Alikuwa mkuu wa jimbo kuu la Dar hivyo alikuwa na platform nzuri ya kukemea uchafu wote wa CCM
Yeye ndiyo alikuwa kiongozi Tz
Hata Padre anaweza kukemea uchafuMbona pale uliandika Tanzania? Nadhani sasa umeanza kujifunza taratibu, si vibaya! Mwenye platform nzuri kabisa ya kuzungumzia masuala ya kitaifa ni Rais wa TEC wa wakati huo, na Pengo alikuwa chini ya huyo Rais
Anaweza kabisa, lakini katika maeneo yake ya Utawala, mfano Parokia. Hawezi akatoa tamko la kukemea lenye sura ya KitaifaHata Padre anaweza kukemea uchafu
Unaangaika bure kuwaelekeza Watu wanye chuki binafsi na kanisa katoriki na hata Kama ukiwawekea ushahidi bado watapinga.Anaweza kabisa, lakini katika maeneo yake ya Utawala, mfano Parokia. Hawezi akatoa tamko la kukemea lenye sura ya Kitaifa
Kamanda acha kujitutumua hakuna kitu unajua kuhusiana na mfumo wa kanisa katoriki.Yeye ndiyo alikuwa kiongozi Tz
Wewe ndiyo PapaKamanda acha kujitutumua hakuna kitu unajua kuhusiana na mfumo wa kanisa katoriki.
wanajitahidiSoma huu ujumbe wa Kwaresma 2018, tena katikati ya utawala wa hayati JPM, halafu urudi tena kusema kama hayo uliyoandika ni halisi ama la. Kama utaweza, soma document yote, kama unaona ni ndefu, basi walau soma Sura ya Tatu
WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini
Kanisa Katoliki Tanzania limetoa waraka kwa ajili ya kuwaandaa waamini wake kwa ajili ya kipindi cha Toba, kinachoanza rasmi Jumatano ijayo tarehe 14 Februari 2018 [ambayo ndiyo siku ya wapendanao, Valentine. tusherehekee kwa Toba eeeh tafadhalini!]. Kipindi hicho hujulikana pia kama...www.jamiiforums.com
Kama muanzisha uzi umekiri hivi, basi wengine wanapiga kelele tu.Nashukuru. Kuna mengine yanapita bila ya kuyafuatilia. Na hasa kutokana na uminywaji wa vyombo vya habari.
Pale ambapo sipo sahihi, nisamehewe maana sikuwa na dhamira mbaya. Haya niliyoyandika, yanasemwa na wengi au baadhi ya waumini. Yawezekana ni kutokana na njia za upashanaji habari ziliminywa sana wakati wa awamu ya 5.
Kanisa liangalie namna ya kuhakikisha ujumbe wake unawafikia waumini wake kama vile, waraka ukitolewa, basi iwe lazima kuusoma ujumbe huo kwenye makanisa yote na jumuia ndogondogo, na baada ya kuusoma, kuwe na ufafanuzi ili ujumbe uwafikie waumini kwa usahihi.
tangu TEC iliporidhia kumchagua kiongozi wake mwenye mahusiano ya karibu na watawala, eti kwaajili ya kupunguza tension kati ya Serikali na Kanisa.Tangu kale, tangu enzi za manabii, Kanisa Katoliki lilisimama katika ukweli, lilifundisha, lilikemea na kuwaonya watawala dhidi ya dhuluma. Mifano ipo mingi.
Muelekeo huo wa Kanisa uliwaongezea imani kubwa waumini, wasio waumini na hata watawala waliheshimu sana kauli za Kanisa kwa sababu waliamini kuwa wakati wote Kanisa lilisimama katika haki na ukweli ambao msingi wake mkubwa ni Kristo mwenyewe. Kristo, hata alipokuwa pekee yake dhidi ya maelfu ya wayahudi, aliendelea kusimama katika ukweli. Kuna maneno mawili ambayo yametokea mara nyingi katika biblia kuliko mengine yote. La kwanza ni upendo (mara 320) na la pili ni ukweli (mara 222).
Kanisa Katoliki katika mataifa mengi liliweza kuwasemea wanaodhulumiwa, na hata hapa kwetu, wakati TEC ilipokuwa ikiongozwa na baadhi ya viongozi (Rais wa TEC), kanisa lilikuwa na msimamo na kauli zilizo thabiti kwa watawala dhidi ya dhuluma.
Kanisa Katoliki lilianza kuwa kimya kabisa, na kwa namna fulani kuonekana kubariki matendo ya dhuluma kama vile kupotezwa watu, kutekwa, kuuawa, kubambikiwa watu kesi tangu TEC iliporidhia kumchagua kiongozi wake mwenye mahusiano ya karibu na watawala, eti kwaajili ya kupunguza tension kati ya Serikali na Kanisa. Kanisa limeondoka kutoka kwenye jukumu lake la msingi la kuwa sauti ya wasio na sauti wanapoonewa, mpaka kuwa mwandani wa Serikali hata pale serikali inapofanya dhuluma. Hali hii inaendelea kudhoofisha sana imani yetu kwa kanisa la Kristo na viongozi waliostahili kuyaishi maandiko.
Kuhusu haki za wananchi, Kanisa la Ulimwengu linasema yafuatayo:
The dignity of human life
Christians believe that all human life is sacred, unique and God-given. They also believe that all humans are made in the image of God.
Then God said, “Let us make mankind in our image, in our likeness, so that they may rule over the fish in the sea and the birds in the sky, over the livestock and all the wild animals, and over all the creatures that move along the ground.Genesis 1:26-27
Christians believe this to mean that many of the characteristics of God are reflected in humans. As a result, Christians believe that all human life should be treated with respect and dignity.
The belief that all humans are special can be seen in a document known as The Universal Declaration of Human Rights, which sets out all the different rights that every human should be entitled to.
As a result of the belief that all human life is special and God-given, Christians will try to do all they can to promote human rights. Human rights refer to the basic freedoms and rights of every human being in the world. Christians do this in many different ways including supporting charities such as Amnesty International who campaign for human rights.
Kanisa Katoliki la Tanzania, kwa kutokemea matendo yasiyo ya haki, limeendelea kuwa sehemu ya familia ya wakatoliki Duniani au limejitenga na jamii nyingine za wakatoliki?
Fuatilia kwa karibu matukio yote enzi za mwendazake kama kumekua na muwakilishi toka kanisa katoliki.Bora ya KKKT na siyo RC, RC imekuwa tawi kuu la CCM
SISI KANISA KATOLIKI NI WANAFIKI SANA....OVER 🙄🙄🙄Tangu kale, tangu enzi za manabii, Kanisa Katoliki lilisimama katika ukweli, lilifundisha, lilikemea na kuwaonya watawala dhidi ya dhuluma. Mifano ipo mingi.
Muelekeo huo wa Kanisa uliwaongezea imani kubwa waumini, wasio waumini na hata watawala waliheshimu sana kauli za Kanisa kwa sababu waliamini kuwa wakati wote Kanisa lilisimama katika haki na ukweli ambao msingi wake mkubwa ni Kristo mwenyewe. Kristo, hata alipokuwa pekee yake dhidi ya maelfu ya wayahudi, aliendelea kusimama katika ukweli. Kuna maneno mawili ambayo yametokea mara nyingi katika biblia kuliko mengine yote. La kwanza ni upendo (mara 320) na la pili ni ukweli (mara 222).
Kanisa Katoliki katika mataifa mengi liliweza kuwasemea wanaodhulumiwa, na hata hapa kwetu, wakati TEC ilipokuwa ikiongozwa na baadhi ya viongozi (Rais wa TEC), kanisa lilikuwa na msimamo na kauli zilizo thabiti kwa watawala dhidi ya dhuluma.
Kanisa Katoliki lilianza kuwa kimya kabisa, na kwa namna fulani kuonekana kubariki matendo ya dhuluma kama vile kupotezwa watu, kutekwa, kuuawa, kubambikiwa watu kesi tangu TEC iliporidhia kumchagua kiongozi wake mwenye mahusiano ya karibu na watawala, eti kwaajili ya kupunguza tension kati ya Serikali na Kanisa. Kanisa limeondoka kutoka kwenye jukumu lake la msingi la kuwa sauti ya wasio na sauti wanapoonewa, mpaka kuwa mwandani wa Serikali hata pale serikali inapofanya dhuluma. Hali hii inaendelea kudhoofisha sana imani yetu kwa kanisa la Kristo na viongozi waliostahili kuyaishi maandiko.
Kuhusu haki za wananchi, Kanisa la Ulimwengu linasema yafuatayo:
The dignity of human life
Christians believe that all human life is sacred, unique and God-given. They also believe that all humans are made in the image of God.
Then God said, “Let us make mankind in our image, in our likeness, so that they may rule over the fish in the sea and the birds in the sky, over the livestock and all the wild animals, and over all the creatures that move along the ground.Genesis 1:26-27
Christians believe this to mean that many of the characteristics of God are reflected in humans. As a result, Christians believe that all human life should be treated with respect and dignity.
The belief that all humans are special can be seen in a document known as The Universal Declaration of Human Rights, which sets out all the different rights that every human should be entitled to.
As a result of the belief that all human life is special and God-given, Christians will try to do all they can to promote human rights. Human rights refer to the basic freedoms and rights of every human being in the world. Christians do this in many different ways including supporting charities such as Amnesty International who campaign for human rights.
Kanisa Katoliki la Tanzania, kwa kutokemea matendo yasiyo ya haki, limeendelea kuwa sehemu ya familia ya wakatoliki Duniani au limejitenga na jamii nyingine za wakatoliki?
KKKT ni tawi la SACCOS kuanzia askofu wake mkuu hadi wa kule kwa akina NshomileBora ya KKKT na siyo RC, RC imekuwa tawi kuu la CCM
Lakini wanatetea watu wote na siyo SACCOS pekeeKKKT ni tawi la SACCOS kuanzia askofu wake mkuu hadi wa kule kwa akina Nshomile
Katika Kanisa Katoliki kuna kitu kinaitwa Hirakia. Hao Walei hawana maamuzi yoyote. Wao hushauri tu. Maamuzi yooote katika Kanisa hufanywa na Hirakia. Inaanzia Papa, Askofu, Padre na Shemasi. Kwa hiyo usimlaumu sana huyu jamaa.Presented too general. Afadhali mleta mada alikuwa specific katika maeneo aliyokuwa ameyaona hayakukaa vizuri. By the way, kuna mikutano ya kawaida na mikuu katika Halmashauri ya walei, kama wewe kweli ni Mkatoliki, basi una mwakilishi katika mikutano hiyo, na kama haumjui, basi hiyo ni kutokana na kutoshiriki kwako, na pengine unadhani ukienda kanisani jumapili unakuwa umemaliza. Kuna watu wengi tu wa dizaini yako, kazi yao kubwa ni kulalamika, lakini kumbe hata jumuiyani hawaendi na hawajui kinachoendelea!
Eti llilianza , tangu enzi za manabii.. acha uongo mseeTangu kale, tangu enzi za manabii, Kanisa Katoliki lilisimama katika ukweli, lilifundisha, lilikemea na kuwaonya watawala dhidi ya dhuluma. Mifano ipo mingi.
Muelekeo huo wa Kanisa uliwaongezea imani kubwa waumini, wasio waumini na hata watawala waliheshimu sana kauli za Kanisa kwa sababu waliamini kuwa wakati wote Kanisa lilisimama katika haki na ukweli ambao msingi wake mkubwa ni Kristo mwenyewe. Kristo, hata alipokuwa pekee yake dhidi ya maelfu ya wayahudi, aliendelea kusimama katika ukweli. Kuna maneno mawili ambayo yametokea mara nyingi katika biblia kuliko mengine yote. La kwanza ni upendo (mara 320) na la pili ni ukweli (mara 222).
Kanisa Katoliki katika mataifa mengi liliweza kuwasemea wanaodhulumiwa, na hata hapa kwetu, wakati TEC ilipokuwa ikiongozwa na baadhi ya viongozi (Rais wa TEC), kanisa lilikuwa na msimamo na kauli zilizo thabiti kwa watawala dhidi ya dhuluma.
Kanisa Katoliki lilianza kuwa kimya kabisa, na kwa namna fulani kuonekana kubariki matendo ya dhuluma kama vile kupotezwa watu, kutekwa, kuuawa, kubambikiwa watu kesi tangu TEC iliporidhia kumchagua kiongozi wake mwenye mahusiano ya karibu na watawala, eti kwaajili ya kupunguza tension kati ya Serikali na Kanisa. Kanisa limeondoka kutoka kwenye jukumu lake la msingi la kuwa sauti ya wasio na sauti wanapoonewa, mpaka kuwa mwandani wa Serikali hata pale serikali inapofanya dhuluma. Hali hii inaendelea kudhoofisha sana imani yetu kwa kanisa la Kristo na viongozi waliostahili kuyaishi maandiko.
Kuhusu haki za wananchi, Kanisa la Ulimwengu linasema yafuatayo:
The dignity of human life
Christians believe that all human life is sacred, unique and God-given. They also believe that all humans are made in the image of God.
Then God said, “Let us make mankind in our image, in our likeness, so that they may rule over the fish in the sea and the birds in the sky, over the livestock and all the wild animals, and over all the creatures that move along the ground.Genesis 1:26-27
Christians believe this to mean that many of the characteristics of God are reflected in humans. As a result, Christians believe that all human life should be treated with respect and dignity.
The belief that all humans are special can be seen in a document known as The Universal Declaration of Human Rights, which sets out all the different rights that every human should be entitled to.
As a result of the belief that all human life is special and God-given, Christians will try to do all they can to promote human rights. Human rights refer to the basic freedoms and rights of every human being in the world. Christians do this in many different ways including supporting charities such as Amnesty International who campaign for human rights.
Kanisa Katoliki la Tanzania, kwa kutokemea matendo yasiyo ya haki, limeendelea kuwa sehemu ya familia ya wakatoliki Duniani au limejitenga na jamii nyingine za wakatoliki?