majukumu yao. Kuhusu kufikisha ujumbe unaohusu mambo ya kijamii/malimwengu, hii hapa chini ni sehemu ya katiba inapoitaja Kamati ya Haki na Amani:

View attachment 1920917
Siamini kama nimekosea sana kama unavyodai.

Kuunena ukweli, kukemea maovu, kulinda haki, kupeleka ujumbe wa haki na amani, ni jukumu la kanisa la wakati wote katika jamii yenye dhuluma, tena inatakiwa kusemwa bila kukoma maana ni sehemu ya ibada.

Kutoa tu waraka, mara moja kwa mwaka au mara moja kwa miaka 5, tena bila ya kuwa na mkakati wenye kuleta matokea, ni mapungufu.

Unaamini kuwa waraka mmoja katikati ya dhuluma nyingi, tena waraka ambao hauna mkakati wa kuwafikia waumini wote, unatosha kutimiza wajibu wa kanisa katika kupeleka ujumbe wa kuiishi haki kwenye jamii yenye madhulumu mengi?

Katiba, miongozi na taratibu zinaweza kuwepo, lakini jambo la muhimu zaidi, ni kujiuliza kama hayo yote yanatimiza kilichokusudiwa? Ujumbe wa kupinga dhuluma ni lazima uwafikie wanaodhulumiwa, wanaodhulumu na wanaoshuhudia dhuluma hata kama wao hawadhulumiwi au hawadhulumu.
 
Siamini kama nimekosea sana kama unavyodai.

Kuunena ukweli, kukemea maovu, kulinda haki, kupeleka ujumbe wa haki na amani, ni jukumu la kanisa la wakati wote katika jamii yenye dhuluma, tena inatakiwa kusemwa bila kukoma maana ni sehemu ya ibada.

Kutoa tu waraka, mara moja kwa mwaka au mara moja kwa miaka 5, tena bila ya kuwa na mkakati wenye kuleta matokea, ni mapungufu.

Unaamini kuwa waraka mmoja katikati ya dhuluma nyingi, tena waraka ambao hauna mkakati wa kuwafikia waumini wote, unatosha kutimiza wajibu wa kanisa katika kupeleka ujumbe wa kuiishi haki kwenye jamii yenye madhulumu mengi?

Katiba, miongozi na taratibu zinaweza kuwepo, lakini jambo la muhimu zaidi, ni kujiuliza kama hayo yote yanatimiza kilichokusudiwa? Ujumbe wa kupinga dhuluma ni lazima uwafikie wanaodhulumiwa, wanaodhulumu na wanaoshuhudia dhuluma hata kama wao hawadhulumiwi au hawadhulumu.
AMINA KUBWA mkuu
 
Hii nchi ngumu sana kaka 🤣 🤣 🤣 .Mwaka jana RC lilisimama kidete dhidi ya serikali kwenye masuala ya CORONA,angalia jinsi wananchi walivyoliponda na kulishambulia kwa kuliita kanisa la shetani lisilokuiwa na imani-Hii inchi imejaa majimaji warriors wengi mnooo,kuwabadilisha ni kazi ngumu sana
99.99999999999999999999999999999999999999999999999999999999999% ni zero kichwani
 
Tangu kale, tangu enzi za manabii, Kanisa Katoliki lilisimama katika ukweli, lilifundisha, lilikemea na kuwaonya watawala dhidi ya dhuluma. Mifano ipo mingi.

Muelekeo huo wa Kanisa uliwaongezea imani kubwa waumini, wasio waumini na hata watawala waliheshimu sana kauli za Kanisa kwa sababu waliamini kuwa wakati wote Kanisa lilisimama katika haki na ukweli ambao msingi wake mkubwa ni Kristo mwenyewe. Kristo, hata alipokuwa pekee yake dhidi ya maelfu ya wayahudi, aliendelea kusimama katika ukweli. Kuna maneno mawili ambayo yametokea mara nyingi katika biblia kuliko mengine yote. La kwanza ni upendo (mara 320) na la pili ni ukweli (mara 222).

Kanisa Katoliki katika mataifa mengi liliweza kuwasemea wanaodhulumiwa, na hata hapa kwetu, wakati TEC ilipokuwa ikiongozwa na baadhi ya viongozi (Rais wa TEC), kanisa lilikuwa na msimamo na kauli zilizo thabiti kwa watawala dhidi ya dhuluma.

Kanisa Katoliki lilianza kuwa kimya kabisa, na kwa namna fulani kuonekana kubariki matendo ya dhuluma kama vile kupotezwa watu, kutekwa, kuuawa, kubambikiwa watu kesi tangu TEC iliporidhia kumchagua kiongozi wake mwenye mahusiano ya karibu na watawala, eti kwaajili ya kupunguza tension kati ya Serikali na Kanisa. Kanisa limeondoka kutoka kwenye jukumu lake la msingi la kuwa sauti ya wasio na sauti wanapoonewa, mpaka kuwa mwandani wa Serikali hata pale serikali inapofanya dhuluma. Hali hii inaendelea kudhoofisha sana imani yetu kwa kanisa la Kristo na viongozi waliostahili kuyaishi maandiko.

Kuhusu haki za wananchi, Kanisa la Ulimwengu linasema yafuatayo:

The dignity of human life

Christians believe that all human life is sacred, unique and God-given. They also believe that all humans are made in the image of God.

Then God said, “Let us make mankind in our image, in our likeness, so that they may rule over the fish in the sea and the birds in the sky, over the livestock and all the wild animals, and over all the creatures that move along the ground.Genesis 1:26-27

Christians believe this to mean that many of the characteristics of God are reflected in humans. As a result, Christians believe that all human life should be treated with respect and dignity.

The belief that all humans are special can be seen in a document known as The Universal Declaration of Human Rights, which sets out all the different rights that every human should be entitled to.

As a result of the belief that all human life is special and God-given, Christians will try to do all they can to promote human rights. Human rights refer to the basic freedoms and rights of every human being in the world. Christians do this in many different ways including supporting charities such as Amnesty International who campaign for human rights.

Kanisa Katoliki la Tanzania, kwa kutokemea matendo yasiyo ya haki, limeendelea kuwa sehemu ya familia ya wakatoliki Duniani au limejitenga na jamii nyingine za wakatoliki?
Kisa ana
Kanisa halifanyi kazi utakavyo wewe
Ila linataka sadaka nichumayo Mimi.
 
Kuunena ukweli, kukemea maovu, kulinda haki, kupeleka ujumbe wa haki na amani, ni jukumu la kanisa la wakati wote katika jamii yenye dhuluma, tena inatakiwa kusemwa bila kukoma maana ni sehemu ya ibada.

Kutoa tu waraka, mara moja kwa mwaka au mara moja kwa miaka 5, tena bila ya kuwa na mkakati wenye kuleta matokea, ni mapungufu.
Kanisa Katoliki lina taratibu zake. Nyaraka huwa zinatolewa kwa kalenda au kwa tukio mahususi. Waraka wa Kwaresma hutolewa kila mwaka na hubeba ujumbe wa Kanisa ulimwenguni na kuhusisha na matukio ya Kanisa mahalia. Lakini pia kuna wakati hutolewa waraka kwa jambo mahususi bila kujali kalenda, kama vile maelekezo kuhusu tahadhari dhidi ya Covd19 ambapo nyaraka kadhaa zilishatolewa

Kwa hiyo si sahihi kusema waraka unatolewa mara moja kwa miaka 5, maana kwaresma ipo kila mwaka na ujumbe wake kwa mfumo wa waraka hutolewa pia kila mwaka. Watu ni wavivu kufuatilia na kusoma

Lakini pia si busara kutoa nyaraka za jambo hilo hilo kila mara, sasa RC itakuwa kama Gwajima anayeongelea chanjo kila mara katika mahubiri, maana hiyo sasa itatafsiriwa na kupokelewa kwa mtazamo tofauti
 
Kuonya kivipi maana sio sisiemu pekee ndio wachafu?

Nafikiri Ukiyasikiliza vizuri mahubiri ni maonyo tosha sasa zaidi ya hapo itakuwa kiongozi wa dini umeingia kwenye siasa moja kwa moja ....
Ila kusifia watawala siyo kuingia kwenye siasa?
 
Back
Top Bottom