Kupotea taratibu kwa alama ya Kanisa Katoliki katika kupinga dhuluma

Kupotea taratibu kwa alama ya Kanisa Katoliki katika kupinga dhuluma

Alikuwa mkuu wa jimbo kuu la Dar hivyo alikuwa na platform nzuri ya kukemea uchafu wote wa CCM

Mbona pale uliandika Tanzania? Nadhani sasa umeanza kujifunza taratibu, si vibaya! Mwenye platform nzuri kabisa ya kuzungumzia masuala ya kitaifa ni Rais wa TEC wa wakati huo, na Pengo alikuwa chini ya huyo Rais

Yeye ndiyo alikuwa kiongozi Tz
 
Kanisa kama taasisi yoyote ni watu, (viongozi na washirika/waumini).
Kuna nyakati taasisi hizi hujaa waoga au waovu kwa kutenda yasiopaswa au kutotenda yanayopaswa kwa wakati huo.
Kumekuwepo tatizo kwenye jamii na taifa nyakati hizi (serikali, kanisa, chama, vyombo vya dola n.k) vinaweza kutoa na kuyatetea maamuzi ya kipuuzi na yasiyoeleweka kwa akili ya kawaida tu.
 
Mbona pale uliandika Tanzania? Nadhani sasa umeanza kujifunza taratibu, si vibaya! Mwenye platform nzuri kabisa ya kuzungumzia masuala ya kitaifa ni Rais wa TEC wa wakati huo, na Pengo alikuwa chini ya huyo Rais
Hata Padre anaweza kukemea uchafu
 
Mie ilipoteza imani na uongozi wa kaisa hili tangu pale aliyekuwa Askofu Mkuu, Cardinary Pengo alipotofautiana na TEC katika msimamo wa chombo hiki kuhusu suala la moani ya katiba mpya, TEC walikuwa sahihi sana kutaka maoi ya wananchi yaheshimiwe lakini Pengo akajiingiza upande wa ccm waliokuwa wanasupport uchakachuaji wa ile Rasimu ya Warioba!
Nilijiuliza maswali mengi hivi Pengo au Wakristu walikuwa na maslahi gani na uchakachuaji wa ile Rasimu?? Lakini nilishindwa kupata majibu!......Nafikiri sasa ni wakati kwa Kanisa Katoliki kubadili Muundo na mfumo wa upatikanaji wa viongozi wake waandamizi, kama vipi na wao pia wawe wanafanyiwa uchaguzi ili mtu akitenda kinyume na misingi ya kitume anaondolewa!
 
Anaweza kabisa, lakini katika maeneo yake ya Utawala, mfano Parokia. Hawezi akatoa tamko la kukemea lenye sura ya Kitaifa
Unaangaika bure kuwaelekeza Watu wanye chuki binafsi na kanisa katoriki na hata Kama ukiwawekea ushahidi bado watapinga.
 
Walishakabidhi mamlaka kwa dola la kirumi na papa kubaki kuwa kiongozi wa kidini......sina uhakika kama wanataka kunyemelea tena mamlaka kamili ya dola na kanisa.
 
Soma huu ujumbe wa Kwaresma 2018, tena katikati ya utawala wa hayati JPM, halafu urudi tena kusema kama hayo uliyoandika ni halisi ama la. Kama utaweza, soma document yote, kama unaona ni ndefu, basi walau soma Sura ya Tatu

wanajitahidi
 
Nashukuru. Kuna mengine yanapita bila ya kuyafuatilia. Na hasa kutokana na uminywaji wa vyombo vya habari.

Pale ambapo sipo sahihi, nisamehewe maana sikuwa na dhamira mbaya. Haya niliyoyandika, yanasemwa na wengi au baadhi ya waumini. Yawezekana ni kutokana na njia za upashanaji habari ziliminywa sana wakati wa awamu ya 5.

Kanisa liangalie namna ya kuhakikisha ujumbe wake unawafikia waumini wake kama vile, waraka ukitolewa, basi iwe lazima kuusoma ujumbe huo kwenye makanisa yote na jumuia ndogondogo, na baada ya kuusoma, kuwe na ufafanuzi ili ujumbe uwafikie waumini kwa usahihi.
Kama muanzisha uzi umekiri hivi, basi wengine wanapiga kelele tu.
 
Tangu kale, tangu enzi za manabii, Kanisa Katoliki lilisimama katika ukweli, lilifundisha, lilikemea na kuwaonya watawala dhidi ya dhuluma. Mifano ipo mingi.

Muelekeo huo wa Kanisa uliwaongezea imani kubwa waumini, wasio waumini na hata watawala waliheshimu sana kauli za Kanisa kwa sababu waliamini kuwa wakati wote Kanisa lilisimama katika haki na ukweli ambao msingi wake mkubwa ni Kristo mwenyewe. Kristo, hata alipokuwa pekee yake dhidi ya maelfu ya wayahudi, aliendelea kusimama katika ukweli. Kuna maneno mawili ambayo yametokea mara nyingi katika biblia kuliko mengine yote. La kwanza ni upendo (mara 320) na la pili ni ukweli (mara 222).

Kanisa Katoliki katika mataifa mengi liliweza kuwasemea wanaodhulumiwa, na hata hapa kwetu, wakati TEC ilipokuwa ikiongozwa na baadhi ya viongozi (Rais wa TEC), kanisa lilikuwa na msimamo na kauli zilizo thabiti kwa watawala dhidi ya dhuluma.

Kanisa Katoliki lilianza kuwa kimya kabisa, na kwa namna fulani kuonekana kubariki matendo ya dhuluma kama vile kupotezwa watu, kutekwa, kuuawa, kubambikiwa watu kesi tangu TEC iliporidhia kumchagua kiongozi wake mwenye mahusiano ya karibu na watawala, eti kwaajili ya kupunguza tension kati ya Serikali na Kanisa. Kanisa limeondoka kutoka kwenye jukumu lake la msingi la kuwa sauti ya wasio na sauti wanapoonewa, mpaka kuwa mwandani wa Serikali hata pale serikali inapofanya dhuluma. Hali hii inaendelea kudhoofisha sana imani yetu kwa kanisa la Kristo na viongozi waliostahili kuyaishi maandiko.

Kuhusu haki za wananchi, Kanisa la Ulimwengu linasema yafuatayo:

The dignity of human life

Christians believe that all human life is sacred, unique and God-given. They also believe that all humans are made in the image of God.

Then God said, “Let us make mankind in our image, in our likeness, so that they may rule over the fish in the sea and the birds in the sky, over the livestock and all the wild animals, and over all the creatures that move along the ground.Genesis 1:26-27

Christians believe this to mean that many of the characteristics of God are reflected in humans. As a result, Christians believe that all human life should be treated with respect and dignity.

The belief that all humans are special can be seen in a document known as The Universal Declaration of Human Rights, which sets out all the different rights that every human should be entitled to.

As a result of the belief that all human life is special and God-given, Christians will try to do all they can to promote human rights. Human rights refer to the basic freedoms and rights of every human being in the world. Christians do this in many different ways including supporting charities such as Amnesty International who campaign for human rights.

Kanisa Katoliki la Tanzania, kwa kutokemea matendo yasiyo ya haki, limeendelea kuwa sehemu ya familia ya wakatoliki Duniani au limejitenga na jamii nyingine za wakatoliki?
tangu TEC iliporidhia kumchagua kiongozi wake mwenye mahusiano ya karibu na watawala, eti kwaajili ya kupunguza tension kati ya Serikali na Kanisa.
[emoji3516][emoji3516][emoji3516][emoji3516]
Naomba kumjua huyo kiongozi vinginevyo hizi ni pumba
 
Bora ya KKKT na siyo RC, RC imekuwa tawi kuu la CCM
Fuatilia kwa karibu matukio yote enzi za mwendazake kama kumekua na muwakilishi toka kanisa katoliki.

Makanisa yooote yalikua yanashiriki na mdhalimu mwendazake kwenye matukio ya kitaifa eccept RC
 
Tangu kale, tangu enzi za manabii, Kanisa Katoliki lilisimama katika ukweli, lilifundisha, lilikemea na kuwaonya watawala dhidi ya dhuluma. Mifano ipo mingi.

Muelekeo huo wa Kanisa uliwaongezea imani kubwa waumini, wasio waumini na hata watawala waliheshimu sana kauli za Kanisa kwa sababu waliamini kuwa wakati wote Kanisa lilisimama katika haki na ukweli ambao msingi wake mkubwa ni Kristo mwenyewe. Kristo, hata alipokuwa pekee yake dhidi ya maelfu ya wayahudi, aliendelea kusimama katika ukweli. Kuna maneno mawili ambayo yametokea mara nyingi katika biblia kuliko mengine yote. La kwanza ni upendo (mara 320) na la pili ni ukweli (mara 222).

Kanisa Katoliki katika mataifa mengi liliweza kuwasemea wanaodhulumiwa, na hata hapa kwetu, wakati TEC ilipokuwa ikiongozwa na baadhi ya viongozi (Rais wa TEC), kanisa lilikuwa na msimamo na kauli zilizo thabiti kwa watawala dhidi ya dhuluma.

Kanisa Katoliki lilianza kuwa kimya kabisa, na kwa namna fulani kuonekana kubariki matendo ya dhuluma kama vile kupotezwa watu, kutekwa, kuuawa, kubambikiwa watu kesi tangu TEC iliporidhia kumchagua kiongozi wake mwenye mahusiano ya karibu na watawala, eti kwaajili ya kupunguza tension kati ya Serikali na Kanisa. Kanisa limeondoka kutoka kwenye jukumu lake la msingi la kuwa sauti ya wasio na sauti wanapoonewa, mpaka kuwa mwandani wa Serikali hata pale serikali inapofanya dhuluma. Hali hii inaendelea kudhoofisha sana imani yetu kwa kanisa la Kristo na viongozi waliostahili kuyaishi maandiko.

Kuhusu haki za wananchi, Kanisa la Ulimwengu linasema yafuatayo:

The dignity of human life

Christians believe that all human life is sacred, unique and God-given. They also believe that all humans are made in the image of God.

Then God said, “Let us make mankind in our image, in our likeness, so that they may rule over the fish in the sea and the birds in the sky, over the livestock and all the wild animals, and over all the creatures that move along the ground.Genesis 1:26-27

Christians believe this to mean that many of the characteristics of God are reflected in humans. As a result, Christians believe that all human life should be treated with respect and dignity.

The belief that all humans are special can be seen in a document known as The Universal Declaration of Human Rights, which sets out all the different rights that every human should be entitled to.

As a result of the belief that all human life is special and God-given, Christians will try to do all they can to promote human rights. Human rights refer to the basic freedoms and rights of every human being in the world. Christians do this in many different ways including supporting charities such as Amnesty International who campaign for human rights.

Kanisa Katoliki la Tanzania, kwa kutokemea matendo yasiyo ya haki, limeendelea kuwa sehemu ya familia ya wakatoliki Duniani au limejitenga na jamii nyingine za wakatoliki?
SISI KANISA KATOLIKI NI WANAFIKI SANA....OVER 🙄🙄🙄
 
Hahahaah eti katoliki limetetea haki toka zama... Kasome historia ya dhehebu hilo vyema
 
Lisingeweza kupambana na kijana waliemlea wao wenyewe M jesuit wa katoke seminary!!!Kijana wao alifanya Blunder wasingeweza kumkemea wakati ni wa kwao tena kashika kiti nyeti!!wakati wa jk kanisa lilimwandama sana kisa ni nongwa ya kuwapenyeza kkt na protestants kwenye utawala akiwasahau wana tranformation ya uhuru wa 1961!!!
 
Presented too general. Afadhali mleta mada alikuwa specific katika maeneo aliyokuwa ameyaona hayakukaa vizuri. By the way, kuna mikutano ya kawaida na mikuu katika Halmashauri ya walei, kama wewe kweli ni Mkatoliki, basi una mwakilishi katika mikutano hiyo, na kama haumjui, basi hiyo ni kutokana na kutoshiriki kwako, na pengine unadhani ukienda kanisani jumapili unakuwa umemaliza. Kuna watu wengi tu wa dizaini yako, kazi yao kubwa ni kulalamika, lakini kumbe hata jumuiyani hawaendi na hawajui kinachoendelea!
Katika Kanisa Katoliki kuna kitu kinaitwa Hirakia. Hao Walei hawana maamuzi yoyote. Wao hushauri tu. Maamuzi yooote katika Kanisa hufanywa na Hirakia. Inaanzia Papa, Askofu, Padre na Shemasi. Kwa hiyo usimlaumu sana huyu jamaa.
Ni kweli kuna tatizo kubwa sana Kanisa Katoliki
 
Tangu kale, tangu enzi za manabii, Kanisa Katoliki lilisimama katika ukweli, lilifundisha, lilikemea na kuwaonya watawala dhidi ya dhuluma. Mifano ipo mingi.

Muelekeo huo wa Kanisa uliwaongezea imani kubwa waumini, wasio waumini na hata watawala waliheshimu sana kauli za Kanisa kwa sababu waliamini kuwa wakati wote Kanisa lilisimama katika haki na ukweli ambao msingi wake mkubwa ni Kristo mwenyewe. Kristo, hata alipokuwa pekee yake dhidi ya maelfu ya wayahudi, aliendelea kusimama katika ukweli. Kuna maneno mawili ambayo yametokea mara nyingi katika biblia kuliko mengine yote. La kwanza ni upendo (mara 320) na la pili ni ukweli (mara 222).

Kanisa Katoliki katika mataifa mengi liliweza kuwasemea wanaodhulumiwa, na hata hapa kwetu, wakati TEC ilipokuwa ikiongozwa na baadhi ya viongozi (Rais wa TEC), kanisa lilikuwa na msimamo na kauli zilizo thabiti kwa watawala dhidi ya dhuluma.

Kanisa Katoliki lilianza kuwa kimya kabisa, na kwa namna fulani kuonekana kubariki matendo ya dhuluma kama vile kupotezwa watu, kutekwa, kuuawa, kubambikiwa watu kesi tangu TEC iliporidhia kumchagua kiongozi wake mwenye mahusiano ya karibu na watawala, eti kwaajili ya kupunguza tension kati ya Serikali na Kanisa. Kanisa limeondoka kutoka kwenye jukumu lake la msingi la kuwa sauti ya wasio na sauti wanapoonewa, mpaka kuwa mwandani wa Serikali hata pale serikali inapofanya dhuluma. Hali hii inaendelea kudhoofisha sana imani yetu kwa kanisa la Kristo na viongozi waliostahili kuyaishi maandiko.

Kuhusu haki za wananchi, Kanisa la Ulimwengu linasema yafuatayo:

The dignity of human life

Christians believe that all human life is sacred, unique and God-given. They also believe that all humans are made in the image of God.

Then God said, “Let us make mankind in our image, in our likeness, so that they may rule over the fish in the sea and the birds in the sky, over the livestock and all the wild animals, and over all the creatures that move along the ground.Genesis 1:26-27

Christians believe this to mean that many of the characteristics of God are reflected in humans. As a result, Christians believe that all human life should be treated with respect and dignity.

The belief that all humans are special can be seen in a document known as The Universal Declaration of Human Rights, which sets out all the different rights that every human should be entitled to.

As a result of the belief that all human life is special and God-given, Christians will try to do all they can to promote human rights. Human rights refer to the basic freedoms and rights of every human being in the world. Christians do this in many different ways including supporting charities such as Amnesty International who campaign for human rights.

Kanisa Katoliki la Tanzania, kwa kutokemea matendo yasiyo ya haki, limeendelea kuwa sehemu ya familia ya wakatoliki Duniani au limejitenga na jamii nyingine za wakatoliki?
Eti llilianza , tangu enzi za manabii.. acha uongo msee
 
Back
Top Bottom